Mabaharia wenzangu, ukitembea na pisi kali, hakikisha unabebesha mimba

We usijisifu ukidume, washukuru walikuhurumia tu, watu wana mkwanja na pisi kali zinatoa mimba kimya kimya hazisemi kwa jamaa kama zina mimba kwa kuhofia jamaa anaweza akataka izae.
 
We usijisifu ukidume, washukuru walikuhurumia tu, watu wana mkwanja na pisi kali zinatoa mimba kimya kimya hazisemi kwa jamaa kama zina mimba kwa kuhofia jamaa anaweza akataka izae.
Wengine wanafeli kwenye swaga na kutanguliza hela mbele; hela sio kila kitu.
 
Na wengi wanaokuwa bila malezi ya baba huwa wana vipaji maalumu; muhimu kuwa hudumia pale panapo wezekana
Kuna MTU aliwahi ku kuleta Uzi humu unaohusu Alfa male and better male. Ukiusoma unaweza kuona umuhimu wa mtoto kupata malezi ya Baba na mama na athali za mtoto kupata malezi ya upande mmoja. Sometimes kukosa malezi ya Baba na mama kunaweza kumuathili mtoto kisaikolojia
 
๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™†๐Ÿ™† Ewwwwww
 
Unajua balaa la Mtoto wewe!
 
Umetuhakikishia pia watoto wako ni pisi kali. Ngoja niwasikilizie hata kwa chumvi nile.

Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