Ninakubaliana na yote hayo, kuhusu gharama zote hizo. Mimi nimesoma hizo namba kwenye hayo magazeti ya kufungia vitumbua, sema wewe, umeona ngapi, au bomba litapita bure?Magazeti yapi?! Haya haya yanayoandika bila kufanya utafiti, au?!
Usisahau hii ni new investment, na kuna gharama kibao zinazoingia kwenye unit barrel! Kuna gharama za capita goods, gharama za uchimbaji, kuna gharama za usafiri kutoka Tanga hadi sokoni; na hapo sijataja gharama zingine kama vile kodi n.k!
Soko la dunia kwenyewe, hivi sasa mafuta ni around $60/pipa, na kushuka hadi chini ya $40/pipa ni jambo la kawaida!
Ndo hapo nakuuliza: Tz ipate $16, wakati huo mwenye mafuta yake anapata $ ngapi, wawekezaji wanapata $ ngapi, usafiri $ ngapi, na yanaenda kuuzwa kwa $ ngapi?
Hapa usisahau production na logistic cost ikiwa kubwa, mafuta yatashindwa kuuzika soko la dunia! Kwa maana hiyo, wao watakachofanya ni kujaribu kupunguza zaidi logistic and transportation cost, especially kutoka UG to Tanga, kwa sababu gharama zingine zitakuwa haziepukiki!
Niyakane kwa nini mkuu wangu!!Mkuu Chige, hakuna sababu ya kupoteza muda juu ya hili. Maneno niliyonyanyua, uliyoandika wewe na sasa ni kama unayakana, hayakuwa maneno mazuri, hasa kwa hao unaosema wanapinga mradi huo.
Tuendelee na mengine. Naendelea kusoma.
Tutasoma yote hayo huko baadae, lakini kwa sasa nina haya machache:
1. Hakuna nchi yoyote duniani isiyopigania maslahi yake; isipokuwa labda hizi zetu za 'Banana Republic' ambazo maslahi ya viongozi wake ndiyo yanayowekwa mbele zaidi ya yale ya nchi husika.
China wana maslahi, ndiyo maana ya hiyo BRI; kwa hiyo kama nchi inao viongozi wenye akili timamu hawawezi kusubiri mpaka waambiwe na "mabeberu" ni wapi maslahi ya nchi zao yalipo.
Kama wanajua maslahi ya nchi zao yako wapi, basi watafanya uamzi sahihi kuhusu mradi ulio na manufaa kwa nchi zao.
Tuna miaka zaidi ya sitini sasa tukijiamlia mambo yetu. Tunao watu waliosoma vizuri na kuelewa mambo vizuri karibu katika kila fani. Hatuna visingizio tena vya kusema hatuna raslimali watu. Iliyopo sasa ni kutojua tu jinsi ya kuitumia vyema raslimali hiyo.
Acha mchina aje na BRI yake atuonyeshe anataka kufanya nini, na sisi tumueleze mategemeo yetu ni nini, bila ya aibu au woga wowote.
Tujadiliane, tukikubaliana, ajenge kwa makubaliano tuliyofikia pamoja na yeye; kama hatukubaliani juu ya matakwa yake, aende zake, na wala isiwe tena hizi kelele za mabeberu hivi au mabeberu vile. Huu utakuwa ni uamzi wetu.
Na hii haituzuii kuingia kwenye mapatano mengine juu ya mradi huo, eti kwa kuogopa tu "mabeberu".
Tayari Biden na BoJo wanajadili uwezekano wa kuweka $65 Billion mezani kwa kazi hiyo ya kupambana na BRI. Hatuwezi kuwaogopa hawa wala mwingine yeyote, kama tunajua maslahi yetu ni yapi.Hizo enzi za kuyumbishwa na kugawanywa zimepitwa na wakati - ni maslahi yetu pekee ndiyo yaliyo muhimu.
Na si hawa pekee, yaani China na Mabeberu tunaoweza kushirikiana nao kujenga mradi huo, na sio lazima iwe mmoja, wawili au kundi lwa wawekezaji. Huu ni mradi mkubwa, kwa hiyo kila mtu anaweza kushiriki ankoona kunamfaa, na tutakaribisha aje tujadili, tukiafikiana anajiunga.
Tunaweza pia kuanza kujenga sisi wenyewe taratibu, kama Lamu inavyojengwa hivi sasa, baada ya kukosa mwekezaji wa kuuchukua kama huyo BRI na wengine.
2. Ukweli ni kwamba, Tanzania na pwani yake ipo pazuri mno. Wenzetu hapo juu wanahangaika kwelikweli kujiuza bila ya mafanikio yoyote.
