Equation x
JF-Expert Member
- Sep 3, 2017
- 33,679
- 49,841
- Thread starter
-
- #101
Chukulia mfano una miaka 75 umelazwa, vijana wako wote 15 wako na wewe pale na wamepanda hewani na kila mmoja ana mishe zake huko duniani; hapo utajisikiaje?Kuzaa hovyo ji ujinga.
Vijana 15 kila mmoja na mama yake?🤣Chukulia mfano una miaka 75 umelazwa, vijana wako wote 15 wako na wewe pale na wamepanda hewani na kila mmoja ana mishe zake huko duniani; hapo utajisikiaje?
Muhimu tu wawe wamoja 😀Vijana 15 kila mmoja na mama yake?🤣
Hata vijana watakuwa wanamshangaa mgonjwa pale kitandani🤣🤣Vijana 15 kila mmoja na mama yake?🤣
Kuna mzee mmoja juzi kanichekesha na kunihuzunisha pia, hatembei na na 20+, yeye ni 18-20 tu na yupo 69yrs. Anadai ana watoto 18 kila mmojaana mama yake, hajawahi kuoa wala kuishi na mwanamke. Akapiga simu kuongea na babe wake(19yrs) ametoka kujifungua mwezi jana, yaani juzi niliipata definition ya "mzee wa hovyo" live🤣🤣Hata vijana watakuwa wanamshangaa mgonjwa pale kitandani🤣🤣
Babu umeongea point sana.Hiyo mimba itaingia iwapo atakuwa hajafunga "Hand break"
Siku hizi Kwa Kila Wanawake 5 basi 3 ukiwaangalia kwenye Mkono wao wa kushoto utakuta Wana hand break ( wanatumia vimti kujilinda na mimba zisizo tarajiwa)
Refer case ya Vanessa Mdee na Juma Jux
Pamoja na Jux kupiga mashuti makali lakini hakuweza hata kumbebea mimba, lakini Rotimi kugusa kidogo tu, Vanessa akaanza kuhisi kichefuchefu na kuanza kula udongo mwekundu 😜🙌
Kwahiyo kuzaa na Mwanamke ni lazima hiyo PisiKali ikubali, vinginevyo hutaambulia hata mtoto wa dawa
Tubu umrudie Mungu.Kuna pisi kali nimezaa nao mpaka nafsi yangu inasikia faraja; watoto wakali kuanzia sura, chura, hipsi, urefu, na wakazaa watoto wazuri hata nikiwaona kwa mbali najiona kweli nimetumia uanaume wangu vizuri.
Cha kushangaza, kila mmoja aniiti jina langu tena; bali wananiita baba fulani kutokana na watoto niliozaa nao, kupasha kiporo ni muda wowote tu ule unavyojisikia, muhimu bajeti kwa muda ule uweze kuimudu tu.
Kinacho wachanganya zaidi ni swaga zangu, ucheshi, kutokuishi kizee, pamoja na kujali kwa vitu vidogo vidogo.
Kila siku nimekuwa ni mtu wa kupata mialiko kutoka kwa hawa pisi kali zangu, sema tatizo ni bajeti nashindwa kuwafikia wote kwa wakati, kwa sababu wengine wako mikoa tofauti.
Kweli najiona kidume kuwa na hizi pisi kali zilizonizawadia watoto.
Nimecheka balaaSingo maza incubator
Babu mbona kama unaiomba kijanja?Isije kuwa zile stori za "Mji mzito" ni za kweli kwamba anashiriki ile michezo ya Vijana wa hovyo 🙌
Ila Mjukuu, suala la nani wa Kuzaa naye huwa linaamuliwa na Mwanamke mwenyewe
Imagine umri wangu huu wa Uzee, hivi Kuna Binti anaweza kunitegea mimba kweli?😜
🙆🙆🙆Daaah Kuna watu Wana lifestyles za kipekee!au ndio Ile Raha ya kuitwa Dady ulivyosema juzi😁?Kuna mzee mmoja juzi kanichekesha na kunihuzunisha pia, hatembei na na 20+, yeye ni 18-20 tu na yupo 69yrs. Anadai ana watoto 18 kila mmojaana mama yake, hajawahi kuoa wala kuishi na mwanamke. Akapiga simu kuongea na babe wake(19yrs) ametoka kujifungua mwezi jana, yaani juzi niliipata definition ya "mzee wa hovyo" live🤣🤣
Utubu kwa lipi sasa, wakati maandiko yanasema nendeni duniani mkaongezekeTubu umrudie Mungu.
Pia kumbuka uzuri bila akili ni mateso kwa sehemu za siri.
Kama nani yule wa kwenye maandiko?sawa kama nakuona hivi unataka kuwa baba wa mataifa
IbrahimKama nani yule wa kwenye maandiko?
haelewi kwamba tupo kuijaza duniaUtubu kwa lipi sasa, wakati maandiko yanasema nendeni duniani mkaongezeke
Kuna maeneo, mapori yanazidi idadi ya watuhaelewi kwamba tupo kuijaza dunia
NA BADO HAIJAJAA MPAKA NAFASI IISHE
Brother lea watoto sasa sio kufurahia tu mambo kama hayo, walee katika maadili mazuri,Kuna pisi kali nimezaa nao mpaka nafsi yangu inasikia faraja; watoto wakali kuanzia sura, chura, hipsi, urefu, na wakazaa watoto wazuri hata nikiwaona kwa mbali najiona kweli nimetumia uanaume wangu vizuri.
Cha kushangaza, kila mmoja aniiti jina langu tena; bali wananiita baba fulani kutokana na watoto niliozaa nao, kupasha kiporo ni muda wowote tu ule unavyojisikia, muhimu bajeti kwa muda ule uweze kuimudu tu.
Kinacho wachanganya zaidi ni swaga zangu, ucheshi, kutokuishi kizee, pamoja na kujali kwa vitu vidogo vidogo.
Kila siku nimekuwa ni mtu wa kupata mialiko kutoka kwa hawa pisi kali zangu, sema tatizo ni bajeti nashindwa kuwafikia wote kwa wakati, kwa sababu wengine wako mikoa tofauti.
Kweli najiona kidume kuwa na hizi pisi kali zilizonizawadia watoto.