Chengine wekeni kitufe cha kuomba msamaha ban ya wiki mbili sio mchezo nyie..!
Max melo uje ujaribu nawewe kujipiga ban uone utamu kunoga..π
Appeal system itaboreshwa.Chengine wekeni kitufe cha kuomba msamaha ban ya wiki mbili sio mchezo nyie..!
Maxence Melo uje ujaribu nawewe kujipiga ban uone utamu kunoga..π
Namna hiyo, kazi nzuri...Wakuu,
Tupo kwenye hatua za mwisho kuja na JF yenye mwonekano mpya ambayo inaendana na mabadiliko ya teknolojia. Ndani ya saa 72 zijazo mabadiliko haya yataonekana kwa wengi.
Katika mabadiliko haya, huenda ukakutana na kitu kikakufurahisha, kikakuchanganya, kikakufanya uone kuna haja ya kuongeza au kupunguza n.k - usisite kutujulisha kupitia uzi huu.
Thread hii itatumika kukusanya maoni yenu na yatazingatiwa ajili ya kujenga sehemu bora na salama zaidi kwa ajili ya kila mmoja wetu.
Kwa wale watumiaji wa App, tunashauri kujaribu App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi kwani itaendana vema zaidi na kinachokuja.
Tunawashukuru kwa ushirikiano mnaotupa kila mara kwani hadi toleo hili ni tokana na maoni yenu.
Kutakuwa na features kadhaa hazitakuwa released mapema hadi zikamilike kufanyiwa testing ndipo ziwe applied.
Tunawapenda, tunawajali na tunaahidi kuendelea kutoa huduma bora.
Asanteni sana!
Sio mchezo mm walinipiga mwezi ila ndio ivo notorious ni notorious tuChengine wekeni kitufe cha kuomba msamaha ban ya wiki mbili sio mchezo nyie..!
Max melo uje ujaribu nawewe kujipiga ban uone utamu kunoga..π
Tumia browser kwa muda kidogo mkuu. Actually bora utumie hii App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi na utaona utofauti after the release.Mkuu tunashukuru sana,
Ila kwangu jamiiforum app haileti notifications kwa wakati,
Nalazimika kutumia browser
Trending threads,kuwe na #hashtags
Most viewed thread based on what you likes&commented
Breaking News kwa top ya homepage
verified users
kujirudia kwa threads kwenye page moja
JF itakuwa sehemu salama endapo utatusaidia kutumia REPORT button kwa uzuri. Usiache kutuarifu ili tuchukue hatuaKingine mjitahidi kuzingatia maadili. Lugha za matusi na zisizo za kistaarabu zimeshamiri sana. Watu wanatukana matusi mazito sana humu. Lifanyieni kazi.
[emoji23][emoji23][emoji23]Hapa na mie nakazia, watoe hii hali sio nzuri. Wafute kabisaa.
Shangazi naogopa kuumbuka mwenzio. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Smu za wanyonge jamanπ€£π€£π€£π€£π€£Hatutaki ziwe zinaonekana aina za simu haswa hizi simu za wanyonge infinix na Tecno kama hapo chini ukipublish tuu
Pia ukituma iphone huoni kitu kama hicho
Sent from my TECNO CD7 using JamiiForums mobile app
Sitaki kupitwa na mambo mazuriπNaona uko seat ya mbele π
PIA Wampunguzie BAN Miss antibiotic a.k.a GENTAMYCINEMpunguzieni ban extrovert zimekuwa nyingi mnoo
Afu yule kenge mpwayungu village mpigeni ban ya maisha bila kumsahau yule Genta nini sijui