Ni viongozi wetu tu watumie akili zao na uzalendo wao ili nchi yetu ifaidike na mahali ilipowekwa kijiografia.
Acheni kudanganyana nyie watu!
Tanzania alipwe $16 kwa pipa, wakati huo Uganda mwenye mafuta yake anapata $ ngapi kwa pipa, Total waliowekeza wanapata $ ngapi kwa pipa, na huko soko la duniani yanauzwa $ ngapi kwa pipa?
We kahaba wa mafisadi huu upuuzi wako usiwe unauleta hapa jukwaani, unadhani kila mtu ni muuza makalio kwa mafisadi?Dadangu vipi, mbona kama una frustration?! Umeachika kwa mumeo, au kakuletea nyumba ndogo?!
Busara ni kuyamaliza na mumeo badala ya kuleta frustration zako kwa wengine, na kuanza matusi pasipo na sababu za msingi! Ni ushauri tu dadangu, na kama nimekukwaza, basi samahani sana dada!
Sina kumbukumbu ya kuku-tag popote kwenye thread hii, na comments zake! And on top of that, hii ni mara yangu ya kwanza kuiona ID yako!! Sina kumbukumbu kama nimeshapata kuiona hapo kabla... labda kama nitakuwa nimesahau!Usitupotezea muda!
Tuwekee mkataba wenyewe tuusome.
Kwa nini tubishane, tubashiri na tubahatishe sijui Kakoko wa TPA alisema Mchina hatalipa kodi, sijui Mchina kamwambia wewe Kakoko mwongo kodi tutalipa... kwa nini tubishane upuuzi ?
WEKA MKATABA HAPA, SISI SIO WAJINGA KAMA UNAVYODHANI !!!
Shida yako mimi kujifanya kujua kila project au shida yako kuwekewa mkataba?! Kusoma hujui, hata picha ukutani huzioni?!Tuambie basi wewe ukweli ni upi maana waonekana kujua sana kila project inayofanyika,umeandika mambo mengi kwenye hili bandiko,lakini cha ajabu zaidi hauna FACT yoyote, zaidi ya HISIA tu, weka mkataba wa Bagamoyo's project hapa ili kila mtu ajionee,au waambie hao wachina kina Mao wavujishe mkataba ili kumaliza ubishi!!
Acha matusi dadangu, matatizo na mumeo yapeleke kwenye dawati la jinsia na sio kupita kutukana watu! Au unatafuta attention kwa matarajio kuna mtu atakuja kujiweka kwako?!We kahaba wa mafisadi huu upuuzi wako usiwe unauleta hapa jukwaani, unadhani kila mtu ni muuza makalio kwa mafisadi?
Unajifanya mjuaaji wakati unaandika pumba na uharo. Weka doculent za mashariti walioweka CMHI na serikali ili ujione kinyesi na mpuuzi mkubwa. Kwanza kama una akili ulitakiwa utofautishe kati ya Industrial port ya Bagamoyo na bandari zingine za hapa nchini, pumbavu mkubwa.
WEEEEEKA MKATABA HAPA!Sina kumbukumbu ya kuku-tag popote kwenye thread hii, na comments zake! And on top of that, hii ni mara yangu ya kwanza kuiona ID yako!! Sina kumbukumbu kama nimeshapata kuiona hapo kabla... labda kama nitakuwa nimesahau!
Sasa nimekupotezea muda kivipi wakati sijakuita?!
Shida yako mimi kujifanya kujua kila project au shida yako kuwekewa mkataba?! Kusoma hujui, hata picha ukutani huzioni?!
Wewe ni kahaba usiejitambua, propaganda za kipuuzi kama hizi jadili na mabwana zako huku wakikutafuna.Acha matusi dadangu, matatizo na mumeo yapeleke kwenye dawati la jinsia na sio kupita kutukana watu! Au unatafuta attention kwa matarajio kuna mtu atakuja kujiweka kwako?!
Hakuna mwanaume anayeweza kuwa na mwanamke mwenye matatizo na mumewe, na kwa frustration zake, anakata shauri la kupita kutukana watu!!!
Mkuu, unataka kuanzisha mada nyingine ndani ya mada hii muhimu sana iliyopo mbele yetu.Dunia ni kijiji!!
Haya mawazo yanatuchelewesha sana.
Kuna watu wenye mawazo kama yako walipinga sana Boda boda kufanya biashara ya kubeba abiri .
Leo hii hakuna ajira zaidi ya boda boda .
Kuna wakati ni lazima maamuzi yenye tija yafanyike.
Wazalendo wajinga wametuaminisha kuwa kila mradi ukifanywa na mtanzania wa kutoka kule Songombingo jirani na mzalendo feki basi ndio unatija na maslahi kwa nchi.
