Benjamini Netanyahu
JF-Expert Member
- Aug 7, 2014
- 95,871
- 116,627
Tuukatae huu muuungano fake kabisaimefika wakati tufungue kesi za kuwaondoa Hawa wazanzibar kwenye nafasi wanazopewa ambazo SI za Muungano kama yule Shaka ameteuliwa kuwa mkuu wa wilaya. Hawa watu wamezoea Chao Chao Chao kwetu ni Cha wote.
Ndio maanaakeNdiyo kusema Zanzibar ni nchi huru, lakini Tanganyika ipo kwenye mabano hivi!!!
Kwa sasa kikatiba hakuna kitu kinaitwa Tanganyika na badala yake Kuna jamhuri ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar (Tanzania) kwahiyo wazanzibari kama watanzania wengine Wana haki ya kuajiriwa na kufanya kazi sehemu yoyote ndani ya muungano japo mambo yaliyopo chini ya serikali ya mapinduzi ya Zanzibar ni ya wazanzibari peke Yao.Unelewa vizuri sana sema umeamua kujitia ujinga.
Zanzibar wana Bandari zao kwaajili ya Wazanzibari.
Zanzibar wana Mamlaka yao ya kodi kwaajili ya Wazanzibari.
TPA & TRA ni kwaajili ya watanganyika kutuletea Wazanzibari huko ni kuwadharau watanganyika million 61.
Kwakuwa hakuna mtanganyika ZPA & ZRA ni ujinga wa kiwango cha SGR kutuletea Wazanzibari kuongoza taasisi ambazo zipo Tanganyika na Zanzibar.
Ikivunjika Tanzania wachagga wote mrudi MoshiThe United Republic of Tanzania imeundwa na pande mbili kwa gharama ya upande mmoja kuji dissolve huku upande mwingine ukibaki. Tanganyika ilijigeuza mshumaa, ilijiangamiza kwa lengo la kuangazia wengine.
Hivyo, Muungano huu unampa Zanzibar kuwa access ya nafasi zote, maana Tanganyika ilishajiua hivyo kukabidhi kila kitu kwa Zanzibar, maana katika Muungano huu Zanzibar ndiye pekee aliye hai.
So, unapoongelea maliasili, taasisi, n.k Zanzibar ana mamlaka nazo zote, kama mmiliki upande mmoja, huku upande mwingine akiwa kama msimamizi maana Tanganyika ilipojiua iliacha watoto na wakebkadhaa ambao wote walendelea kulelewa na Zanzibar. Hapo ndipo hesabu za nyerere zilipopotea .
Laiti Tanganyika ingekuwepo au ingefufuka leo, basi hapo itakua sawa kusema kuna vitu vya Muungano. Ila kwa sasa, Zanzubar ndiye anayetambuliwa ni vile tu hawaijui nguvu yao.
Sasa hivi Zanzibar wana nguvu ya kuamua lolote ndani ya Muungano na watoto na wake watanganyika wakatakiwa kupokea tu maelekezo.
Kwa kuwa Tanganyika ilishakufa, sasa hivi serikali ya Muungano inabaki kuwa chombo kinachomsikiliza zaidi Zanzibar kabla ya kufanya maamuzi yoyote yale. Maana ndiye pekee aliye hai.
Ipo ZanzbarWewe upo mbali sana. TRA huko Zanzibar wakafanye nini?
Munaweza mfungulieni tuHatuwezi kumfungulia kesi ya kikatiba kumwondoa?
Well saidWewe huwezi? Lililokushinda wewe ndo lililowashinda wengine, sasa ingia kazini mwenyewe usiagize.
Zanzibar wana ZPC zanzibar port coparationUnelewa vizuri sana sema umeamua kujitia ujinga.
Zanzibar wana Bandari zao kwaajili ya Wazanzibari.
Zanzibar wana Mamlaka yao ya kodi kwaajili ya Wazanzibari.
TPA & TRA ni kwaajili ya watanganyika kutuletea Wazanzibari huko ni kuwadharau watanganyika million 61.
Kwakuwa hakuna mtanganyika ZPA & ZRA ni ujinga wa kiwango cha SGR kutuletea Wazanzibari kuongoza taasisi ambazo zipo Tanganyika na Zanzibar.
ZRB[emoji23][emoji23][emoji23][emoji91][emoji91][emoji91]
ZRA Sijui ndio nini?
Ni rahisi na si kinyume cha sheria mzanzibar kuteuliwa nafasi yoyote eneo lolote Tanganyika lkn ni marufuku mtanganyika kuajiriwa Zenj.Washauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
Utakuja kuelewa tu. Kuna mtanganyika yupo Zanzibar ambaye anafanya kazi serikalini?Hueleweki
Sawa mwarabu mweusi wa Oman.Wagalatia kazi mnayo wapuuz nyie
Mungu ibariki TanganyikaWashauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
Miye nilishawasihi TPDF kufuatilia motive ya huyu mama! Hivi wale combat intelligensia wa JW wako wapi!? TISS wamelambishwa ASALI tayari! Something serious is cooking! WATCH IT! it is coming!Washauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW
ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY
TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY
ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY
TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
Mleta uzii anashangaa na wengine pia wanashangaa kwa sababu mfumo wenyewe wa Muungano hauna tafsiri kwa vile Tanganyika haipo vyatanganyika vyote ni vyaa muunganoUnalijua aliloliandika mwandishi? Bandari ni swala la muungano kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri. Lakini Zanzibar walijizima data wakavunja katiba na wakaanzisha mamlaka yao. TRA pia inatakiwa kukusanya ushuru hadi Zenji lakini hapo pembeni kuna ZRA. Sasa waziri anayesimamia bandari ni Mzenji na ndo Kasaini DPW baada ya kunyofoa bandari za SMZ.
Sasa mleta uzi anashangaa kuweka boss wa Zenji wakati wana ZRA.
Zanzibar Kuna ZRA na pia hiyo TRA ipoZanzibar ipo ZRA hakuna TRA
Kajambe ulale. Inawauma bandari tu watu wa kanisani.Miye nilishawasihi TPDF kufuatilia motive ya huyu mama! Hivi wale combat intelligensia wa JW wako wapi!? TISS wamelambishwa ASALI tayari! Something serious is cooking! WATCH IT! it is coming!
Mnachoshindwa kuelewa ni kwamba mambo ya muungano yanaihusu Tanganyika na Zanzibar. Na Yale ambayo siyo ya muungano yanaihusu Zanzibar peke yake. Kwahiyo wazanzibari Wana haki ya kushiriki kila kitu huku Tz bara kwa sababu mambo ya Tanganyika yote ni ya muungano ila watanganyika hawawezi kushiriki mambo ya Zanzibar kwakuwa mambo ya Zanzibar siyo ya muungano.ukisoma Katina Kuna ma, mambo ya muungano na yasiyo ya muungano hivyo wakienda mahakamani serikali itashindwa mapema.