DOKEZO Mabomu ya machozi yanarindima Magu mjini

DOKEZO Mabomu ya machozi yanarindima Magu mjini

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Ila Kuna suala Kila muda Huwa najiuliza...mfano ukitokea mwanza- Musoma ni kama barabara haina matuta kabisa...hii imefanya madereva wajiendeshee tu wanavyotaka...Kuna haja ya serikali kukiangalia hii barabara Kwan ukiachilia mbali kutokuwa na matuta pia ni barabara ambayo ni nyembamba sanaa..
 
Nakuunga mkono mkuu...hili la usalama wa raia so kufanyia utani kabisa...mfano tu juz hapa nanenane mida ya saa nane usiku yupo jamaa kagongea mbele yangu kabisaa..na jamaa kaamua kuondoka speed mwendo wa ngiri...lkin pia dereva unagongaje kweny zebra cross?kwel na hilo ni la kutetea?
Naumiaga Sana kuskia ajali za namna hyo tena za kuhusu watoto
 
Ni kiongozi anahitajika kwenda, kuwakusanya, kuwapa pole kwa msiba ns kuwa watulivu kipindi hiki kigumu.. sio kuwapiga mabomu. Ni kama RFK kipindi cha kifo cha martin luther king jr
 
Unaropoka tu huenda huwajui wasukuma wa magu walivyo na dharau.
Pita asubuhi wakienda shule wanatembea kati kati ya barabara

Wauza maziwa nao hapo hapo kati

Jioni ndo mbaya zaidi maana wanafunzi na raia wanatembea kati ya barabara
Daah hapo hajagongwa ndugu yako una roho mbaya sana ukute una kipaso na wewe unajiona una haki ya kuongelea wenye magari...unatakiwa uyazoee magari na uwe na gari nzuri hautakua na dharau hizi dharau zenu kwa sababu mna magari chakavu na waenda kwa miguu mnawaona wanyama...
 
Daah hapo hajagongwa ndugu yako una roho mbaya sana ukute una kipaso na wewe unajiona una haki ya kuongelea wenye magari...unatakiwa uyazoee magari na uwe na gari nzuri hautakua na dharau hizi dharau zenu kwa sababu mna magari chakavu na waenda kwa miguu mnawaona wanyama...
Sina hata hiyo Passo bwana dalali
 
Mpka sahv magu hali n shwali japo wananch waliamsha amsha na mawe ila wamedhibitiwa na wametulia ndani ukikutwa kipigo kipigo.
 
Ata magari yaliyokua yanazuiwa na wananchi wameyaacha yanapita


Issue n kwamba hyo sehem walipogongewa hao wanafunz n zebra na kumetokea ajar nying apo ndio maana wamekasirika wananchi
 
Jiulize ww mtuhumiwa kafikishw sehem sahihi? Kwann jambo moja liwaguse wenyej kias hicho? Tumia akili yako vzr utagundua Rushwa ndan ya jeshi la polisi ndio ttzo , huenda weng wanapelekw sehem sahihi ila haipatikan hukum sahihi , so wananchi wanachuku maamuz
Sawa sikatai ila kila anaepita hapo apate madhara ya uharibifu inamaana hao watu hawajielewi tu. Kama wanaona rushwa imezidi zipo mamlaka sio kuharibu mali za wasiohusika kabisa
 
Sawa sikatai ila kila anaepita hapo apate madhara ya uharibifu inamaana hao watu hawajielewi tu. Kama wanaona rushwa imezidi zipo mamlaka sio kuharibu mali za wasiohusika kabisa
Wamefel sana walipokua wanaponda ata magar ambayo hayahusiki we fikiria uponde kioo cha zile bus higer yaan bado bus zingne zilipondwa na gar private unadhan waliokamatwa watafanyweje[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Ata magari yaliyokua yanazuiwa na wananchi wameyaacha yanapita


Issue n kwamba hyo sehem walipogongewa hao wanafunz n zebra na kumetokea ajar nying apo ndio maana wamekasirika wananchi
Hali inaendeleaje mkuu
 
Back
Top Bottom