Mabraza wenye miaka 40+, mkiendelea kuwahubiri vijana wa 20+ na 30+ kupuuzia mambo haya kuhusu wanawake then they will be no hope for the future

Mabraza wenye miaka 40+, mkiendelea kuwahubiri vijana wa 20+ na 30+ kupuuzia mambo haya kuhusu wanawake then they will be no hope for the future

Mimi siombi ushauri Wala sijawahi kuomba ushauri kuhusu jinsi ya kuishi Na mwanamke mkuu. ILA nimeelezea namna mabraza wenye 40+ wanavyo wapotosha vijana wenye 20+ na 30+ Kwa kuwafundisha kuvumilia mambo ya ovyo yanayo fanywa na wanawake katika mahusiano/ndoa
Shida ni vijana mmekua laini sana skuizi, sasa mabraza tulisha gundua kwamba mnazingua ndiomaana tuliamua tuwe tunawakaushia tu
 
Asilimia kubwa ya Mabraza wenye miaka 40+ huwa Wana assume wanajua wanawake vizuri kuliko mtu yoyote.

Wakikaaga na vijana wa miaka 20+ na 30+ huwa wanawashauri na kuwafundisha kuvumilia/kustahimili na kupuuzia mambo ya hovyo na yasiyo faa yanayo fanywa na wanawake katika mahusiano au katika ndoa..

Na ukijifanya una busara ya kuwasikiliza mabraza mwisho wa siku watakushauri usamehe hata adultery .


Mfano Dogo wa miaka 26 kafyonzwa na mke wake plus kutukanwa matusi ya nguoni mbele ya watu, Dogo kaamua kwenda kuomba ushauri Kwa Mabraza wenye 40+ yrs.

Watakacho mwambia ni " hahahahaha Mdogo wetu hayo ni mambo ya kawaida sana Kwa wanawake hahahaha . Wanawake wote ndio Wako hivyo. Wewe potezea tu na kupuuzia"

Watamalizia Kwa kumpa story za uongo na Kweli jinsi walivyo wahi kuzinguliwa na wake zao lakini wamepuuzia ndio maana mpaka leo bado wapo pamoja"

Dogo atachukua ushauri huo Na mwisho ataishia kuwa bwege ndani ya nyumba yake mwenyewe.
Itafikia Mahali mke wake ataanza kuwaambia michepuko wake " pigeni simu Muda wowote jamaa Hana tatizo" ikifika hatua hii then u have failed as a husband. Huna sheria Yani, ndani ya nyumba yako Hakuna kiongozi, mkeo anaishi kama Wana WA Israel walivyo ishi kwenye WAAMUZI 21:25.

Kijana huyu na yeye akifika 40+ atawashauri vijana wa 20+ Na 30+ upuuzi huo huo na huu ujinga utaendelea kuwa recycled mpaka siku masiha atakapo rejea .

Acheni kuwashauri vijana ujinga

Vijana wenzangu wa 20+ na 30+ let me remind you one thing.

Mwanamke anapokuja kuanzisha mahusiano na wewe au anapoingia kwenye ndoa Na wewe huwa anakuja akiwa HANA TABIA.

Tabia atazikuta kwako.

I mean huwa anakuwa Hana tabia yoyote Ile kwako, tabia za jinsi ya kuishi Na wewe atazikuta kwako mwenyewe.

Wewe ndio utakae mfanya akuheshimu Na wewe ndio utakae fanya akudharau.

Wewe ndio utakae mfanya aishi kwenye fantasy life na wewe ndio utakae mfanya aishi maisha halisi.

Anapokuja kwenye Maisha yako kitu cha Kwanza ataku study ili ajue ur area of strength and ur areas of weakness and at the end of the day she will capitalize in ur areas of weakness and build her strength out of ur areas of weaknesses.

Mwanaume lazima uweke mipaka ambayo utaiheshimu Na utataka watu wengine waiheshimu akiwemo Na mke/mpenzi wako.

