Shida ni vijana mmekua laini sana skuizi, sasa mabraza tulisha gundua kwamba mnazingua ndiomaana tuliamua tuwe tunawakaushia tuMimi siombi ushauri Wala sijawahi kuomba ushauri kuhusu jinsi ya kuishi Na mwanamke mkuu. ILA nimeelezea namna mabraza wenye 40+ wanavyo wapotosha vijana wenye 20+ na 30+ Kwa kuwafundisha kuvumilia mambo ya ovyo yanayo fanywa na wanawake katika mahusiano/ndoa
Hapa panahitaji hekima KUU! Zama hizi ni za uovu,, Acha Eva abaki na shetani wake. Tunda la mti wa Kati sitalila hasirani!Ila kinacho nisikitisha ni sijui kwanini vijana wanaendelea kuoa...[emoji2369]
Hawachelewi kwenda kusema etc Ushimen ndio alinishauri nifanye hivi[emoji23][emoji23]Nasisi hatupendi kuwashauri kwasababu vijana hawana makoromeo, yaani hawana vifua kabisa ndio maana tuaishia kuwaambia tu wavumilie...[emoji23][emoji23]
[emoji3578][emoji3578][emoji3578][emoji3578]Asilimia kubwa ya Mabraza wenye miaka 40+ huwa Wana assume wanajua wanawake vizuri kuliko mtu yoyote.
Wakikaaga na vijana wa miaka 20+ na 30+ huwa wanawashauri na kuwafundisha kuvumilia/kustahimili na kupuuzia mambo ya hovyo na yasiyo faa yanayo fanywa na wanawake katika mahusiano au katika ndoa..
Na ukijifanya una busara ya kuwasikiliza mabraza mwisho wa siku watakushauri usamehe hata adultery .
Mfano Dogo wa miaka 26 kafyonzwa na mke wake plus kutukanwa matusi ya nguoni mbele ya watu, Dogo kaamua kwenda kuomba ushauri Kwa Mabraza wenye 40+ yrs.
Watakacho mwambia ni " hahahahaha Mdogo wetu hayo ni mambo ya kawaida sana Kwa wanawake hahahaha . Wanawake wote ndio Wako hivyo. Wewe potezea tu na kupuuzia"
Watamalizia Kwa kumpa story za uongo na Kweli jinsi walivyo wahi kuzinguliwa na wake zao lakini wamepuuzia ndio maana mpaka leo bado wapo pamoja"
Dogo atachukua ushauri huo Na mwisho ataishia kuwa bwege ndani ya nyumba yake mwenyewe.
Itafikia Mahali mke wake ataanza kuwaambia michepuko wake " pigeni simu Muda wowote jamaa Hana tatizo" ikifika hatua hii then u have failed as a husband. Huna sheria Yani, ndani ya nyumba yako Hakuna kiongozi, mkeo anaishi kama Wana WA Israel walivyo ishi kwenye WAAMUZI 21:25.
Kijana huyu na yeye akifika 40+ atawashauri vijana wa 20+ Na 30+ upuuzi huo huo na huu ujinga utaendelea kuwa recycled mpaka siku masiha atakapo rejea .
Acheni kuwashauri vijana ujinga
Vijana wenzangu wa 20+ na 30+ let me remind you one thing.
Mwanamke anapokuja kuanzisha mahusiano na wewe au anapoingia kwenye ndoa Na wewe huwa anakuja akiwa HANA TABIA.
Tabia atazikuta kwako.
I mean huwa anakuwa Hana tabia yoyote Ile kwako, tabia za jinsi ya kuishi Na wewe atazikuta kwako mwenyewe.
Wewe ndio utakae mfanya akuheshimu Na wewe ndio utakae fanya akudharau.
Wewe ndio utakae mfanya aishi kwenye fantasy life na wewe ndio utakae mfanya aishi maisha halisi.
Anapokuja kwenye Maisha yako kitu cha Kwanza ataku study ili ajue ur area of strength and ur areas of weakness and at the end of the day she will capitalize in ur areas of weakness and build her strength out of ur areas of weaknesses.
