Yule ndo mtu mjinga kuliko wote duniani.Haya sasa yule waziri Ndungulile aliyekuwa anawajaza uongo yuko wapi ???
Ila mwisho wa ujinga ni saa nne.Leo ni siku ya wajinga kwahiyo Vodacom watuache kwanza
Na bado tutateseka sanaLeo nimeweka voucher ya jero kama kawaida yangu kifurushi cha jero ni mb 500 nifungue Sasa Menu nijiunge nakuta mambo kama ifuatavyo .....
Sasa hii ni kukomoanaView attachment 1740253
Utakimbilia wapi maana mitandao yote wamebanaaaaa baada ya bei elekezi sijuiLeo nimeweka voucher ya jero kama kawaida yangu kifurushi cha jero ni mb 500 nifungue Sasa Menu nijiunge nakuta mambo kama ifuatavyo .....
Sasa hii ni kukomoanaView attachment 1740253
MITANO TENA TUNAPASUA ANGAEbu ingia kwenye code za vifurushi uone bei mpya , Yaani kumbe Aliongeza ili akomoe raia
Dah
Maendeleo hayana chama
Hivyo virushi viwili cha 1000 kwa wiki na cha usiku ndio vilifanya niwe natumia halotel,sasa hivi sioni sababu ya kuendelea kutumia halotel.Ni kweli vifurushi vimebadirika hasa halotel MEGA bando tulikuwa tunapata kwa Tsh 1000 GB 1 Na dk halotel-halotel lakini sahivi unapata Tsh 1000 MBs 450 dakika 15 (mitandao yote), kile kifurushi cha usiku wa saa sita wametoa kama cha Tsh 500 GB 1, Tsh 1500 GB 5 havipo