Nakupa mfano .
Miradi yote iliyofanywa na Watanzani wenzetu ina wizi mkubwa sana na imefanywa kwa kiwangao cha chini sana.
Mtu anapewa mradi wa bil. 10 anaufanya kwa kiwango cha chini kwa kutumia material hafifu ili abakiwe na trilion tano akajenge miradi yake binafsi huku Taifa likibaki na hasara.
Kuna stendi moja ya Wilaya ya Korogwe iliyokuwa imezinduliwa mwaka 2018 kwa Sifa nyingi . Mkurugenzi akasifiwa sana ,Mkandarasi ajaitwa mzalendo mkubwa kumbe na kila aina ya sifa.
Miaka mitatu tu leo stendi ile inatifuliwa kila sehemu kufanyiwa ukarabati.
Mabilioni ya pesa yamepotea na wahusika ni mabilionea.
Wanufaika wakubwa wa kandarasi zinazoliibia taifa hua ni watetezi wakubwa sana wa kauli za wawekezaji wanatuibia huku wao wakituibia fedha zetu za ndani zinazopatikana kwa kuwaumiza wafanyakazi na wafanyabiashara.
Kuna watu walioshiba kwa kuliibia taifa hili kupitia ofisi za umma kama hao wakurugenzi wa Bandari hawajui shida wanazopata maskini na watoto wao wanaosoma shule za kata na kisha kukosa ajira mana hakuna wawekeji wakubwa wanaoingiza mitaji toka nje.
Bandari ya Bagamoyo itajengwa mana ina tija kwa malaki ya vijana wa kitanzania wasio na ajira ukilinganisha na miradi iliyojengwa ambayo itapoteza ajira nyingi na pato kubwa la halmashauri zetu lakini bado imefanyika ili kuzibeba nchi jirani hasa Rwanda.
Huoni kuwa Reli itaua biashara za mabasi na malori?
Huoni kuwa mabasi na malori yanalipa Latra mamilioni ya fedha?
Huoni kuwa miji yote yalipokua yanalala malori na mabasi itakufa na biashara zitadoda na watu kukosa ajira?
Huoni kuwa halmashauri zilizokuwa zinakusanya ushuru kwa mabasi ya abiria kila siku zitakosa mamilioni ya fedha?
Huoni kuwa vituo vingi vya mafuta vitalosa mapata na hivyo ,motor vehicle licence, Ewura,Rea, Tarura, VAT, Tanroad na wamiliki na wafanyakazi wao wote watakosa mapato ?
Je, kuna wasomi waliofanya utafiti na kugundua kuwa kwa nchi maskini kama Tanzania Treni ya umeme haifai na haina tija kwa Watu wengi zaidi ya kundi dogo sana la wanasiasa na watalii??
Treni ya umeme ikiendeshwa kibiashara watu wengi watakuwa hawana uwezo wa kuipanda mana itabidi iwe ghali kama ndege au zaidi.
Treni ya umeme ikiendeshwa kama huduma rahisi kwa wananchi bila kujali faida itakua ni hasara kubwa kwa Taifa.
Huduma ya treni umeme inafaa kwenye nchi zilizoendelea sana ambazo huduma za msingi kama Nyumba ,elimu ya juu, afya n.k vinapatikana kwa mifumo rasmi.
Leo hii kila mwananchi anajijengea nyumba yake mwenyewe au anapangisha kwa kunyonywa na mwenye majumba halafu unaleta biashara za starehe kama ndege utalii wa ndani, treni ya umeme n.k utegemee kupata wateja wa ndani?
Mtu anawaza kujenga kakibanda kake aepukane na kodi zisizo na udhibiti halafu apate pesa za kupanda ndege ? Labda awe mwizi!!!
Mama Samia na Spika ndugai wekeni midahalo ya Wazi ya hii miradi mikubwa ili wazalendo wa kweli na wale feki waliokuwa wanatumia mitutu ya bunduki kulazimisha kuitwa wazalendo kumbe walikua ni Wauzalendo basi wajulikane !
Unaonaje nikikupuuza?! Nilitarajia ungejadili hoja, lakini nimeshakugundua huna uwezo wa kujadili hoja, so busara kwangu ni kukupuuza!!!Shida yangu ni wewe kujifanya unajua ili hali huna unachokijua,umeandika kwa kuegemea upande fulani na kutupia wengine lawama kwamba ni wapotoshaji,akilini mwangu nikajua labda umeshawahi ku uona mkataba husika,kumbe wapi?...unaruka ruka tu!!
