Mabeberu, Vibaraka wa Mabeberu, Wazalendo wa Hayati Magufuli, na Mradi wa Bandari ya Bagamoyo

Well and good. Lakini tuliaminishwa vinginevyo na tukapiga makofi na vifijjo na kuona everything was wrong au ni mimi sikuelewa?
 
Serikali gani hiyo unayoiamini? Hii serikali ambayo waziri Mkuu anadanganya umma tena akiwa kwenye Nyumba za ibada ndo Una taka tuiamini?
 
Dhambi yenu kwa watanzania ni kubwa, haitapita bure mtailipa.
Sisi siyo wajinga...

Hatujasahau mnakuja na propanganda za kitoto hivi?!!
Mchina ni bepari tu kama Marekani na mabebeberu wengine.
 
Bandiko lako limekaa kisomi sana sijui kama hapa akina Wakudadavua, NdegeJohn na kifupikirefu kama watachomoka.
😀😀😀😀wote wamejikausha . amebaki #Crimea yeye anataka aoneshwe mkataba tu 🤡🤡🤡🤡
 
Nyie pigeni debe mkumbuke uo mkataba utakuja kua kama mikataba ya Madin Yan wazee wetu watakua wamesha sain wajukuu wakija kuzinduka na akil zao apo Baadae nakutaka kudai haki yao watakuja kupelekwa Miga Na hawato amin Macho yao tusiwe na Tamaa kama Ile Bandar ni muhim kwa mnavyo ielezea sidhan kama nchi ukiamua kuweka fungu hata la miaka 10 kwa ajil ya Bandar tu kama itashindwa tujengen Bandar ya uwezo wetu
 
Mkuu ksk, nimesoma andiko lako, lakini nadhani kuna mambo uliyoandika hayako sawa.

Moja ni hilo hapo nililo-'quote'.

Siyo sahihi kusema Mchina "anatukopesha" pesa tujenge bandari ya Bagamoyo. Mchina anataka ajenge bandari ya Bagamoyo, na aiendeshe yeye mwenyewe aonavyo inafaa.
chige, hebu njoo hapa ulisemee hili, kama una uelewa tofauti.

Pili, unapokosea pia, mimi sikusoma popote alipodai mleta mada kwamba yeye ndiye alihusika na kutayarisha "Review", hapa nadhani unachanganya mambo mawili tofauti. Huyu mbeba mikoba anaweza akawa ndiye anaanda 'literature review' kwa maelekezo ya mtafiti mwenyewe. Anatayarisha na pengine kutafuta maandiko yanayotakiwa kupitiwa (kusomwa) katika uandaaji wa "Review", kama ndiyo 'outcome' ya utafiti unaofanywa.

Mkuu chige, hili nalo linakuhitaji ulitolee ufafanuzi..

Kuhusu Kikwete kukamilisha mkataba kabla hajaondoka. Hili nalo linaweza kuwa na sababu zake.

Nilipata kusikia kwamba hapakuwa na muda wa kutosha (uliokuwa umesalia) katika ngwe yake kukamilisha hii kazi.

Na kwa kweli isingekuwa busara kwa kiongozi kuharakisha mradi mkubwa kama ule kana kwamba hapatakuwepo na serikali inayokuja kuendeleza alipoachia yeye. Hata hivyo kufanya hivyo kungefanya watu watilie mashaka sana nia yake ya kufanya haraka kiasi hicho, na hasa ikibainika kwamba mkataba ulikuwa ni wa hovyo.
Wewe usidhani hawa viongozi hawajali 'legacy' zao, hata baada ya kutoka madarakani. Hakuna kiongozi anayetaka kuacha sifa mbaya kwenye historia ya nchi aliyoiongoza.
 

Umetumwa? Kama ulikuwa unamfanyia beberu Research Literature Review, sie hatutaki huo mradi wa Bagamoyo, for the sake of National Interest, hatutaki huo Mradi wa kijambazi wa Kichina. Kama umetumwa umepotea, rudisha hizo taarifa kwa waliokutuma, mnataka kukausha nchi yetu..
 
NONSENSE!
 
NONSENSE!