Mwanaume lazima uweke mipaka ambayo utaiheshimu Na utataka watu wengine waiheshimu akiwemo Na mke/mpenzi wako.
Kwamba yoyote atakae vuka mstari Huo basi kuwe na very expensive consequences.
HII inaitwa Self respect.
Usikubali kuvumulia au kupuuzia mambo ya hovyo hovyo( ya kukuvunjia heshima) utakayo fanyiwa na mwanamke.
Jiwekee utaratibu kwamba endapo mwanamke atakutamkia maneno Fulani ya kukuvunjia heshima wewe binafsi, au wazazi wako au watoto wako au kufanya Jambo lolote lile ambalo linagusa mzizi au mizizi ya ya uhusiano wenu basi reaction yako iwe ni kuachana Na mwanamke huyo papo hapo.
( Hili ni rahisi kama utakuwa Na mwanamke Zaidi ya mmoja. So jitaidi uwe Na atleast kuanzia wanawake wawili )
Kama nilivyo sema hapo awali mwanamke anapokuja kwako anakuja akiwa Hana tabia za jinsi ya kuishi na wewe, tabia atazikuta kwako..
Mwanamke huweza kuji tune jinsi ya kuishi na wewe kulingana na wewe mwenyewe ulivyo.
Ndio maana mwanamke anaweza akaachana na wewe Kwa Sababu eti ume mcheat halafu akaenda kuolewa mke wa tatu Na mwanaume mwingine na akaishi Kwa furaha kabisa..
Mwanamke anaweza kukununia Na kugoma kuja gheto Kwa Sababu hujampa Hela ya taxi kuja gheto kwako lakini at the same time aka enda kukopa Hela Kwa rafiki zake ili apate nauli kwenda Kwa kijamaa kingine . Wewe ndio umemfanya awe hivyo..
Mwanamke hujitune ili aendane Na tabia zako. Hata akisikia wewe ni bazazi atajitune hivyo hivyo... Utawasikia Wana ambiana " Fulani akikuchukua lazima akugeuze"
Achana kabisa na Huo upuuzi wa Ku vumilia mambo ya hovyo hovyo unayo fanyiwa na wanawake..
Mwanamke akikufanyia Jambo lolote linalo kuvunjia heshima yako kama mwanaume basi achana nae hapo hapo. " Wapenzi kugombana ni kawaida waachie mabwege"
Ukigombana Na mwanamke unatakiwa kuachana nae hapo hapo.
Akikujibu kunya muache hapo hapo Kisha m replace na
mwanamke mwingine.
Usikubali kuvumulia Jambo lolote la hovyo .
Usisahau duniani umeletwa kufurahia Maisha so usikubali mtu yoyote akukwaze .
Wewe sio mti ukiona sehemu haupati furaha basi ondoka mahali hapo haraka Sana ikimbilie furaha Mahali inako patikana.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23],Nimecheka utadhani mazuri.Kimsingi Msamaha ni jambo muhimu sana ktk ndoa.Sawa mfumanie mkeo Kisha kawaombe ushauri wakwambie nenda kampige mkeo na khanga
@Noelia njoo uone after marriage [emoji28].
sasa huoni kuwa unatoa ushauri na kitu ambacho huna experience nachoI am in my 30+
Lsasa huoni kuwa unatoa ushauri na kitu ambacho huna experience nacho
Sent using Jamii Forums mobile app
What is experience?sasa huoni kuwa unatoa ushauri na kitu ambacho huna experience nacho
Sent using Jamii Forums mobile app
😂😂😂😂 Mimi naacha bro Kwa Sababu nina option nyingi Sana.Nmekusoma neno mpk neno, nmekuelewa sana rafiki yangu LIKUD
Am also between 40s
Ila Kuna mahali nmeona na wee hauko sahii,
Hapa sio kila kosa solution yake iwe Ni kumuacha mwanamke na kureplace mwingine.
Pia TUNAANGALIA MASLAHI mapana YA FAMILIA Kisha tunalinganisha na ukubwa wa kosa lenyewe.
