Huyo sio apunguziwe ban bali achunguzwe tuhuma zake za kuhusishwa na umiliki wa zaidi ya ID mojaPIA Wampunguzie BAN Miss antibiotic a.k.a GENTAMYCINE
Huyo extrovert wana m ban wanini mbona kama nimtu pisi tu kaziyake niku like kilakitu.Mpunguzieni ban extrovert zimekuwa nyingi mnoo
Afu yule kenge mpwayungu village mpigeni ban ya maisha bila kumsahau yule Genta nini sijui
Ukiona hivyo ujue unatumia AppMtu akinitag au kumention jina langu, sipati notifications
Huyu Mpwayungu kaanzisha uzi afu kakimbia...Mpunguzieni ban extrovert zimekuwa nyingi mnoo
Afu yule kenge mpwayungu village mpigeni ban ya maisha bila kumsahau yule Genta nini sijui
Hata mi nashangaa badala ya kulipiga ban popoma Gentamycin wanampiga ban mzee wa tokyo ExtrovertHuyo extrovert wana m ban wanini mbona kama nimtu pisi tu kaziyake niku like kilakitu.
Pole kwa tatizo lako ila kiukweli hata mimi kuna siku ulinifutia comment nikaonekana kama najisemeshaNdugu Max mimi naomba mniambie kwanini ni mimi peke yangu ndio napigwa Ban kila nikifuta Comments tena Ban zangu hua za kuanzia mwezi hadi miezi 7. Why only me?? Wakati sio mwenyewe ninaefuta michango. Kuna watu humu ni vinara wa kufuta Comments ila hawajawahi kupigwa ban ila mm nikifuta tu.. nakula ya miezi
Inauma sana😞😞😔😔
View attachment 2239898View attachment 2239900
Sio usaliti tu iwe kama mhujumu uchumi kesi yake haina dhamana dadekHuyu Mpwayungu kaanzisha uzi afu kakimbia...
Watu kama hawa wahesabike kama wasaliti
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] yaan wee acha tyuuu.[emoji23][emoji23]Nimecheka kama chizi ulivoongea kwa uchungu auntyangu
Mkuu,Wakuu,
Tupo kwenye hatua za mwisho kuja na JF yenye mwonekano mpya ambayo inaendana na mabadiliko ya teknolojia. Ndani ya saa 72 zijazo mabadiliko haya yataonekana kwa wengi.
Katika mabadiliko haya, huenda ukakutana na kitu kikakufurahisha, kikakuchanganya, kikakufanya uone kuna haja ya kuongeza au kupunguza n.k - usisite kutujulisha kupitia uzi huu.
Thread hii itatumika kukusanya maoni yenu na yatazingatiwa ajili ya kujenga sehemu bora na salama zaidi kwa ajili ya kila mmoja wetu.
Kwa wale watumiaji wa App, tunashauri kujaribu App Mpya ya JamiiForums: Fuata hatua hizi kwani itaendana vema zaidi na kinachokuja.
Tunawashukuru kwa ushirikiano mnaotupa kila mara kwani hadi toleo hili ni tokana na maoni yenu.
Kutakuwa na features kadhaa hazitakuwa released mapema hadi zikamilike kufanyiwa testing ndipo ziwe applied.
Tunawapenda, tunawajali na tunaahidi kuendelea kutoa huduma bora.
Asanteni sana!
Da'Vinci ukiweza kubali maonyo wala huna haja ya kushupaza shingo na kujaribu kufanya ulinganifu wa hiki na kile.Ndugu Max mimi naomba mniambie kwanini ni mimi peke yangu ndio napigwa Ban kila nikifuta Comments tena Ban zangu hua za kuanzia mwezi hadi miezi 7. Why only me?? Wakati sio mwenyewe ninaefuta michango. Kuna watu humu ni vinara wa kufuta Comments ila hawajawahi kupigwa ban ila mm nikifuta tu.. nakula ya miezi
Inauma sana[emoji20][emoji20][emoji17][emoji17]
View attachment 2239898View attachment 2239900
PolesanaNdugu Max mimi naomba mniambie kwanini ni mimi peke yangu ndio napigwa Ban kila nikifuta Comments tena Ban zangu hua za kuanzia mwezi hadi miezi 7. Why only me?? Wakati sio mwenyewe ninaefuta michango. Kuna watu humu ni vinara wa kufuta Comments ila hawajawahi kupigwa ban ila mm nikifuta tu.. nakula ya miezi
Inauma sana[emoji20][emoji20][emoji17][emoji17]
View attachment 2239898View attachment 2239900
Mkuu Maxence Melo huu ushauri wa kupewa onyo kabla ya kupigwa bani hebu uchukueni.Ushauri wangu,wekeni option ya kumfanya member aweze kupewa warning kabla hajapigwa BAN ili ajue ajirekebishe vipi.
Wengi humu hawako comfortable na id zao wanazotumia sasa kutokana na walipigwa life ban Id zao za zamani kutokana mods kuhisi hisi watu hovyo,watu tunawasiliana PM kwa mambo ya maana siku mods akiamka vibaya mtu anakula life ban ukihitaji urudi PM ktk acc yako kuangalia yale mliyoshauriana na member mwenzio uyafanyie kazi ktk maisha halisi huwezi tena ku-access chochote.
Ni ushauri tu nimetoa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Katika kitu kinaniudhi ni kumuignore mtu halafu bado naona post zake, inatakiwa hata wewe mmiliki wa jf nikikublock basi nisione hata kope yako hapa ikipepea.
Kwani lipo? Si walishafuta?Kuna jukwaa linaitwa jukwaa la wakubwa, naomba pamoja na mengine maboresho haya yaweke urahisi wa jukwaa hilo kufikika kirahisi, maana mpaka sasa sijajua wanaopaswa kushiriki kwenye hilo jukwaa wanatakiwa kuwa na vigezo gani.
Yatawagusa...Je, mabadiliko hayo yatagusa na wale wanaotumia freebasic kutembelea jamiiforum?
Ahsante sana Sophy. Ukiona nimepigwa Ban tu ujue sababu ni hiyo😞Polesana