Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Doto Biteko ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Makamba Mambo ya Nje, Pindi Chana Katiba na Sheria

Mabadiliko Baraza la Mawaziri: Doto Biteko ateuliwa kuwa Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati. Makamba Mambo ya Nje, Pindi Chana Katiba na Sheria

Latest:

Waziri wa ulinzi, Bashungwa mae kafanywa waziri wa ujenzi.

Kazi iendelee.
 
Imebakia kuwa na cdf mwanamke..mana Kwenye ulinzi tayar tunae stregomena tax
 
Kaz iendelee mama yetu Samia mungu azid kukupa maisha marefu
 
Bull crap just changing the wolf skin into a new one. They are the same ones, why not appoint new ones? Ina maana hii nchi ni hao hao tu wenye uwezo? Toa weka sura mpya sio ku swap from here and there like a game of chess.

Looser.
Sasa wawekwe kina nani mkuu? Babu tale?
 
Back
Top Bottom