Mwanaume Lazima ujue madhaifu ya mwenza wako, na jinsi ya kuyakabili na SIO UYAKIMBIE.
Kama Ni mshauri mzuri hapa Lazima umpe Njia nzur mwanaume mwenzako jinsi ya kulikemea hilo lisijirudie tena siku nyingine. Maana maZoea siku zote ujenga tabia.
Watemi Kama Mimi,
-klebu ya nguvu itahusika,
-kurudishwa kwao kwa muda itahusika,
IKISHINDIKANA HAPO NI RUKSA KUMUACHA AENDE ZAKE
Ahsante kwa muongozo, tatizo binadamu wa siku hizi ni wabishi sana...Mwanamke akikufanyia Jambo lolote linalo kuvunjia heshima yako kama mwanaume basi achana nae hapo hapo. " Wapenzi kugombana ni kawaida waachie mabwege"
Ukigombana Na mwanamke unatakiwa kuachana nae hapo hapo.
Akikujibu kunya muache hapo hapo Kisha m replace na
mwanamke mwingine.
Usikubali kuvumulia Jambo lolote la hovyo .
Usisahau duniani umeletwa kufurahia Maisha so usikubali mtu yoyote akukwaze .
Nakubaliana nawe moja kwa moja, japo jamii itakuhukumu sana lakini Mwanamke mmoja kwa mwanaume kwa kipindi cha maisha yake yote ni nusu ya jehanamu kama sio jehanamu kamili.Na kama ukioa basi uoe Zaidi ya mke mmoja
NakaziaNakubaliana nawe moja kwa moja, japo jamii itakuhukumu sana lakini Mwanamke mmoja kwa mwanaume kwa kipindi cha maisha yake yote ni nusu ya jehanamu kama sio jehanamu kamili.
Miaka 6 yangu hii ya maisha ya aina hii nimehitimisha kwa kusema faida kubwa ipatikanayo kwenye ndoa ni watoto tu.
Zaida ya hapo ni stess kwa kwenda mbele, sana sana ukijali sana unazidi kusogelea kaburi.
Nimejifunza pia sitakaa nije nipate furaha kutoka kwa yoyote, furaha nitapata kutoka ndani yangu, hivyo saivi sijali tena, hata nikute ana chukuliwa hapo na yeyote sijali.
Nadhani the best ni kuacha kuchukua ushauri tuAsilimia kubwa ya Mabraza wenye miaka 40+ huwa Wana assume wanajua wanawake vizuri kuliko mtu yoyote.
Wakikaaga na vijana wa miaka 20+ na 30+ huwa wanawashauri na kuwafundisha kuvumilia/kustahimili na kupuuzia mambo ya hovyo na yasiyo faa yanayo fanywa na wanawake katika mahusiano au katika ndoa..
Na ukijifanya una busara ya kuwasikiliza mabraza mwisho wa siku watakushauri usamehe hata adultery .
Mfano Dogo wa miaka 26 kafyonzwa na mke wake plus kutukanwa matusi ya nguoni mbele ya watu, Dogo kaamua kwenda kuomba ushauri Kwa Mabraza wenye 40+ yrs.
Watakacho mwambia ni " hahahahaha Mdogo wetu hayo ni mambo ya kawaida sana Kwa wanawake hahahaha . Wanawake wote ndio Wako hivyo. Wewe potezea tu na kupuuzia"
Watamalizia Kwa kumpa story za uongo na Kweli jinsi walivyo wahi kuzinguliwa na wake zao lakini wamepuuzia ndio maana mpaka leo bado wapo pamoja"
Dogo atachukua ushauri huo Na mwisho ataishia kuwa bwege ndani ya nyumba yake mwenyewe.
Itafikia Mahali mke wake ataanza kuwaambia michepuko wake " pigeni simu Muda wowote jamaa Hana tatizo" ikifika hatua hii then u have failed as a husband. Huna sheria Yani, ndani ya nyumba yako Hakuna kiongozi, mkeo anaishi kama Wana WA Israel walivyo ishi kwenye WAAMUZI 21:25.
