Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni lipuuzi limoja tu, linafanya Faiza aonekane anaandika hayoUnaona huyu mtu kafungua account hivi karibuni sio fox tunae mjua.View attachment 3021411
Huu ni ushauri kwa matajiri bahati mbaya break up nyingi zinatokea sabaiu ya hali ngumu ya maisha wanaume hanakuwa hana kazi tena so ni kazi buree tu unakufa na upwiru wakoo..!Kama wewe ni mwanaume wa age 30+ umeoa au umezaa na mwanamke/wanawake na wanakupa stress za mapenzi kama vile unahisi wana flirt na michepuko au mmeachana na ex wako ame move on, etc, halafu kwa sababu hiyo eti umepatwa na msongo wa mawazo basi Mimi NINAKUTUKANIZIA MAMA AKO MZAZI.
Kosa lako kubwa ni kutokusalimia watu.
Hivi unajua kuwa to surround yourself with young girls from age 18 to 22 ni dawa bora kabisa ya kukuondolea stress za mapenzi na kukusaidia ku move on completely kwa haraka zaidi.
Mimi Binafsi ni mfano hai wa hoja yangu.
Hakuna kitu kigumu kwa wanaume wengi kama " " maisha after the break up"
Wanaume wengi huwa wanashindwa kabisa kustahimili mikiki mikiki ya maisha baada ya kuachana na waliokuwa wapenzi ama wake zao.
Mwanaume huwa okay wiki ya kwanza ya break up lakini hali huanza kuwa mbaya zaidi kuanzia mwezi mmoja baada ya break up, kwa sababu hicho ni kipindi ambacho huyo alie kuwa mke wake ama mpenzi wake anakuwa ameingia kwenye mahusiano na mwanaume mwingine.
Jambo hili huwaumiza sana wanaume wengi kwa sababu wanaume wengi kwao break up huwa ni something physical and not something emotional.
Yani you break up with her physically but not emotionally.
You don't call her you don't text her you don't make love with her physically but emotionally unakuwa bado attached with her.
Yani akili yako inakuwa bado haujajitoa kwenye mahusiano na mwanamke huyo.
Ndio maana Takwimu za mauaji yatokanayo na wivu wa mapenzi zinaonyesha kwamba mauaji mengi yatokanayo na wivu wa kimapenzi yafanywayo na wanaume huwa yanafanywa katika kipindi ambacho mwanaume huyo anakuwa ame break up na mke au mwanamke wake. Atamuua mke au mchepuko wa mke au wote kwa pamoja au atajiua yeye mwenyewe au atafanya vyote kwa pamoja au atakufa kwa presha, whichever come first.
Hii yote ni kwa sababu ya nature yetu sisi kama wanaume.
Our masculine ego is too weak to handle and or accept the fact that our ex lovers have moved on.
kwenye mindset ya mwanaume, kumuona mke alie move on hakuna tofauti na kumfumania mke akiwa ana cheat.
SASA NINI CHA KUFANYA UKIWA KATIKA HALI HII WEWE MWANAUME?
Zipo njia kuu 2 ambazo zimejithibitisha kuwa na uwezo wa kumsaidia mwanaume ku move on after break up.
1. TIME : TIME HEALS EVERY THING:
Hii ndio njia ya uhakika kabisa lakini ni ngumu sana kwa sababu inahitaji ustahimilivu wa hali ya juu sana.
Uzoefu unaonyesha kwamba, kama mwanaume ulikuwa katika mahusiano na mwanamke ambae ulimpenda sana halafu mkaachana yeye aka move on basi, inaweza kukuchukua kati ya miaka mitatu hadi mitano kumsahahu kabisa.
Na hii inafanya kazi Kwa mwanamke ambae hauonani nae mara kwa mara wala kupata taarifa zake. Lakini kama utaendelea kuwa unapata taarifa zake mpya kila siku halafu taarifa hizo zikawa against your interest basi believe me inaweza kukuchukua hata miaka kumi kumsahau kwa sababu kila taarifa itakuwa ina renew ule uchungu unaanza upya. Kwa mfano 👇👇👇
Umeachana nae January 2015...Siku za mwanzoni utakuwa powa tu. Ila mwezi mmoja baadae ( FEBRUARY MWISHONI 2015) utaanza kummiss.
