Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Doto Biteko ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Makamba Mambo ya Nje, Pindi Chana Katiba na Sheria

Mama anataka kumuondoa lakini ni kama vile anamuonea aibu sasa hebu angalia kapelekewa Biteko ili amsaidie
Biteko kapangiwa kazi ya uratibu wa shughuli za serikali!! kazi ambayo hufanywa na waziri mkuu!! Siyo kwamba asaidie uratibu wa sgughuli za serikali, bali ashughulike na uratibu wa shughuli za serikali!!
 
Naungana nawe kabisa mkuu, kwa Sasa kasimu hata akinyoosha kidole tu wengi tupo nae.

Masahihisho kidogo kwenye hiko kisa Cha washami walikua ni wakoma ndio walioenda kwenye kambi za hao maaskri , wakoma ni watu walio kua dhaifu na duni sana na walikua wametupwa nje ya mji ndio maana hawakujali kuishi au kufa.
 
Cheo hicho hutokea nchi ikiwa inachemka. Kipindi cha Mrema nchi ilikuwa inachemka kwa uchapaji kazi wake. Ila sasa sakata la Dpw ndio linachemsha nchi. Hakuna budi kujipanga pale juu kufifisha mambo yaliosababisha. Wachache watanielewa.
 
Makamba katikati ya pori la bustani na raising nassery ya kina balozi Siwa.
 
Angemtoa tu Majaliwa mtu pekee aliyebaki serikalini ambae kidogo anafanya wananchi wawe na imani na serikali ya ‘bi Tozo’; kusudi hilo jumba bovu lianguke haraka.
 
Dalali wa bandari naye kapewa wizara Tena ardhi nako auze mpaka afrahi kweli Slaa alijua pakupiga uchawa mpaka kapata alichotamani siku zote!!!
Safari hii waislam tumesahaulika yaani hata mmoja hajaonekana kweliii mama wa dpw kafurugwa dah!!! Baraza hopeless kabisa eti bitee naibu wazir mkuu chyaaa!!!
 
Humu makazini unaweza kulazimika kufanya vitu ambavyo huvipendi..unafanya ilimradi tu kwa kuwa boss kasema.
 
2025 ya Ile kanda ya msukuma Mnyeti Biseko
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…