Mabadiliko ya Sheria: Rais, Makamu wake, Jaji Mkuu, Waziri Mkuu na Spika wa Bunge kutofunguliwa kesi Mahakamani

Mabadiliko ya Sheria: Rais, Makamu wake, Jaji Mkuu, Waziri Mkuu na Spika wa Bunge kutofunguliwa kesi Mahakamani

Mambo mengi yalianza kimya kimya ila sasa wameamua kuweka hadharani kuonesha kwamba wapo serious hawana haja ya kujificha tena. Wanajitengenezea na ukuta wa kuwalinda ili wawe huru kuharibu zaidi. Bila shaka huko tuendako makubwa yatafanyika tena bila haya wala woga wakiamini hakuna cha kuwatisha tena.

Hatahivyo, wanachopaswa kuelewa kama ilivyokuwa kwa tawala zote za mabavu na kiburi duniani hakuna iliyowahi kudumu. Kwanini wasitende mema ili watakapotoka wawe na amani? Kuliko unatoka madarakani unahofia atakayeingia unakosa amani. Tengenezeni katiba nzuri tu ambayo wengi wataifurahia unatoka madarakani unakuwa kama Obama tu unakuwa free kuzungumza chochote bila kumhofia aliyeko madarakani asije kukugeuzia kibao kutokana na madudu yako uliyoyafanya wakati ukiwa madarakani.

Kila jambo lina mwisho wake, ni Mungu tu asiye na mwisho.
 
Aspect of fear of your own shadow

14 May 2016


Challenges of strengthening the rule of law by Hon. Justice Augustino Ramadhani, President of the African Court on Human and Peoples’ Rights part 1

Source : African Court
 
May 2016
Hon Justice Augustino Ramadhani : Rule of Law means Nobody is above the Law
Challenges of strengthening the rule of law by Hon. Justice Augustino Ramadhani, President of the African Court on Human and Peoples’ Rights part 2



Source : African Court
 
Hii tena imezidi. Jamani ndugu zetu watanzania muko macho au ndio bado tumelala. Tumekwisha. Lazima hii iwe challenged ktini maana CCM wanafanaya watakavo tu. Ujinga tu.
 
Wapinzani wasingesusia bunge la katiba huenda tungekuwa na katiba mpya!
Unasubiri kutetewa na wabunge, kweli watanzania bado safari ni ndefu. Kwa idadi ya wabunge wa upinzani kwa ccm wasingetoboa, ongezeni hata idadi ya wabunge waupinzani hamtaki ila msipotetewa mnalalamika
 
Best comment kwenye hui uzi..
CCM ni chama kinachoelekea kuiweka nchi katika hali ya sinto fahamu. Vyama vya upinzani vilizuiwa kufanya siasa tangu 2015. Wabunge wengi wa upinzani wamerubuniwa kwa maslahi yao binafsi kurudi CCM na sikuhizi wanachepukia CCM B (NCCR Mageuzi).

Ukizingatia ile kauli ya Rais Magufuli kuwa nikuteue wewe, ni kulipa mshahara na gari la kutembelea alafu umtangaze mpinzani ameshinda. Ni wazi kwamba CCM wamejipanga kuwa na the majority seats katika Bunge lijalo.

Hizo Sheria zitakazopitishwa huko Mungu atusaidie, tunawza kujikuta tunamnunulia Rais oxygen kutoka mawinguni ili tumlinde na magonjwa cams corona, na ni sheria imepitishwa.
 
Huyu mkuu ameona kabisa atawekwa kwenye mikono ya sheria, hao anaowatuma kunajisi katiba wamemwambia kuwa wao hawako salama kama yeye, hivyo kaona atengeneze sheria zitakazowalinda wote. Hiyo ni ishara kuwa wanajiandaa kufanya ukatili na kunajisi katiba kwa kiwango cha juu, hivyo wanajiwekea kinga.
Tindo, tatizo ni wananchi wala si viongozi. Wanajua chochote wanachofanya hakuna opposite reaction . Kama watu wakiandamana kupinga ,upumbavu hauwezi kupitishwa. Sema wanajua WaTz hawajali haki zao.
 
June 4, 2020

"THRDC NA LHRC WAUSHUKIA MUSWADA WA MABADILIKO YA SHERIA MBALIMBALI"
Ikiwemo : kinga / immunity kwa
Wafanyakazi wote wa Mahakama kuanzia Majaji, Mahakimu mpaka ngazi za mhasibu na makarani wafanyakazi wa Mahakama watapewa kinga kwa chochote watachofanya ktk utekelezaji wa kazi zao Mahakamani.

 
Msitishike. Siku ya siku UNA SUSPEND KATIBA, UNAUNDA MAHAKAKAMA MAALUMU UNAWASHITAKI NA KUWAFUNGA. Ni ujinga mchana kweupe kujitungia sheria za kuwadhulumu, kuwakandamiza wengine and then zisimame after you! Common sense, reason and justice dictate that katika udhalimu kama huu you act that way to make sure that Justice is done after them!

Lex malla, lex nulla. A bad law is no law
 
Tindo, tatizo ni wananchi wala si viongozi. Wanajua chochote wanachofanya hakuna opposite reaction . Kama watu wakiandamana kupinga ,upumbavu hauwezi kupitishwa. Sema wanajua WaTz hawajali haki zao.
Kuna conditions zimewekwa ili uweze kufungua kesi. Sio kwamba unazuiliwa. Hata hivyo toka hapo awali hata ukimshitaki Rais ni Ag ndio alikuwa anamuwakilisha. Mimi nafikiri Chadema wamepanick kila kitu mnadandia mkizani kitawasaidia.
 
Umwinyajwi wa haki na Uhuru wa Mtanzania

Mtazaamo wangu Ni kuwa kila aliechaguliwa na wananchi ni wajibu wa Wananchi kumshtaki au kumuadhibu kwa loss alilolifanya kama mtu huyo kafanya kosa
 
Hawa watu wameshaota kuwa watakaa madarakan milele mpaka kujitungia sheria za kuwalinda. hii ni tatizo
 
One Nation. Two Systems.

Serikali, Bunge "HAVISHTAKIWI"

Mahakamani tutakuwa tunapelekana sisi wenyewe wezi wa kuku na wazurulaji.

Mpaka 2025, Tutakuwa kwenye hali mbaya ' Hapa inachukuliwa HATUA moja baada ya nyingine' hata hao wanaomchekea watajikuta hawawezi kufanya chochote.
 
Our freedoms are vanishing. If you do not get active to take a stand now against all that is wrong while we still can, then maybe one of your children may elect to do so in the future, when it will be far more riskier — and much, much harder.
 
Back
Top Bottom