Mabadiliko ya katiba kutoa ukomo wa raisi kuongoza miaka kumi tuu na kumpa nafasi Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan kugombea tena 2030

Mabadiliko ya katiba kutoa ukomo wa raisi kuongoza miaka kumi tuu na kumpa nafasi Mheshimiwa Dkt Samia Suluhu Hassan kugombea tena 2030

Hata bila mabadiliko ya katiba, mama Samia ana haki ya kugombea mara mbili.

Hii awamu siyo yake.
Hili tuliliongea mkalikataa. Tuliwaambia mama anamalizia awamu ya 5 ya Magufuli kikatiba mkakataa mkasema hii ni awamu ya 6. Sasa awamu unayosema siyo ya Samia ni ipi? ya 5, au ya 6 kwa maana awamu ya ya Magu ilikuwa ya 5.
 
Hili tuliliongea mkalikataa. Tuliwaambia mama anamalizia awamu ya 5 ya Magufuli kikatiba mkakataa mkasema hii ni awamu ya 6. Sasa awamu unayosema siyo ya Samia ni ipi? ya 5, au 6?

Kila mmoja na uelewa wake, wengine wanakataa wengine wanakubali. Mwisho wa siku wataalaam wanamuwa.
 
Ndugu zangu watanzania katiba yetu imeweka ukomo wa muhula mmoja wa viongozi akiwamo rais na wabunge kuchaguliwa kila baada ya miaka mitano. Hii ni nzuri ila tatizo kubwa ni kwamba katiba imeweka ukomo wa raisi kuwa miaka 10 tuu kitu ambacho sio sahihi.

Ni muda muafaka kifungu hicho kifanyiwe marekebisho haraka ili raisi aweze kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi na kuendelea. Miaka mitano au kumi ni michache sana kumpatia mama atuvushe. Kwaiyo mfano katiba mpya ikija iwe na option kama raisi akitaka kugombea agombee tena na sio miaka kumi ikiisha ndiyo basi.

Hii imekaa poa manake kuna katiba za vyama watu wanaruhusiwa kugombea nafasi hadi miaka 20 na kuendelea .

Pamoja tuungane na tujenge taifa letu
Badison dishi linayumba, yaani umekaa ukaona itungwe katiba kwa ajili ya "mama kutuvusha!"
 
Some human are dead walking, hopeless hopeless
 
Hata bila mabadiliko ya katiba, mama Samia ana haki ya kugombea mara mbili.

Hii awamu siyo yake.
Awamu ya 6 ni ya nani kama siyo yake? katiba inasema awamu 2. kama hii ni yake basi ni awamu ya kwanza hata kama kahudumu kwa miaka2 ijayo ni ya mwisho.
 
Awamu ya 6 ni ya nani kama siyo yake? katiba inasema awamu 2. kama hii ni yake basi ni awamu ya kwanza hata kama kahudumu kwa miaka2 ijayo ni ya mwisho.
Ya mama Sami na hata 2025 itaendelea kuwa awamu ya sita.
 
Ndugu zangu watanzania katiba yetu imeweka ukomo wa muhula mmoja wa viongozi akiwamo rais na wabunge kuchaguliwa kila baada ya miaka mitano. Hii ni nzuri ila tatizo kubwa ni kwamba katiba imeweka ukomo wa raisi kuwa miaka 10 tuu kitu ambacho sio sahihi.

Ni muda muafaka kifungu hicho kifanyiwe marekebisho haraka ili raisi aweze kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi na kuendelea. Miaka mitano au kumi ni michache sana kumpatia mama atuvushe. Kwaiyo mfano katiba mpya ikija iwe na option kama raisi akitaka kugombea agombee tena na sio miaka kumi ikiisha ndiyo basi.

Hii imekaa poa manake kuna katiba za vyama watu wanaruhusiwa kugombea nafasi hadi miaka 20 na kuendelea .

Pamoja tuungane na tujenge taifa letu
una washwa??
 
Hata bila mabadiliko ya katiba, mama Samia ana haki ya kugombea mara mbili.

