nyabhingi
JF-Expert Member
- Oct 12, 2010
- 15,602
- 20,181
BitekoWaziri wa nishati ni nani?
Yani naibu waziri mkuu at the same time ni waziri wa nishati..
Lakini kwenye unaibu waziri mkuu atashughulikia mambo ya uratibu wa serikali...
Kichwa lazima kikuzunguke😀