MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 1,800
- 3,091
ugumu wake ni nini? kuchemsha maharage na mahindi tu je pilau utaweza kweliMakande ndugu ndio magumu kupika
ukioa asiyejua jesolution ni kuoa tu..........
Hahaha eti miwani duuuu[emoji23] [emoji23]Zoezi ngumu kwangu ktk process yote ya kupika ni kukata vitunguu....Hadi juzi nimenunua miwani kwa ajili ya kukinga ule mvuke wa vitunguu kufika machoni na kusababisha macho kulia....!
Sent using Jamii Forums mobile app
Sure! Manake hata ukiumwa usiku upate wa kukuhudumiaSababu inayofanya n hitaj
Ndoa,n kwa sababu na mm
Nataka kusmamia family
Kama,baba,wa familia
Upweke kwa nyumba nao uishe
Sometimes unajikuta umetulia
Kwa nyumba pekeako utafri n jin
[Color= yellow]Triple A[/color]
ohoooooo!!! kuna makauzu wanaeza kukupiga bao kwenye mapishi[emoji23] [emoji23] [emoji23]hqhaha hakuna mtoto wa kiume anaweza kupika hii gheton
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Kuna siku nilipika wali aise chini mbichi juu mbichi katikati ndo umeiva