DOKEZO Mabomu ya machozi yanarindima Magu mjini

DOKEZO Mabomu ya machozi yanarindima Magu mjini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ningewasifu hawa watu wa magu kama wangelibeba mawe kwenda kuwachapa waliouza bandari yetu kwani tunawajua badala ya hoa madereva wengine wote tena hawana kosa, na kama hutuwajui waliouza bandari kwa majina basi piga jiwe mccm yeyote atakaye katiza mbele yako
 
Mhh wanapozuia barabara aliefanya kosa kafikishwa polisi? Wanavunja sheria wakitafuta haki wasioijua
Jiulize ww mtuhumiwa kafikishw sehem sahihi? Kwann jambo moja liwaguse wenyej kias hicho? Tumia akili yako vzr utagundua Rushwa ndan ya jeshi la polisi ndio ttzo , huenda weng wanapelekw sehem sahihi ila haipatikan hukum sahihi , so wananchi wanachuku maamuz
 
Jamani watu wa magu msipoteze mawe yetu bila sababu ya msingi kwani tunayahitaji sana kuyatumia siku sio nyingi kuna watu wameuza bandari zetu
 
Habarini wanajamvi,

Leo kuna gari Moja ndogo ya abiria (hiace)imegonga watoto wawili wa shule na kuwauwa karibu na sheli moja hivi.

Sasa kuanzia asubuhi wananzengo wamefunga Barabara zote kuu hasa Ile ya Mwanza-Musoma. Gari linalolazimisha kupita linapigwa mawe balaa. Magari mengi yashaharibiwa vibaya.

Hali hii imelilazimu jeshi la polisi mkoa wa Mwanza kuongeza askari maeneo ya Magu huku mabomu ya machozi yakipigwa kuanzia saa Saba mchana mpaka usiku huu.

Raia wamekamata mpaka Barabara ndogo ndogo huku wakishambulia magari yanayopita.
ChoiceVariable
 
Habarini wanajamvi,

Leo kuna gari Moja ndogo ya abiria (hiace)imegonga watoto wawili wa shule na kuwauwa karibu na sheli moja hivi.

Sasa kuanzia asubuhi wananzengo wamefunga Barabara zote kuu hasa Ile ya Mwanza-Musoma. Gari linalolazimisha kupita linapigwa mawe balaa. Magari mengi yashaharibiwa vibaya.

Hali hii imelilazimu jeshi la polisi mkoa wa Mwanza kuongeza askari maeneo ya Magu huku mabomu ya machozi yakipigwa kuanzia saa Saba mchana mpaka usiku huu.

Raia wamekamata mpaka Barabara ndogo ndogo huku wakishambulia magari yanayopita.
Ni ushamba tu, kwani kila mwenye gari ndio kasababisha ajali?
 
Habarini wanajamvi,

Leo kuna gari Moja ndogo ya abiria (hiace)imegonga watoto wawili wa shule na kuwauwa karibu na sheli moja hivi.

Sasa kuanzia asubuhi wananzengo wamefunga Barabara zote kuu hasa Ile ya Mwanza-Musoma. Gari linalolazimisha kupita linapigwa mawe balaa. Magari mengi yashaharibiwa vibaya.

Hali hii imelilazimu jeshi la polisi mkoa wa Mwanza kuongeza askari maeneo ya Magu huku mabomu ya machozi yakipigwa kuanzia saa Saba mchana mpaka usiku huu.

Raia wamekamata mpaka Barabara ndogo ndogo huku wakishambulia magari yanayopita.
Tunakoelekea nchi hii haitatawalika.
 
Habarini wanajamvi,

Leo kuna gari Moja ndogo ya abiria (hiace)imegonga watoto wawili wa shule na kuwauwa karibu na sheli moja hivi.

Sasa kuanzia asubuhi wananzengo wamefunga Barabara zote kuu hasa Ile ya Mwanza-Musoma. Gari linalolazimisha kupita linapigwa mawe balaa. Magari mengi yashaharibiwa vibaya.

Hali hii imelilazimu jeshi la polisi mkoa wa Mwanza kuongeza askari maeneo ya Magu huku mabomu ya machozi yakipigwa kuanzia saa Saba mchana mpaka usiku huu.

Raia wamekamata mpaka Barabara ndogo ndogo huku wakishambulia magari yanayopita.
Safi wakaze hivyo hivyo ,wapige magari mawe sana
 
Daah aisee inasikitisha sana kwa kweli madereva kukimbia mbio za Porini mjini mpaka kupelekea kugonga watoto wa shule katika Nchi ambayo madereva wengi hawajali wanafunzi au wanaokwenda kwa miguu Tanzania tupo na madereva wengi wanaamini bara bara ni yao tuu sio viumbe wengine unakuta dereva mwingine anampigia Honi mwenda kwa miguu anaevuka Zebra huwa nawashangaa sana...
Unaropoka tu huenda huwajui wasukuma wa magu walivyo na dharau.
Pita asubuhi wakienda shule wanatembea kati kati ya barabara

Wauza maziwa nao hapo hapo kati

Jioni ndo mbaya zaidi maana wanafunzi na raia wanatembea kati ya barabara
 
Wako sawa japo wamekosea kujichukulia sheria mkononi. Hii si mara ya kwanza kwa mwanza.mwaka Fulani ustawi mpaka Sinai gari ziligonga watoto wa shule na kupelekea kufariki kwa watoto hao. Mtoto wa kwanza alipofariki wazazi walilalamika wakataka kuandamana mwenyekiti akasema atafuatiria lakini hakuna kilicho fanyika. Sasa mtoto wa pili alipo gongwa asubuhi jioni akafariki hospital basi raia waliingia barabarani na kufunga barabara. Baada ya hapo serikari iliweka zebra crossing na sasa ajari za kugonga watoto zimeisha kabisa.
 
Wasukuma huwa wehu,kwa nini hawakushika hiyo gari iliyogonga!?..Kuna watu wanaenda bugando,wanawachelewesha
Inasemekana gari imepigwa moto na dereva wake kuuawq hapo hapo...muda flan zilipifa Field force hapa...hapa kwel wasukumq wameamua
 
Habarini wanajamvi,

Leo kuna gari Moja ndogo ya abiria (hiace)imegonga watoto wawili wa shule na kuwauwa karibu na sheli moja hivi.

Sasa kuanzia asubuhi wananzengo wamefunga Barabara zote kuu hasa Ile ya Mwanza-Musoma. Gari linalolazimisha kupita linapigwa mawe balaa. Magari mengi yashaharibiwa vibaya.

Hali hii imelilazimu jeshi la polisi mkoa wa Mwanza kuongeza askari maeneo ya Magu huku mabomu ya machozi yakipigwa kuanzia saa Saba mchana mpaka usiku huu.

Raia wamekamata mpaka Barabara ndogo ndogo huku wakishambulia magari yanayopita.
Daaah aisee inauma kichiz
 
Back
Top Bottom