Mabifu ya Jamii Forums yananichekeshaga sana

Dawa za hawa wanaojifanya wanajua kutukuna wasiowajua ni kuwateka mmojammoja na kuwavua ubingwa.
 
Kuwa na bifu na mtu usiyemjua mtandaoni ni ugonjwa wa akili, huo muda sijui watu wanaupata wapi jamani!
Kutwa kuanzisha thread za ugomvi, eh!

Ni maoni tu jamani msinivae, mi sitaki ugomvi na mtu ✌
 
Hi ndo most effective method, sio watu Wana zunguka mbuyu kama majani.
 
Kuwa na bifu na mtu usiyemjua mtandaoni ni ugonjwa wa akili, huo muda sijui watu wanaupata wapi jamani!
Kutwa kuanzisha thread za ugomvi, eh!

Ni maoni tu jamani msinivae, mi sitaki ugomvi na mtu [emoji1422]
Wanajuana mwayaaa, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…