Mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi: Je Tupige Ndege Wawili kwa Jiwe Moja kwa Uchaguzi Serikali za Mitaa/Mkuu, Ufanyike Siku Moja au Tuendeleze Mazoea?

Kumradhi mleta mada nimesoma heading ya uzi tu. Nitarudi baadaye kusoma bandiko zima. Lakini, nimeona kwanza nitoe maoni yangu haya:

Naona umuhimu wa kuongeza muda wa awamu kutoka miaka mitano kuwa miaka minane. Hii miaka mitano, inatuumiza ki-mali na ki-hali.
 
Naunga Mkono hoja!.
Nimetoa hoja kama hii mara mbili, Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana! kisha

Mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi: Je Tupige Ndege Wawili kwa Jiwe Moja kwa Uchaguzi Serikali za Mitaa/Mkuu, Ufanyike Siku Moja au Tuendeleze Mazoea?

Na sikuishia kuandika tuu jf, bali nimendikia makala
View attachment 2987132

Na kuisema wazi kwenye mikutano ya mapendekezo!.
View: https://youtu.be/3a4SjkV46JY?si=xTaadxXIHp2ExGXB
P
 
Mwaliko ni umekosewa, ni kikao cha kutunga kanuni!.
Ila nijuavyo mimi sheria mpya ya uchaguzi imeifuta sheria ya uchaguzi wa serikali za mitaa, hivyo nawashauri Chadema wahudhurie na kuomba uchaguzi wa serikali za mitaa ufanywe mwakani na usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi kama nilivyo shauri hapa Mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi: Je Tupige Ndege Wawili kwa Jiwe Moja kwa Uchaguzi Serikali za Mitaa/Mkuu, Ufanyike Siku Moja au Tuendeleze Mazoea?

Na hapa Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

P
 
Mwaliko ni umekosewa, ni kikao cha kutunga kanuni!.
Ila nijuavyo mimi sheria mpya ya uchaguzi imeifuta sheria ya uchaguzi wa serikali za mitaa, hivyo nawashauri Chadema wahudhurie na kuomba uchaguzi wa serikali za mitaa ufanywe mwakani na usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi kama nilivyo shauri hapa Mabadiliko ya Sheria ya Uchaguzi: Je Tupige Ndege Wawili kwa Jiwe Moja kwa Uchaguzi Serikali za Mitaa/Mkuu, Ufanyike Siku Moja au Tuendeleze Mazoea?

Na hapa Mnaonaje Uchaguzi wa Serikali za Mtaa Ufanywe Siku Moja na Uchaguzi Mkuu na Usimamiwe na Tume Huru ya Uchaguzi? Samia Atabarikiwa Sana!

P
 
Sasa hivi Urais sio lazima mtu awe na shahada??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…