Kwamba yoyote atakae vuka mstari Huo basi kuwe na very expensive consequences.

HII inaitwa Self respect.
Usikubali kuvumulia au kupuuzia mambo ya hovyo hovyo( ya kukuvunjia heshima) utakayo fanyiwa na mwanamke.

Jiwekee utaratibu kwamba endapo mwanamke atakutamkia maneno Fulani ya kukuvunjia heshima wewe binafsi, au wazazi wako au watoto wako au kufanya Jambo lolote lile ambalo linagusa mzizi au mizizi ya ya uhusiano wenu basi reaction yako iwe ni kuachana Na mwanamke huyo papo hapo.
( Hili ni rahisi kama utakuwa Na mwanamke Zaidi ya mmoja. So jitaidi uwe Na atleast kuanzia wanawake wawili )

Kama nilivyo sema hapo awali mwanamke anapokuja kwako anakuja akiwa Hana tabia za jinsi ya kuishi na wewe, tabia atazikuta kwako..

Mwanamke huweza kuji tune jinsi ya kuishi na wewe kulingana na wewe mwenyewe ulivyo.

Ndio maana mwanamke anaweza akaachana na wewe Kwa Sababu eti ume mcheat halafu akaenda kuolewa mke wa tatu Na mwanaume mwingine na akaishi Kwa furaha kabisa..

Mwanamke anaweza kukununia Na kugoma kuja gheto Kwa Sababu hujampa Hela ya taxi kuja gheto kwako lakini at the same time aka enda kukopa Hela Kwa rafiki zake ili apate nauli kwenda Kwa kijamaa kingine . Wewe ndio umemfanya awe hivyo..


Mwanamke hujitune ili aendane Na tabia zako. Hata akisikia wewe ni bazazi atajitune hivyo hivyo... Utawasikia Wana ambiana " Fulani akikuchukua lazima akugeuze"

Achana kabisa na Huo upuuzi wa Ku vumilia mambo ya hovyo hovyo unayo fanyiwa na wanawake..

Mwanamke akikufanyia Jambo lolote linalo kuvunjia heshima yako kama mwanaume basi achana nae hapo hapo. " Wapenzi kugombana ni kawaida waachie mabwege"

Ukigombana Na mwanamke unatakiwa kuachana nae hapo hapo.

Akikujibu kunya muache hapo hapo Kisha m replace na
mwanamke mwingine.

Usikubali kuvumulia Jambo lolote la hovyo .

Usisahau duniani umeletwa kufurahia Maisha so usikubali mtu yoyote akukwaze .

Wewe sio mti ukiona sehemu haupati furaha basi ondoka mahali hapo haraka Sana ikimbilie furaha Mahali inako patikana.
[emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578]
 
Mbona sisi mabraza wa 40+ tunatoa ushauri kuntu kwa vijana wa 20+ na 30+.
 
Nmekusoma neno mpk neno, nmekuelewa sana rafiki yangu LIKUD

Am also between 40s
Ila Kuna mahali nmeona na wee hauko sahii,
Hapa sio kila kosa solution yake iwe Ni kumuacha mwanamke na kureplace mwingine.
Pia TUNAANGALIA MASLAHI mapana YA FAMILIA Kisha tunalinganisha na ukubwa wa kosa lenyewe.

Mwanaume Lazima ujue madhaifu ya mwenza wako, na jinsi ya kuyakabili na SIO UYAKIMBIE.

Kama Ni mshauri mzuri hapa Lazima umpe Njia nzur mwanaume mwenzako jinsi ya kulikemea hilo lisijirudie tena siku nyingine. Maana maZoea siku zote ujenga tabia.