Shithole black kid... Ww unawajua wachina kuliko mie.. Idiot..!! Mkataba unaujua au unaongea stupid issues zako hapa, eti mtaalam wa literature review, ukajiona mtaalam wa mikataba, you are lost kid.. Pumbaf
 
Shithole black kid... Ww unawajua wachina kuliko mie.. You an idiot..!! Mkataba unaujua au unaongea stupid issues zako hapa, eti mtaalam wa literature review, ukajiona mtaalam wa mikataba, you are lost kid.. Pumbaf
NONSENSE!
 
Dhambi yenu kwa watanzania ni kubwa, haitapita bure mtailipa.
Sisi siyo wajinga...

Hatujasahau mnakuja na propanganda za kitoto hivi?!!
Mchina ni bepari tu kama Marekani na mabebeberu wengine.
Jadili mada, kama imekuzidi kimo, piga kimya!
 
Ndugu yangu Kalamu1,

Kama ulivyom-quote ksk na kunitaka nifafanue kipande ulichom-quote! Nami nitaongezea mengine kutoka kwenye andiko lake!

Mosi, inaonesha wazi kwamba hakusoma au amesoma juu juu, na ndo maana kuanza na kuanza tu, ameanza na habari za mkopo!!

ksk, ujenzi wa bandari peke yake ulipangiwa USD 10 Billion! Hiyo ni pesa nyingi sana!! Hiyo ni 30% ya bajeti yetu ambayo hata hivyo pesa zinapotolewa hazifikii! Kwa maana nyingine, tukisema kiasi halisi cha bajeti ambacho serikali imekuwa ikitoa kwa taasisi, USD 10B inaweza kuwa 50% ya pesa inayotolewa na serikali kwa mwaka ku-finance budget!

Nimekupa maelezo hayo uone ni namna gani pesa hiyo ilivyo nyingi! Na kwa wingi huo, hakuna taasisi duniani inayoweza ku-risk kutoa mkopo wa USD 10 Billlion kwa nchi maskini!

With respect to our research uliyojaribu kuni-undermine, Mchina ametoa mikopo Sri Lanka, Greece, na Djibouti... hizo ni case studies ingawaje kupo kwingine!

Changanya mikopo ya nchi hizo 3 bado thamani yake haifiki pesa iliyokusudiwa kujengewa Bagamoyo!

Kutokana na ukweli huo, ungesoma ungekuta nimesema wazi mradi ulitakuwa kuwa financed na BOT Scheme... Build-Operate-Transfer. Kote duniani, BOT inamfanya Investor agharamie (Build) mradi mzima, akishamaliza, anauendesha (Operate) kwa miaka kadhaa kama mlivyokubaliana.

Ile miaka ikishaaisha, anaurudisha (Transfer) mradi kwa mmiliki halisi!

Hii kitu tunaona kama ajabu lakini hata Bongo inafanyika sana na wafanyabiashara!!

Kwahiyo hapo hakuna suala la mkopo bali Mwekezaji anagharamia mradi kwa "pesa zake"!

Faida atakayopata mwekezaji ni mapato (SIO KODI) yanayotokana na huduma mbalimbali atakazotoa hapo bandarini! Atatoza meli zinazofunga gati, atatoza gharama za upakiaji na upakuaji mizigo, atatoza gharama za kuhifadhi mizigo, n.k!

Kwa kifupi, atapata kile kama ambacho TPA au TICTS anapata leo hii, lakini kwa kawaida Mchina huwa anaomba apate msamaha wa kodi ya mapato kwenye hizi pesa anazoingiza!
 
Umetumia nguvu nyingi sana kutushawishi wakati tunamsimamo wetu tayari tangia awali.

Waswahili wanasema kumpigia mbuzi gitaa.
 
Kalamu1 na ksk,

Tunaendelea!

ksk anadai nimedanganya ninaposema niliandika Literature Review! What's the big kwenye kuandika Literature Review hadi ukaona nadanganya?! Hivi kuna mtu ambae anaweza kuwa na angalau shahada moja ya chuo kikuu halafu akashindwa kuandika LR? Au kwavile utafiti ni wa Mzungu?!

Sasa ngoja tu niongeze hapo hapo... sio tu Mzungu bali ni Mzungu Msomi kweli kweli, wala simkaribii hasa ukizingatia kule alikosoma lakini pamoja na yote hayo, bado aliniamini kutokana na mtu wa kati aliyekuwa amemhakikishia uwezo wangu!!!

ksk, aliyekuambia Literature Review ni proposal ni nani?! Ina maana tujaze server kuelimishana kwamba Literature Review sio proposal but just a part of proposal?

