Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Doto Biteko ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Makamba Mambo ya Nje, Pindi Chana Katiba na Sheria

Biteko
Yani naibu waziri mkuu at the same time ni waziri wa nishati..
Lakini kwenye unaibu waziri mkuu atashughulikia mambo ya uratibu wa serikali...
Kichwa lazima kikuzunguke[emoji3]
Naungana na jamaa mmoja hapa Jf alissema ukifuatilia siasa za Tanzania alafu ukawa comfortable bila ya stress basi jehanamu haitakuwa ngumu kuishi huko .
 
Angelina Mabula, nilikuwa najiuliza hivi huyo mama yetu kuruhusu hii wizara ya ardhi itumie mabilioni yote hayo kwa semina tuu badala ya kupima ardhi anaona ni sawa hasikii kichefuchefu.
 
Hivi hii Serikali ina Wizara ngapi.....!?
 
Mimi napata shida kuelewa ufikiri wa viongozi wetu. Kuna vyeo vingine ukivitazama huoni maana yake, ni kupoteza pesa za walipa kodi tu.

Waziri Mkuu ofisi yake ina Waziri mwingine wanaita sijui Waziri wa nchi ofisi ya waziri mkuu. Ana wasaidizi chungu mzima, sasa sijui tatizo ni nini au ni kupenyezana ili kupeana ulaji. Au ni danganya toto kwa watu wa eneo fulani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…