Mabasi ya mikoani inabidi muwe na muda maalum wa kuwasha na kuzima TV

Mabasi ya mikoani inabidi muwe na muda maalum wa kuwasha na kuzima TV

Wangekuwa wanaweka filamu za kuchekesha ni nzuri, na zinafanya safari kuonekana fupi
 
Wangekuwa wanaweka filamu za kuchekesha ni nzuri, na zinafanya safari kuonekana fupi
Filamu za kina mkojani au bongo movies mbona bado poor sana tu, mimi huwa nahisi kelele tu za kuumiza kichwa.
 
Filamu za kina mkojani au bongo movies mbona bado poor sana tu, mimi huwa nahisi kelele tu za kuumiza kichwa.
Tatizo tulilonalo, ni sisi abiria kuwa na misongo ya mawazo inayopelekea kusikia kitu chochote kile kinakuwa ni kero kwetu.

Cha kufanya, ni sisi abiria/watu tujitahidi kupunguza misongo ya mawazo, tukiamini maisha ya binadamu ni kuwa na uhakika wa kula, kuvaa, na kulala basi; hayo mengine tusiyafikirie sana.

Hii itapelekea wengi kuwa na nyuso za furaha​
 
Tatizo tulilonalo, ni sisi abiria kuwa na misongo ya mawazo inayopelekea kusikia kitu chochote kile kinakuwa ni kero kwetu.

Cha kufanya, ni sisi abiria/watu tujitahidi kupunguza misongo ya mawazo, tukiamini maisha ya binadamu ni kuwa na uhakika wa kula, kuvaa, na kulala basi; hayo mengine tusiyafikirie sana.

Hii itapelekea wengi kuwa na nyuso za furaha​
TV zingeondolewa tu kwenye mabasi ingekuwa jambo bora zaidi mkuu,
Kama mtu anataka muziki au movies asubirie aangalie kwake,
 
TV zingeondolewa tu kwenye mabasi ingekuwa jambo bora zaidi mkuu,
Kama mtu anataka muziki au movies asubirie aangalie kwake,
Zile zinasaidia kwa sababu, unaweza ukakutana na abiria mmekaa naye siti moja na hataki kuzungumza na wewe, kuna wengine mpaka wanaziba masikio kabisa​
 
Ndio maana nikasema inabidi kwenye bus wafanye kubalance, nusu ya safari TV isiwashwe/izimwe halafu nusu ya pili ya safari ndio TV iwashwe.
Usitupangie,,, panda gari lako,, sisi wa mikoani tunaona sawa kwa sababu safari zetu ni masaa 20+,,, kwa hiyo hata tukiona, na ule uchovu wa safari lazima ndani ya gari tutalala kwenye ule muda ambao mimi nimechoka
 
Back
Top Bottom