Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Doto Biteko ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Makamba Mambo ya Nje, Pindi Chana Katiba na Sheria

Ni kweli Biteko hana ushawishi wowote ila ata upinzani wa kweli nao hatuna. Nchi inachezewa nyie mpo busy tu kupiga porojo mnazidiwa ata na yule Mwanasheria aliyeamua kuishitaki Serikali.
Yaani nyie mpo mpo tu mnasubiri uchaguzi.
Acha dharau na kebehi kwani wewe hapo umechukua hatua Gani zaidi ya kusubirbkwenda toilet kukata gogo?
 
Naibu waziri mkuu?, Hivi viongozi wetu Wana matatizo ya akili?. Ujuha tu Kama watu wameshindwa kufanya kazi wizara za mwanzo wataweza vipi kufanya kazi wizara nyingine. Inabidi nianzishe mapinduzi ili watanganyika tuwe huru... Watu walewale huku vijana tukisimangwa ni majobless kumbe mfumo mbovu na wakipumbavu wa elimu chini ya CCM ndio chanzo Cha haya yote.
 
Mm jicho langu naona ni kuchepusha mjadala wa dp word hasa cheo cha naibu waziri mkuu.

Vijana wa eagle wamecheza karata vizuri ngoja tuone upepo utahama?
 
Hivi magufuli alikuwa msukuma?
 
CCM inatapatapa!
Kikubwa warudi ktk maadili na kuacha utapeli na ufisadi wA MALI YA UMMA
 
Sidhani kama Doto anaushawishi mkubwa kanda hiyo. Jamaa ni mtendaji mzuri sana sana, mwadilifu pia.

SSH hana uwezo wa kufanya kazi kwa kasi kama JPM, anahitaji wasaidizi pale juu wenye uwezo wa kufuatilia mambo kwa undani, Doto anaiweza hiyo kazi.

Japo itakuwa ngumu kwake kwakua ni waziri wa nishati pia.

SSH amwondoe Maharage na wale wafanyabishara aliowaweka pale TANESCO. Shirika lirudi kwenye njia yake sahihi. JNHPP ikiwashwa basi tununue umeme kwa flat rate ya 100 kwa unit nchi nzima.
 
Hivi kuna nafasi kikatiba ya Naibu Waziri Mkuu, bila shaka Kagame atakuwa amefurahi sana.
 
Tu
Basi tupe huo umuhinu au ni njia tu ya uweakness kujificha nyuma ya uimara
 
Na pia walikuwa Waisrael waliokwenda kwenye kambi ya Washami baada ya kutengwa kwa mjibu wa sheria
 
Je, Mwigulu, Makamba na Nape bado wapo?

Kama bado wapo hakuna mabadiliko Makubwa hapo.

Bitozo bado anazidi kufurahisha kijiwe.
Ila watu wajanja sana alianza Mkumbo Kitila kuwa msemaji wa Bandari baada ya muda akaula, akaja Jerry Silaa nae akamuiga Mkumbo hivi sasa nae kaula, kumbe hizi ndio mbinu mbadala ya kupata uwaziri, nyuma nilidhani ni uchapakazi kumbe ni kuwa mwimbaji mapambio mkuu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…