Ahsante sana hizi fikra zako huwezi kueleweka at allTutasoma yote hayo huko baadae, lakini kwa sasa nina haya machache:
1. Hakuna nchi yoyote duniani isiyopigania maslahi yake; isipokuwa labda hizi zetu za 'Banana Republic' ambazo maslahi ya viongozi wake ndiyo yanayowekwa mbele zaidi ya yale ya nchi husika.
China wana maslahi, ndiyo maana ya hiyo BRI; kwa hiyo kama nchi inao viongozi wenye akili timamu hawawezi kusubiri mpaka waambiwe na "mabeberu" ni wapi maslahi ya nchi zao yalipo.
Kama wanajua maslahi ya nchi zao yako wapi, basi watafanya uamzi sahihi kuhusu mradi ulio na manufaa kwa nchi zao.
Tuna miaka zaidi ya sitini sasa tukijiamlia mambo yetu. Tunao watu waliosoma vizuri na kuelewa mambo vizuri karibu katika kila fani. Hatuna visingizio tena vya kusema hatuna raslimali watu. Iliyopo sasa ni kutojua tu jinsi ya kuitumia vyema raslimali hiyo.
Acha mchina aje na BRI yake atuonyeshe anataka kufanya nini, na sisi tumueleze mategemeo yetu ni nini, bila ya aibu au woga wowote.
Tujadiliane, tukikubaliana, ajenge kwa makubaliano tuliyofikia pamoja na yeye; kama hatukubaliani juu ya matakwa yake, aende zake, na wala isiwe tena hizi kelele za mabeberu hivi au mabeberu vile. Huu utakuwa ni uamzi wetu.
Na hii haituzuii kuingia kwenye mapatano mengine juu ya mradi huo, eti kwa kuogopa tu "mabeberu".
Tayari Biden na BoJo wanajadili uwezekano wa kuweka $65 Billion mezani kwa kazi hiyo ya kupambana na BRI. Hatuwezi kuwaogopa hawa wala mwingine yeyote, kama tunajua maslahi yetu ni yapi.Hizo enzi za kuyumbishwa na kugawanywa zimepitwa na wakati - ni maslahi yetu pekee ndiyo yaliyo muhimu.
Na si hawa pekee, yaani China na Mabeberu tunaoweza kushirikiana nao kujenga mradi huo, na sio lazima iwe mmoja, wawili au kundi lwa wawekezaji. Huu ni mradi mkubwa, kwa hiyo kila mtu anaweza kushiriki ankoona kunamfaa, na tutakaribisha aje tujadili, tukiafikiana anajiunga.
Tunaweza pia kuanza kujenga sisi wenyewe taratibu, kama Lamu inavyojengwa hivi sasa, baada ya kukosa mwekezaji wa kuuchukua kama huyo BRI na wengine.
2. Ukweli ni kwamba, Tanzania na pwani yake ipo pazuri mno. Wenzetu hapo juu wanahangaika kwelikweli kujiuza bila ya mafanikio yoyote.
Ni viongozi wetu tu watumie akili zao na uzalendo wao ili nchi yetu ifaidike na mahali ilipowekwa kijiografia.
Hakuna lazima ya kujisalimisha kwa mchina kama masharti yake hayana maslahi kwetu.
Hivi dadangu unajisikiaje kumwaga mitusi mtandaoni?! Mwanamke umefika hadi labor lakini unashindwa hata kujiheshimu! Unamdhalilisha mumeo na watoto wako!!!Wewe ni kahaba usiejitambua, propaganda za kipuuzi kama hizi jadili na mabwana zako huku wakikutafuna.
Kama ulivyowahi kuwekewa mkataba na nani? Hivi nyie watu zinawatosha kweli?!WEEEEEKA MKATABA HAPA!
WACHA LONGO LONGO!
Kama mkataba huna tulia, usiongee upepo mtupu, hot air!
Mkuu kwa wale wenye "akili zetu" ni vigumu kukuelewa na uwe tayari kuoga kejeli na dhihaka... uzalendo kwao ni "kuuchukia ukweli, kukataa vitu vyenye akili, kuwachukia matajiri, kuvaa viraka na katambuga na zaidi ya yote kusifia porojo badala ya kujadili hoja!" Huo ndio uzalendo wa KIZANDIKI!!Unaonaje basi nikikupuuza baada ya kuwa umeonesha wazi kwamba uwezo wako ni mdogo mno kujadili mada za aina hii?!
Mkuu wakiujadili huu uzi unitag tafadhali...Kama ulivyowahi kuwekewa mkataba na nani? Hivi nyie watu zinawatosha kweli?!
Jadili hoja, kama huna hoja, syfu!
Hawana cha kujadili, wanaishia matusi tu!!!Mkuu wakiujadili huu uzi unitag tafadhali...