Mabadiliko TRA: Kamishna wa Forodha Mtanganyika Said Athuman Kiondo aondolewa awekwa Juma Bakari Hassan kutoka Zanzibar

Mabadiliko TRA: Kamishna wa Forodha Mtanganyika Said Athuman Kiondo aondolewa awekwa Juma Bakari Hassan kutoka Zanzibar

Unelewa vizuri sana sema umeamua kujitia ujinga.

Zanzibar wana Bandari zao kwaajili ya Wazanzibari.

Zanzibar wana Mamlaka yao ya kodi kwaajili ya Wazanzibari.

TPA & TRA ni kwaajili ya watanganyika kutuletea Wazanzibari huko ni kuwadharau watanganyika million 61.

Kwakuwa hakuna mtanganyika ZPA & ZRA ni ujinga wa kiwango cha SGR kutuletea Wazanzibari kuongoza taasisi ambazo zipo Tanganyika na Zanzibar.
Kwa sasa kikatiba hakuna kitu kinaitwa Tanganyika na badala yake Kuna jamhuri ya muungano wa Tanganyika na Zanzibar (Tanzania) kwahiyo wazanzibari kama watanzania wengine Wana haki ya kuajiriwa na kufanya kazi sehemu yoyote ndani ya muungano japo mambo yaliyopo chini ya serikali ya mapinduzi ya Zanzibar ni ya wazanzibari peke Yao.
 
The United Republic of Tanzania imeundwa na pande mbili kwa gharama ya upande mmoja kuji dissolve huku upande mwingine ukibaki. Tanganyika ilijigeuza mshumaa, ilijiangamiza kwa lengo la kuangazia wengine.
Hivyo, Muungano huu unampa Zanzibar kuwa access ya nafasi zote, maana Tanganyika ilishajiua hivyo kukabidhi kila kitu kwa Zanzibar, maana katika Muungano huu Zanzibar ndiye pekee aliye hai.
So, unapoongelea maliasili, taasisi, n.k Zanzibar ana mamlaka nazo zote, kama mmiliki upande mmoja, huku upande mwingine akiwa kama msimamizi maana Tanganyika ilipojiua iliacha watoto na wakebkadhaa ambao wote walendelea kulelewa na Zanzibar. Hapo ndipo hesabu za nyerere zilipopotea .
Laiti Tanganyika ingekuwepo au ingefufuka leo, basi hapo itakua sawa kusema kuna vitu vya Muungano. Ila kwa sasa, Zanzubar ndiye anayetambuliwa ni vile tu hawaijui nguvu yao.
Sasa hivi Zanzibar wana nguvu ya kuamua lolote ndani ya Muungano na watoto na wake watanganyika wakatakiwa kupokea tu maelekezo.
Kwa kuwa Tanganyika ilishakufa, sasa hivi serikali ya Muungano inabaki kuwa chombo kinachomsikiliza zaidi Zanzibar kabla ya kufanya maamuzi yoyote yale. Maana ndiye pekee aliye hai.
Ikivunjika Tanzania wachagga wote mrudi Moshi
 
Unelewa vizuri sana sema umeamua kujitia ujinga.

Zanzibar wana Bandari zao kwaajili ya Wazanzibari.

Zanzibar wana Mamlaka yao ya kodi kwaajili ya Wazanzibari.

TPA & TRA ni kwaajili ya watanganyika kutuletea Wazanzibari huko ni kuwadharau watanganyika million 61.

Kwakuwa hakuna mtanganyika ZPA & ZRA ni ujinga wa kiwango cha SGR kutuletea Wazanzibari kuongoza taasisi ambazo zipo Tanganyika na Zanzibar.
Zanzibar wana ZPC zanzibar port coparation
 
Washauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW

ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY

TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY

ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY

TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
Ni rahisi na si kinyume cha sheria mzanzibar kuteuliwa nafasi yoyote eneo lolote Tanganyika lkn ni marufuku mtanganyika kuajiriwa Zenj.

Japo kuna hoja ya mkuu wa kitengo cha habari Zanzibar kuwa mtanganyika
 
Washauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW

ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY

TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY

ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY

TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
Mungu ibariki Tanganyika
 
Washauri wa Rais wameshindwa kujua Bandari na TRA ambazo ndio roho za Tanganyika hazipo kwenye Muungano au ni amri kutoka juu kwa ajili ya ujio wa DPW

ZPA - ZANZIBAR PORT AUTHORITY

TPA - TANZANIA PORT AUTHORITY

ZRA- ZANZIBAR REVENUE AUTHORITY

TRA - TANZANIA REVENUE AUTHORITY
Miye nilishawasihi TPDF kufuatilia motive ya huyu mama! Hivi wale combat intelligensia wa JW wako wapi!? TISS wamelambishwa ASALI tayari! Something serious is cooking! WATCH IT! it is coming!
 
Unalijua aliloliandika mwandishi? Bandari ni swala la muungano kwa mujibu wa katiba ya Jamhuri. Lakini Zanzibar walijizima data wakavunja katiba na wakaanzisha mamlaka yao. TRA pia inatakiwa kukusanya ushuru hadi Zenji lakini hapo pembeni kuna ZRA. Sasa waziri anayesimamia bandari ni Mzenji na ndo Kasaini DPW baada ya kunyofoa bandari za SMZ.

Sasa mleta uzi anashangaa kuweka boss wa Zenji wakati wana ZRA.
Mleta uzii anashangaa na wengine pia wanashangaa kwa sababu mfumo wenyewe wa Muungano hauna tafsiri kwa vile Tanganyika haipo vyatanganyika vyote ni vyaa muungano
 
Miye nilishawasihi TPDF kufuatilia motive ya huyu mama! Hivi wale combat intelligensia wa JW wako wapi!? TISS wamelambishwa ASALI tayari! Something serious is cooking! WATCH IT! it is coming!
Kajambe ulale. Inawauma bandari tu watu wa kanisani.
 
ukisoma Katina Kuna ma, mambo ya muungano na yasiyo ya muungano hivyo wakienda mahakamani serikali itashindwa mapema.
Mnachoshindwa kuelewa ni kwamba mambo ya muungano yanaihusu Tanganyika na Zanzibar. Na Yale ambayo siyo ya muungano yanaihusu Zanzibar peke yake. Kwahiyo wazanzibari Wana haki ya kushiriki kila kitu huku Tz bara kwa sababu mambo ya Tanganyika yote ni ya muungano ila watanganyika hawawezi kushiriki mambo ya Zanzibar kwakuwa mambo ya Zanzibar siyo ya muungano.
 
Back
Top Bottom