Nmekusoma neno mpk neno, nmekuelewa sana rafiki yangu
LIKUD
Am also between 40s
Ila Kuna mahali nmeona na wee hauko sahii,
Hapa sio kila kosa solution yake iwe Ni kumuacha mwanamke na kureplace mwingine.
Pia TUNAANGALIA MASLAHI mapana YA FAMILIA Kisha tunalinganisha na ukubwa wa kosa lenyewe.
Mwanaume Lazima ujue madhaifu ya mwenza wako, na jinsi ya kuyakabili na SIO UYAKIMBIE.
Kama Ni mshauri mzuri hapa Lazima umpe Njia nzur mwanaume mwenzako jinsi ya kulikemea hilo lisijirudie tena siku nyingine. Maana maZoea siku zote ujenga tabia.
Watemi Kama Mimi,
-klebu ya nguvu itahusika,
-kurudishwa kwao kwa muda itahusika,
IKISHINDIKANA HAPO NI RUKSA KUMUACHA AENDE ZAKE