Utakapo jaribu kutafuta habari zake utagundua kwamba tayari yupo kwenye mahusiano na mwanaume mwingine.. DEPRESSION NUMBER ONE.
Then utaanza kutafuta habari za mwanaume umjue ni mtu wa aina gani. .
So unakuja kugundua kwamba mwanaume huyo ni mtu wa maana kabisa na amekuzidi mbali sana kwa kila kitu. Depression number 2 hiyo.
Then baadae unasikia jamaa kamchumbia . Depression number 3.
Then baada ya muda unasikia jamaa kamuoa
D number 4.
Then unasikia kabeba ujauzito....d number 5.
Then kujifungua mtoto wa kwanza.. d number 6.
Then mimba ya 2 ..
At the end of the day utaishia kufa kwa presha.
Njia namba 2: kuingia katika mahusiano mengine immediately after a break up. Hii itafanya kazi kama tu huyo mwanamke atakuwa bora kuliko ulie Achana nae. Ndio maana unashauriwa kuwa na wanawake wawili au zaidi at ago ili mmoja akiondoka anakuwa replaced na mwingine.
Njia hii ya pili ndio imejithibitisha kufanya kazi kwa ufanisi mkubwa zaidi kushinda ya kwanza...
Ndio hii ambayo Nina ihubiri hapa.
Ili njia hii ya pili iwe effective, ni lazima :
1. Uwe na mwanamke zaidi ya mmoja.
2. Uwe katika mazingira ambayo unaweza kuwa surrounded na wanawake wengi kwa pamoja kwa wakati mmoja ambao utakuwa una onana nao mara kwa mara. Hii itakupa guarantee ya kuwa na wasichana zaidi ya mmoja ambao utakuwa una flirt nao on daily basis pamoja na ku fanya nao mapenzi.
Kama una stress za ku move on, mazingira hayo yatakuondolea hizo stress kupitia wewe ku flirt na ku intimate na hao wasichana
Sehemu pekee inayo weza kukupa kitu kama hiki ni sehemu yenye mkusanyiko wa watu wengi. Sehemu ya uhakika inayo weza kukupa guarantee ya uwepo wa mkusanyiko mkubwa wa watu wengi ni sehemu kama vile chuo. Vyuo vya kati kama vile Veta, vyuo vya ualimu wa shule ya mwingi n.k.
Huko utakutana na idadi kubwa sana ya vibinti vya age 18 mpaka 22.
Why 18 -22 : Mabinti wa umri huu wengi wana very strong aura hivyo ku flirt nao na kufanya nao sex licha ya kukuondolea msongo wa mawazo lakini pia kutaimarisha aura yako pia. U will feel the energy .
Mfalme Suleiman alijua kuhusu siri hii ndio maana he surrounded himself with a thousand young girls..
I love GIRLS
Akinisahau si ndio vizuri haendi kuniloga
😂😂😂😂 leo ndio nimejua kuwa kila mtu ana mbabe wake. Mkuu leo umelilia mpaka ma mods na usela wako woote ?😆😆.Ni lipuuzi limoja tu, linafanya Faiza aonekane anaandika hayo
[emoji23]Hapa kuelewa mpk D mbili
Asema bwana wa majeshi,zingatia neno nitawapumzisha sio nitawaondolea mizigo yenu,hivyo baada ya pumziko na Safar itaendelea Kama awaliNjooni kwa Yesu ninyi nyote msumbukao na wenye kuelemewa na mizigo naye atawapumzisha.
Mathayo 11 (Biblia Takatifu)
¯¯¯¯¯¯¯¯¯¯
²⁸ Njoni kwangu, ninyi nyote msumbukao na wenye kulemewa na mizigo, nami nitawapumzisha.
²⁹ Jitieni nira yangu, mjifunze kwangu; kwa kuwa mimi ni mpole na mnyenyekevu wa moyo; nanyi mtapata raha nafsini mwenu;
³⁰ kwa maana nira yangu ni laini, na mzigo wangu ni mwepesi.
Tunatofautiana sana angle za uelewa, kumbe kuna nimelilia mods, okay sawa.....😂😂😂😂 leo ndio nimejua kuwa kila mtu ana mbabe wake. Mkuu leo umelilia mpaka ma mods na usela wako woote ?😆😆.
Sema huyo mdau naye, mmmmhh!!!!.asije akanianzishia na mimi
Lea wajukuu zako bibiNakaribia kustaafu kwa lazima