Chikuvi2021
JF-Expert Member
- Aug 3, 2021
- 491
- 551
Mamlaka husika ziingilie kati na kutoa uamuzi sahihi wa suala hili kudumisha Muungano wetu.
Hapa mwenye makosa ni chama cha ngumi znz au huyo bondia hajui anacholalamikia.
-Mwakinyo hakuwashirikisha wenye ngumi zao Zanzibar,kwa hiyo wamemtumia huyo bondia kufikisha ujumbe kwa Watanganyika.
-lakini Mamlaka husika Ni vema zika laani na kupiga vita vitendo vya ubaguzi kwa wananchi wa Taifa moja la Tanzania.
-Suala la Katiba Mpya, ndiyo linaingia hapo kuweka mambo sawasawa
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app
Hapa mwenye makosa ni chama cha ngumi znz au huyo bondia hajui anacholalamikia.
-Mwakinyo hakuwashirikisha wenye ngumi zao Zanzibar,kwa hiyo wamemtumia huyo bondia kufikisha ujumbe kwa Watanganyika.
-lakini Mamlaka husika Ni vema zika laani na kupiga vita vitendo vya ubaguzi kwa wananchi wa Taifa moja la Tanzania.
-Suala la Katiba Mpya, ndiyo linaingia hapo kuweka mambo sawasawa
Sent from my TECNO KC8 using JamiiForums mobile app