Hii awamu siyo yake.
Watu kama nyie ndio mnakosoa maandiko ya Maaskofu wa TEC watu waliosoma mpaka wakanuka vitabu mkuu? Mbona weupe sana vichwani?
 
Mavi weee...


Kwahiyo siku akija kichaa naye abadili kuongoza milele?

Hivi nyie weusi hamjui kwann ni maskini kuanzia wa mali hadi fikira kwakua mnatumia tumbo kufikiri?

Muda wote mnawaza kula na kutapanya kila kitu, na kwamba wajukuu zenu watajijua wenyewe wakija, wakti wazungu wenzangu wanakuja kuwalaghai na vipande vichache vya hela kama rushwa kwa ajili ya wajukuu zao, na sio wao binafsi.

Najiita mzungu maana nataka ni bleach hii ngozi yangu ya laana.
Mkuu hii Nchi ngumu sana na pia hii awamu ya 6 siyo ya samia kwani hajapigiwa kura wala hajatoa ahadi yoyote kwa mtanzania bali Dkt Samia anamalizia alichoanzisha Hayati Magufuli.

Awamu ya mama itakuwa ya 7 inamaanisha kwamba mwaka 2025 mama atagombea na kutoa ahadi zake kwa watanzania na akichaguliwa ndiyo awamu ya saba inaanzamo na awamu ya muhula wa pili ya mama itakuwa 2030. Kwaiyo kuanzia 2030 kuendelea ndiyo kama tukibadili katiba.

Yani Dk samia bado tunae sana kama miaka 12 imebaki ngoma bado mbichi
 
una washwa??
Kwanini humpendi raisi wako mimi siwezi kuwa muongo Magufuli nilimpenda sana na amekufa akisakamwa na nikajifunza kuwa kiongozi mzuri anachukiwa kama mama Samia. Siwezi kumpenda ruto au kagame alafu nimchukie Samia. Laana ya mzee John inawatafuna ndiyo mana mna hasira na mama
 
Ndugu zangu watanzania katiba yetu imeweka ukomo wa muhula mmoja wa viongozi akiwamo rais na wabunge kuchaguliwa kila baada ya miaka mitano. Hii ni nzuri ila tatizo kubwa ni kwamba katiba imeweka ukomo wa raisi kuwa miaka 10 tuu kitu ambacho sio sahihi.

Ni muda muafaka kifungu hicho kifanyiwe marekebisho haraka ili raisi aweze kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi na kuendelea. Miaka mitano au kumi ni michache sana kumpatia mama atuvushe. Kwaiyo mfano katiba mpya ikija iwe na option kama raisi akitaka kugombea agombee tena na sio miaka kumi ikiisha ndiyo basi.

Hii imekaa poa manake kuna katiba za vyama watu wanaruhusiwa kugombea nafasi hadi miaka 20 na kuendelea .

Pamoja tuungane na tujenge taifa letu
Nimeamini Mchawi sio lazima AKULOGE usiku.
Hata maneno TU Kama haya NI uchawi tosha
 
Ndugu zangu watanzania katiba yetu imeweka ukomo wa muhula mmoja wa viongozi akiwamo rais na wabunge kuchaguliwa kila baada ya miaka mitano. Hii ni nzuri ila tatizo kubwa ni kwamba katiba imeweka ukomo wa raisi kuwa miaka 10 tuu kitu ambacho sio sahihi.

Ni muda muafaka kifungu hicho kifanyiwe marekebisho haraka ili raisi aweze kukaa madarakani zaidi ya miaka kumi na kuendelea. Miaka mitano au kumi ni michache sana kumpatia mama atuvushe. Kwaiyo mfano katiba mpya ikija iwe na option kama raisi akitaka kugombea agombee tena na sio miaka kumi ikiisha ndiyo basi.

Hii imekaa poa manake kuna katiba za vyama watu wanaruhusiwa kugombea nafasi hadi miaka 20 na kuendelea .

Pamoja tuungane na tujenge taifa letu
Wewe ni mpumbavu. Hata maelezo sina ila wewe badison ni kiazi mbatata kabisa
 
Back
Top Bottom