Watemi Kama Mimi,
-klebu ya nguvu itahusika,
-kurudishwa kwao kwa muda itahusika,

IKISHINDIKANA HAPO NI RUKSA KUMUACHA AENDE ZAKE
 
Nmekusoma neno mpk neno, nmekuelewa sana rafiki yangu LIKUD

Am also between 40s
Ila Kuna mahali nmeona na wee hauko sahii,
Hapa sio kila kosa solution yake iwe Ni kumuacha mwanamke na kureplace mwingine.
Pia TUNAANGALIA MASLAHI mapana YA FAMILIA Kisha tunalinganisha na ukubwa wa kosa lenyewe.

Mwanaume Lazima ujue madhaifu ya mwenza wako, na jinsi ya kuyakabili na SIO UYAKIMBIE.

Kama Ni mshauri mzuri hapa Lazima umpe Njia nzur mwanaume mwenzako jinsi ya kulikemea hilo lisijirudie tena siku nyingine. Maana maZoea siku zote ujenga tabia.

Watemi Kama Mimi,
-klebu ya nguvu itahusika,
-kurudishwa kwao kwa muda itahusika,

IKISHINDIKANA HAPO NI RUKSA KUMUACHA AENDE ZAKE
😂😂😂😂 Mimi naacha bro Kwa Sababu nina option nyingi Sana.

Miaka ya 80 na 90 kule Kigoma kuna mganga alikuwa anaitwa Juma Njemba. Huyu Juma Njemba Kazi yake kubwa ilikuwa ni kuuwa Kwa kutumia uchawi . Aliua watu wengi Sana kupitia Kazi hiyo na alitengeneza mamilioni ya shilingi kupitia Kazi hiyo

Alikuwaga anawaambia wake zake. " Mimi Kwa Kazi yangu hii najua sinto enda peponi. Pepo yangu ni hapa hapa duniani. Kwa hiyo sitaki kupata karaha yoyote Ile hapa duniani. Usije ukarogwa ukanifanyia kosa lolote . Nitakupa talaka na jini juu ntakutupia "

Basi unaambiwa ilikuwa mke hata akizidisha chumvi kwenye mboga kifuatacho ITV ni TALAKA SI MKE WANGU and then nafasi ya mwanamke aliye ondolewa kwenye mfumo inakuwa replaced na mwanamke mwingine with an immediate effect.

Mzee akitafuna mchanga kwenye chakula ni TALAKA hapo hapo..

Mwanamke uki muonyesha kwamba wewe ni muelewa aisee atakupeleka Sana mkuu.

Never be a very nice guy to ladies. Because to them a nice guy is a foolish guy .

Arusha mwanamke akinywa bia zako bar basi anajua kifuatacho ITV ni wewe kwenda kulala nae au kupiga show time na wadangaji wote wa Arusha wanaijua hiyo kanuni.

Lakini hapa Dar mambo hayapo hivyo. Sisi tunajifanya wazungu Sana. Mwanamke atakunywa bia zako na haondoki Na wewe. Kesho atakunywa tena Na keshokutwa hivyo hivyo mwisho wa siku anajua ahaa kumbe haya majamaa ya dar ni mafala sio majanja kama machalii WA Arusha basi ngoja tuishi nayo hivyo hivyo.

Mwanamke akikujua wewe ni mtu unae vumilia madudu yake basi atakupelekesha sana
 
Mwanamke akikufanyia Jambo lolote linalo kuvunjia heshima yako kama mwanaume basi achana nae hapo hapo. " Wapenzi kugombana ni kawaida waachie mabwege"

Ukigombana Na mwanamke unatakiwa kuachana nae hapo hapo.

Akikujibu kunya muache hapo hapo Kisha m replace na
mwanamke mwingine.

Usikubali kuvumulia Jambo lolote la hovyo .

Usisahau duniani umeletwa kufurahia Maisha so usikubali mtu yoyote akukwaze .
Ahsante kwa muongozo, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...
 
Na kama ukioa basi uoe Zaidi ya mke mmoja
Nakubaliana nawe moja kwa moja, japo jamii itakuhukumu sana lakini Mwanamke mmoja kwa mwanaume kwa kipindi cha maisha yake yote ni nusu ya jehanamu kama sio jehanamu kamili.