Kijana huyu na yeye akifika 40+ atawashauri vijana wa 20+ Na 30+ upuuzi huo huo na huu ujinga utaendelea kuwa recycled mpaka siku masiha atakapo rejea .
Acheni kuwashauri vijana ujinga
Vijana wenzangu wa 20+ na 30+ let me remind you one thing.
Mwanamke anapokuja kuanzisha mahusiano na wewe au anapoingia kwenye ndoa Na wewe huwa anakuja akiwa HANA TABIA.
Tabia atazikuta kwako.
I mean huwa anakuwa Hana tabia yoyote Ile kwako, tabia za jinsi ya kuishi Na wewe atazikuta kwako mwenyewe.
Wewe ndio utakae mfanya akuheshimu Na wewe ndio utakae fanya akudharau.
Wewe ndio utakae mfanya aishi kwenye fantasy life na wewe ndio utakae mfanya aishi maisha halisi.
Anapokuja kwenye Maisha yako kitu cha Kwanza ataku study ili ajue ur area of strength and ur areas of weakness and at the end of the day she will capitalize in ur areas of weakness and build her strength out of ur areas of weaknesses.
Mwanaume lazima uweke mipaka ambayo utaiheshimu Na utataka watu wengine waiheshimu akiwemo Na mke/mpenzi wako.
Kwamba yoyote atakae vuka mstari Huo basi kuwe na very expensive consequences.
HII inaitwa Self respect.
Usikubali kuvumulia au kupuuzia mambo ya hovyo hovyo( ya kukuvunjia heshima) utakayo fanyiwa na mwanamke.
Jiwekee utaratibu kwamba endapo mwanamke atakutamkia maneno Fulani ya kukuvunjia heshima wewe binafsi, au wazazi wako au watoto wako au kufanya Jambo lolote lile ambalo linagusa mzizi au mizizi ya ya uhusiano wenu basi reaction yako iwe ni kuachana Na mwanamke huyo papo hapo.
( Hili ni rahisi kama utakuwa Na mwanamke Zaidi ya mmoja. So jitaidi uwe Na atleast kuanzia wanawake wawili )
Kama nilivyo sema hapo awali mwanamke anapokuja kwako anakuja akiwa Hana tabia za jinsi ya kuishi na wewe, tabia atazikuta kwako..
Mwanamke huweza kuji tune jinsi ya kuishi na wewe kulingana na wewe mwenyewe ulivyo.
Ndio maana mwanamke anaweza akaachana na wewe Kwa Sababu eti ume mcheat halafu akaenda kuolewa mke wa tatu Na mwanaume mwingine na akaishi Kwa furaha kabisa..
Mwanamke anaweza kukununia Na kugoma kuja gheto Kwa Sababu hujampa Hela ya taxi kuja gheto kwako lakini at the same time aka enda kukopa Hela Kwa rafiki zake ili apate nauli kwenda Kwa kijamaa kingine . Wewe ndio umemfanya awe hivyo..
Mwanamke hujitune ili aendane Na tabia zako. Hata akisikia wewe ni bazazi atajitune hivyo hivyo... Utawasikia Wana ambiana " Fulani akikuchukua lazima akugeuze"
Achana kabisa na Huo upuuzi wa Ku vumilia mambo ya hovyo hovyo unayo fanyiwa na wanawake..
Mwanamke akikufanyia Jambo lolote linalo kuvunjia heshima yako kama mwanaume basi achana nae hapo hapo. " Wapenzi kugombana ni kawaida waachie mabwege"
Ukigombana Na mwanamke unatakiwa kuachana nae hapo hapo.
Akikujibu kunya muache hapo hapo Kisha m replace na
mwanamke mwingine.
Usikubali kuvumulia Jambo lolote la hovyo .
Usisahau duniani umeletwa kufurahia Maisha so usikubali mtu yoyote akukwaze .
Wewe sio mti ukiona sehemu haupati furaha basi ondoka mahali hapo haraka Sana ikimbilie furaha Mahali inako patikana.