Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 24,262
- 58,728
NakaziaTaifa linahitaji kizazi kingine kwenye uongozi chenye akili mpya nje ya hawa vijana na makada wa CCM. Akili mpya zenye exposure na kasi ya dunia.
Kuendelea kubadili watu wale kwenye maeneo tofauti tofauti ni kupoteza muda tu.
Ukitaka kujua machawa kichwani kwenu kuna Ma+vi angalia ulichotuma hapo bora baba yako hizo shahawa zake angemwaga chooni kuliko kutuleta sisi matatizoUnajua kusoma na kuandika ?View attachment 2733378
Membe alipanda cheo kuliko JPM,nini kilitokea 2015?Before hujashangilia January kutolewa inabidi ujue kwanza January kapanda cheo ki protocol. Mama anamuandaa kuwa Raisi, hii nchi Mama ishamshinda bwana. Saivi it's so clearly kabisa.
Ndio unaenda uzwa vizuri zaidi na dalali wa mabepari.. ma-rope!Waziri wa bandari yule aliyetuuza bado yupo?
Hana mganga, anafanya mwenyewe..Yule mnyiramba mganga wake atakuwa mkali hatari.
Uzuri kwa katiba hii na nafasi yake hii yeye ni wa kutunzwa na Taifa maisha yake yote huku akivuta 80% ya mshahara wa waziri mkuu aliyeko madarakani bila kukatwa kodi!! Katika maisha haya unataka nini tena!! Ndiyo maana mzee Msuya anajilia utamu wa keki ya Taifa kimya kimya utafikiri hayupo!! Mzee Pinda pia!!Naona njia ya Kassim Majaliwa inaanza kufyekwa ili apishe.........waliokaribu naye wamshauri hata ubunge awaachie wengine kulinda heshima yake
Hii lugha wengi hawaijui..Nimeishia hapo ulipoandika "ujui"
Rais Ali Mwinyi alimteua Marehemu Mrema Naibu Waziri Mkuu, baadaye alidai haki yake sijui kama alipewa.Hii nafasi ipo kikatiba au ndo kusema Kassim Majaliwa haaminiki tena!?
Ya jpm imewapa fundisho, wataweka spana baadhi ya maeneo isitokee... jpm ilikua zao la mvutano wa lowasa na membe...Membe alipanda cheo kuliko JPM,nini kilitokea 2015?
Yuko sawa...wasaidizi ndio vurugu.Huyu mama ni moyeyusho sana yani hajielewi
Ali Hassan Mwinyi enzi zake aliwahi kumteua marehemu Augustine Mrema kwenye nafasi kama hiyo!!Hakipo, kikatiba.
Ana sababu..Rais Ali Mwinyi alimteua Marehemu Mrema Naibu Waziri Mkuu, baadaye alidai haki yake sijui kama alipewa.
Hiki cheo hata kikatiba hakipo, ila Rais amepewa madaraka kwamba yuko juu ya katiba kwa Tanzania. Hakuna anayeweza kumshtaki hata akiacha kuwa kiongozi wa nchi.
Inawezekana ana sababu zake, ngoja tusubiri labda atasema.
Yeah nikweli akapumzike tu kwao huko awe anatembelea mashamba yake ya Korosho,akufukuzaye hakwambii toka....... kuvunja tu katiba na kuteua mtu ni njia tu ya kufikisha ujumbeu
Uzuri kwa katiba hii na nafasi yake hii yeye ni wa kutunzwa na Taifa maisha yake yote huku akivuta 80% ya mshahara wa waziri mkuu aliyeko madarakani bila kukatwa kodi!! Katika maisha haya unataka nini tena!! Ndiyo maana mzee Msuya anajilia utamu wa keki ya Taifa kimya kimya utafikiri hayupo!! Mzee Pinda pia!!
Hujasikia naibu waziri mkuu?Rais anao uwanda mpana wa kubadili wizara na kuwaweka Mawaziri kwa kadri atakavyo.
Kwa uzoefu wangu sikuwahi kusikia Kiongozi aliyewahi kuwa Naibu Waziri mkuu.
Hata hivyo kama Rais ana Makamu wake iweje Waziri mkuu asiwe na Naibu?
Nilipochanganyikiwa zaidi ni Kiongozi mmoja kuwa Naibu Waziri na Waziri ktk serikali hiyohiyo. Inawezekanaje?
Kwamba Pale bungeni na huko mitaani hakuna wanachama wa CCM wenye weledi kiasi cha kumtwisha majukumu mazito ndugu Dotto?
Tuombe Mungu uteuzi huu uwe na malengo ya kuimarisha ustawi wa wananchi wote na si kumdhoofisha mtu flani kwa manufaa ya watu wachache.
Kuna cheo kipya ati naibu waziri mkuu? au typing error kwa Biteko. Hilo ndio jipya na kingine ni kumwagia maji angalau moto ufifieNi mabadiliko madogo hakuna jipya
Salimu Ahmed Salim na Mzee Mrema waliwahi kuwa manaibu waziri wakuu enzi za utawala wa Mzee Mwinyi.Naibu waziri mkuu? 🤔 Hiki cheo toka lini kipo 🤔
Watatoana rohoduuh kuna raisi kule makam wa raisi, kule waziri mkuu na uyo naibu nani wakusikilizwa apo