Miaka 6 yangu hii ya maisha ya aina hii nimehitimisha kwa kusema faida kubwa ipatikanayo kwenye ndoa ni watoto tu.
Zaida ya hapo ni stess kwa kwenda mbele, sana sana ukijali sana unazidi kusogelea kaburi.

Nimejifunza pia sitakaa nije nipate furaha kutoka kwa yoyote, furaha nitapata kutoka ndani yangu, hivyo saivi sijali tena, hata nikute ana chukuliwa hapo na yeyote sijali.
 
Nakubaliana nawe moja kwa moja, japo jamii itakuhukumu sana lakini Mwanamke mmoja kwa mwanaume kwa kipindi cha maisha yake yote ni nusu ya jehanamu kama sio jehanamu kamili.

Miaka 6 yangu hii ya maisha ya aina hii nimehitimisha kwa kusema faida kubwa ipatikanayo kwenye ndoa ni watoto tu.
Zaida ya hapo ni stess kwa kwenda mbele, sana sana ukijali sana unazidi kusogelea kaburi.

Nimejifunza pia sitakaa nije nipate furaha kutoka kwa yoyote, furaha nitapata kutoka ndani yangu, hivyo saivi sijali tena, hata nikute ana chukuliwa hapo na yeyote sijali.
Nakazia
 
Ushauri toka kwa mwanaume dhaifu, ushauri wako umelenga wanaume wakimbie matatizo na sio wayasolve sasa kila mtu angekua anakimbia matatizo hii dunia ingekalika?
 
Ushauri toka kwa mwanaume dhaifu, ushauri wako umelenga wanaume wakimbie matatizo na sio wayasolve sasa kila mtu angekua anakimbia matatizo hii dunia ingekalika?
Matatizo ya mchongo
 
Asilimia kubwa ya Mabraza wenye miaka 40+ huwa Wana assume wanajua wanawake vizuri kuliko mtu yoyote.

Wakikaaga na vijana wa miaka 20+ na 30+ huwa wanawashauri na kuwafundisha kuvumilia/kustahimili na kupuuzia mambo ya hovyo na yasiyo faa yanayo fanywa na wanawake katika mahusiano au katika ndoa..

Na ukijifanya una busara ya kuwasikiliza mabraza mwisho wa siku watakushauri usamehe hata adultery .


Mfano Dogo wa miaka 26 kafyonzwa na mke wake plus kutukanwa matusi ya nguoni mbele ya watu, Dogo kaamua kwenda kuomba ushauri Kwa Mabraza wenye 40+ yrs.

Watakacho mwambia ni " hahahahaha Mdogo wetu hayo ni mambo ya kawaida sana Kwa wanawake hahahaha . Wanawake wote ndio Wako hivyo. Wewe potezea tu na kupuuzia"

Watamalizia Kwa kumpa story za uongo na Kweli jinsi walivyo wahi kuzinguliwa na wake zao lakini wamepuuzia ndio maana mpaka leo bado wapo pamoja"

Dogo atachukua ushauri huo Na mwisho ataishia kuwa bwege ndani ya nyumba yake mwenyewe.
Itafikia Mahali mke wake ataanza kuwaambia michepuko wake " pigeni simu Muda wowote jamaa Hana tatizo" ikifika hatua hii then u have failed as a husband. Huna sheria Yani, ndani ya nyumba yako Hakuna kiongozi, mkeo anaishi kama Wana WA Israel walivyo ishi kwenye WAAMUZI 21:25.

Kijana huyu na yeye akifika 40+ atawashauri vijana wa 20+ Na 30+ upuuzi huo huo na huu ujinga utaendelea kuwa recycled mpaka siku masiha atakapo rejea .

Acheni kuwashauri vijana ujinga

Vijana wenzangu wa 20+ na 30+ let me remind you one thing.