Kalamu1, kwamba niliandika kwa maelekezo yake, jibu ni YES ingawaje sio kiiiivile! Amacho kilinisaidia na ku-gain confidence yake kwa haraka ni kwavile tayari alinikuta nina uelewa wa kutosha kuhusu mradi husika!

Hapa JF nimeandika sana kuhusu mradi wa Bandari ya Bagamoyo hata kabla sijakutana na yule Mzungu! Yeye baada ya kuonana nae, of course, alinipatia English Documents, na akaniachia uhuru wa kutafuta Swahili documents kwa sababu hafahamu Kiswahili!
 
Umetumia nguvu nyingi sana kutushawishi wakati tunamsimamo wetu tayari tangia awali.

Waswahili wanasema kumpigia mbuzi gitaa.
Jamaa kalala na kudamkia humu ndani...sio kwa nguvu hii anayoitumia...ni km hana kazi nyingine zaidi ya huu uzi...yupo kwa kazi maalumu.

Sasa sijajua kwenye huu uzi yupo pekeake au wapo team nzima. na km wapo team nzima kwa maslai ya nani?
Why waste so much energy na time tryn to convice people?
Mwendazake na kakoko walitumia less than 5minutes kutueleza...the guy has spent almost 48hrs tryn to clean up the mess.

Kizuri cha jiuza na kibaya cha jitembeza na debe tupu ndio linalopiga kelele...naona jamaa anautembeza huu mradi, which means huu mradi ni debe tupu nothing in it.
 
Kalamu1 na ksk,

Tuendelee na hoja ya tatu kwamba kwanini JK hakusaini! Hapa mmegusia hoja ya msingi sana manake wale Wazalendo Fake wanakuja hapa na kuanza matusi huku wala hawajui kinajadiliwa nini!

Kwa akili zao za Uzalendo Fake wanadhani JK ndie alisaini mkataba!

sks, kilichomfanya JK asisaini mkataba sio kwa sababu aliuona kaa la moto, bali wakati wake hapakuwa na mkataba wowote uliotakiwa kusainiwa!

Ambacho alifanya JK ni kukutanisha pamoja Investor ambao wana-Include Oman Fund, na baada ya hapo ikasainiwa Agreement Framework on Infructure Development.

Ile Framework ilikuwa ni kama dira ya kila upande kuangalia maslahi yake, na ilikuwa iwe expired mwaka mmoja baadae ambapo JK ingekuwa ameshatoka madarakani!

Baada ya ku-expire ile framework, ndipo walitakiwa kukutana na ku-negotiate na wakikubaliana ndipo mkataba usainiwe!

Mchina kama Mwekezaji, akatoa proposal yake ya nini angetaka kiwe lakini kukubalika au kukataliwa kwa mapendekezo yake ingekuwa ni baada ya ku-expire huo muda, na kwahiyo, ingekuwa utawala mwingine na sio utawala wa JK.

Hivyo basi, niendelee kusisitiza hapakuwa na mkataba wowote uliosainiwa na ndio maana hakuna aliyewahi kusikia kwamba serikali imevunja mkataba na China, bali stori zilizopo ni "serikali yaendelea na majadiliano na China"!

Baada ya expiration period kupita, ndipo China Merchant Group ikakutana na watu wa Serikali ya Magu, na kuanza majadiliano rasmi, ili hatimae ndipo mkataba usainiwe!

Ambacho kinafanywa na hii timu ya serikali, ni kupitia zile proposal za Mchina... zipo walizokubali, na zipo walizokataa na ndo maana hadi kesho hawajafikia tamati!
 
Na wewe ulivyo zuzu, kila wakati bado unarudi kwenye uzi!! Unaacha kujadili mada, unajadili mtu... VERY STUPDI! Kama mada imekuzidi kimo, ipotezee tu, badala ya kuwa kama mtoto wa kike mpenda majungu!
 
Huo mradi ungekua na maana kama Bandari za Tanga, Dar na Mtwara zingekua zimeelemewa na mizigo, ila mpaka sasa hazijatumika mpaka ukomo wake, hizo bidhaa zitatoka wapi kama sio hizi hizi zinazokuja kwenye bandari hizo.

Hata kama watajenga viwanda kwenye eneo la mradi kwanini wasijenge sasa kwenye bandari zilizopo na kuziboresha??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…