johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
Serikali imetoa ruksa kwa mabasi yenye rangi ya njano yanayobeba wanafunzi kutumika kama daladala wakati huu ambapo shule zimefungwa.
Mkurugenzi mkuu wa Latra amesema wamiliki wa school bus watapewa vibali vya kuweza kubeba abiria kwa kipindi cha miezi mitatu ili kufidia upungufu wa mabasi uliosababishwa na utaratibu mpya wa level seat.
Source Eatv habari!
Mkurugenzi mkuu wa Latra amesema wamiliki wa school bus watapewa vibali vya kuweza kubeba abiria kwa kipindi cha miezi mitatu ili kufidia upungufu wa mabasi uliosababishwa na utaratibu mpya wa level seat.
Source Eatv habari!