Mabenki yaanza kukusanya Tozo za Serikali kwenye miamala wanayofanya wateja

Mabenki yaanza kukusanya Tozo za Serikali kwenye miamala wanayofanya wateja

Acha kuhamisha pesa benki kwenda mitandao ya simu. Ndio utaepukana na hizi tozo.
 
Hapa naona dawa ni kununua USD tu na kuziweka ndani
 
Nikiwa na ela benk bila kufanya muhamala, nayo itakatwa iyo tozo?
Nauliza wakuu maana nina mpango wa kuanza kujiwekea akiba kidogi kidogo kwenye Chap Chap Account ya NMB.

Sent from my SM-G570F using JamiiForums mobile app
 
Leo nimeshangaa natumiwa message nimekatwa hela bila hata kuitoa. Kuwapigia wananipa sababu ambazo hazieleweki
 
LEO NIMEPATA SMS KUTOKA NMB BANK IKISEMA IFUATAVYO:

Ndugu Mteja, tunakusanya tozo ya serikali kwenye akaunti yako kwa miamala ya tarehe 8 Sep 2021 mpaka 6 Oct 2021. Unaweza hakiki kupitia taarifa ya akaunti.

Ujumbe huo. Watanzania inafika point huna pakupumua kila sehemu tozo bank tozo kwenye simu tozo. Mnataka tuende wapi? Juzi nimetuma crdb to crdb nimeliwa 7500 huku nmb napo wanachukua tozo.

Kwenye simu miamala moto unawaka. Tunaumizana sana nchi hii

View attachment 1977815
Hata mimi nimepata hii sms, nisichojua wanakata tozo ya %ngapi na kwa nini iwapo pesa niliyo nayo bank inatokana na mshahara na huo mshahara umesha katwa kodi,sasa tozo nyingine ya nini
 
Nimetoka kumtumia mtu 100000 cash sasa hv..NMB to NMB kwa kutumia NMB app,wamenikata shilingi 1700..dadeki
 
Nimetoka kumtumia mtu 100000 cash sasa hv..NMB to NMB kwa kutumia NMB app,wamenikata shilingi 1700..dadeki
Yani kwa hesabu ya haraka haraka wamekata asilimia 1.7 ya hela niliyotuma..sasa embu pata picha unamtumia mtu labda milioni 20...asilimia 1.7 ni lak 3 na 40[emoji3][emoji3][emoji3] kama sikosei

Twafaaaa
 
Baadaye zitaondolewa mtasikia kuwa tuwaondolee wananchi tozo jamani. Mtashangilia mtatoa KurA na mtajisahau kabisa kuwa sio yeye.
 
Halafu bado Kuna makima kwenye jukwaa la siasa Kila siku Ni kupost mimbo ya kusifu Na kuabudu......Akiyanani 2025 afe beki afe kipa Bora nife ila SIO ushungi kurudi ikulu
 
Halafu bado Kuna makima kwenye jukwaa la siasa Kila siku Ni kupost mimbo ya kusifu Na kuabudu......Akiyanani 2025 afe beki afe kipa Bora nife ila SIO ushungi kurudi ikulu
Unfortunately hawajali kuhusu kura yako.
Bunduki, wakurugenzi, usalama wa Taifa vina thamani. kwao kuliko kuea zote za nchi hii.
Kiufupi they don't care kuhusu uchaguzi maana hata wasiposhinda watajitangaza anyway.
 
Matumizi ya tozo zenu hayo...
Bajeti.PNG
 
LEO NIMEPATA SMS KUTOKA NMB BANK IKISEMA IFUATAVYO:

Ndugu Mteja, tunakusanya tozo ya serikali kwenye akaunti yako kwa miamala ya tarehe 8 Sep 2021 mpaka 6 Oct 2021. Unaweza hakiki kupitia taarifa ya akaunti.

Ujumbe huo. Watanzania inafika point huna pakupumua kila sehemu tozo bank tozo kwenye simu tozo. Mnataka tuende wapi? Juzi nimetuma crdb to crdb nimeliwa 7500 huku nmb napo wanachukua tozo.

Kwenye simu miamala moto unawaka. Tunaumizana sana nchi hii

View attachment 1977815
Wanakusanyaje au kila unapofanya muamala
 
Back
Top Bottom