Mabeki tatu na simu ni majanga

Cha kukushauri kwenye sim yake iset Call Waiting ili ukimpigia walau ashtuke kuwa Boss anapiga sim.
 
Na sim ulimnunulia wewe? Me ataondoka aise!
 
Asilimia kubwa ya hawa watu hata kama awe mkubwa na unaishi naye kama ndugu au mwanao huwa wanaroho na akili za ajabu ajabu.
 
Kuna mmoja nipo nae hapo home kuna siku nilimfanyia small investigation nikakutana huwa anawasiliana na wanaume zaidi ya 10 kwa siku mmoja na ana marafiki zaidi ya 35 wanaume tuuh na hao sio ndugu zake wala nini.... nilichoka
Mmoja nilimfuatilia mawasiliano yake baada ya kugundua kuna kijana anakujaga nyumbani mida watoto wameenda shule, huyo Dogo alikuwa anasoma Chuo flani hapa Dar tukitoka nae anakuja kupiga msosi, nikaamua kumtegea mtego dogo siku amekuja nikamkamata, kilichomtokea anakijua mwenyewe maana alishahama mji alirudi kwao morogoro.
 

Pole Jirani
 
Mpaka kufikia hii page ya tatu naona kuna umuhimu wa kuanza kumtafuna beki tatu wa SISITA maana naona na yeye licha ya kutokuwa na simu ila Dada analalamika kwamba hatulii, hivyo wacha nianze kumpigia misele
 
Wengi wamezunguuka ila nadhni hili ndo jibu..Tatizo tunawachukulia kama watumwa badala ya watoto wetu..yaani akishakuja basi mama mwe nyumba hataki fanya loloye hili ndo tatizo kubwa na sababu ya kua abusedhuwa wanatafuta njia ya kujiliwaza na kwakua bado wadogo basi hata kulaghaiwa inakua rahisi
 
Umenielewa vizuri mkuu
Asante
Wengine wanawatuma mpaka taulo ya mzee wakati wao wameshika remote
Wanataka kila kitu mtoto wa kazi afanye kutwa kuitwa tu ni kama watumwa na vijakazi tu
Mshahara wenyewe kiduchu kisa eti anakula na kulala kwake
 
Ahaaaaa haki ya mungu nimecheka.ndo zao hawataki tuwapigie
 
Umenielewa vizuri mkuu
Asante
Wengine wanawatuma mpaka taulo ya mzee wakati wao wameshika remote
Wanataka kila kitu mtoto wa kazi afanye kutwa kuitwa tu ni kama watumwa na vijakazi tu
Mshahara wenyewe kiduchu kisa eti anakula na kulala kwake
Mkuu mnaongea tu kwa vile nyie wanaume mnakuta kila kitu kipo poa
 
nao ni binadamu,, huwa tunawapa uhuru??....hivi wenzetu wa nchi za huko mbele, wamewezaje ktk hili?? haya ndo ya kujifunza sio kuigiza kukazana na mavazi.....
 
Sio malezi huwa wana ulimbukeni wa mjini mkuu pia wanaroho mbaya. Kifupi hawa watu hawapendi hata uishi naye kwa kiwango gani akiamua kufanya lake utabaki unastaajabu.
Hawapendi kujiongeza
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…