Mwanamke anapokuja kuanzisha mahusiano na wewe au anapoingia kwenye ndoa Na wewe huwa anakuja akiwa HANA TABIA.

Tabia atazikuta kwako.

I mean huwa anakuwa Hana tabia yoyote Ile kwako, tabia za jinsi ya kuishi Na wewe atazikuta kwako mwenyewe.

Wewe ndio utakae mfanya akuheshimu Na wewe ndio utakae fanya akudharau.

Wewe ndio utakae mfanya aishi kwenye fantasy life na wewe ndio utakae mfanya aishi maisha halisi.

Anapokuja kwenye Maisha yako kitu cha Kwanza ataku study ili ajue ur area of strength and ur areas of weakness and at the end of the day she will capitalize in ur areas of weakness and build her strength out of ur areas of weaknesses.

Mwanaume lazima uweke mipaka ambayo utaiheshimu Na utataka watu wengine waiheshimu akiwemo Na mke/mpenzi wako.

Kwamba yoyote atakae vuka mstari Huo basi kuwe na very expensive consequences.

HII inaitwa Self respect.
Usikubali kuvumulia au kupuuzia mambo ya hovyo hovyo( ya kukuvunjia heshima) utakayo fanyiwa na mwanamke.

Jiwekee utaratibu kwamba endapo mwanamke atakutamkia maneno Fulani ya kukuvunjia heshima wewe binafsi, au wazazi wako au watoto wako au kufanya Jambo lolote lile ambalo linagusa mzizi au mizizi ya ya uhusiano wenu basi reaction yako iwe ni kuachana Na mwanamke huyo papo hapo.
( Hili ni rahisi kama utakuwa Na mwanamke Zaidi ya mmoja. So jitaidi uwe Na atleast kuanzia wanawake wawili )

Kama nilivyo sema hapo awali mwanamke anapokuja kwako anakuja akiwa Hana tabia za jinsi ya kuishi na wewe, tabia atazikuta kwako..

Mwanamke huweza kuji tune jinsi ya kuishi na wewe kulingana na wewe mwenyewe ulivyo.

Ndio maana mwanamke anaweza akaachana na wewe Kwa Sababu eti ume mcheat halafu akaenda kuolewa mke wa tatu Na mwanaume mwingine na akaishi Kwa furaha kabisa..

Mwanamke anaweza kukununia Na kugoma kuja gheto Kwa Sababu hujampa Hela ya taxi kuja gheto kwako lakini at the same time aka enda kukopa Hela Kwa rafiki zake ili apate nauli kwenda Kwa kijamaa kingine . Wewe ndio umemfanya awe hivyo..


Mwanamke hujitune ili aendane Na tabia zako. Hata akisikia wewe ni bazazi atajitune hivyo hivyo... Utawasikia Wana ambiana " Fulani akikuchukua lazima akugeuze"

Achana kabisa na Huo upuuzi wa Ku vumilia mambo ya hovyo hovyo unayo fanyiwa na wanawake..

Mwanamke akikufanyia Jambo lolote linalo kuvunjia heshima yako kama mwanaume basi achana nae hapo hapo. " Wapenzi kugombana ni kawaida waachie mabwege"

Ukigombana Na mwanamke unatakiwa kuachana nae hapo hapo.

Akikujibu kunya muache hapo hapo Kisha m replace na
mwanamke mwingine.

Usikubali kuvumulia Jambo lolote la hovyo .

Usisahau duniani umeletwa kufurahia Maisha so usikubali mtu yoyote akukwaze .

Wewe sio mti ukiona sehemu haupati furaha basi ondoka mahali hapo haraka Sana ikimbilie furaha Mahali inako patikana.
Nadhani the best ni kuacha kuchukua ushauri tu

Maana kama mnajua kila kitu kwanini mje Kwa wakubwa zenu?

Ujuaji umewafanya vijana wengi muishi fake life, mdharaulike na mgongwe na maisha
 
Back
Top Bottom