Mabraza wenye miaka 40+, mkiendelea kuwahubiri vijana wa 20+ na 30+ kupuuzia mambo haya kuhusu wanawake then they will be no hope for the future

Facts....ukiona mipaka ya heshima inavunjwa...reaction yake inatakiwa iwe on the spot...hakuna kuzoeana kindezndezi wkt pisi kali zipo....videm hasa vya chuo ndo vyenye hiz tabia....havijui maisha zaid ya kudanga..ni mtindo wa kuigana mambo ya hovyo at the end wanachakachwa na mimba juu
 
Nakazia
 
Labda cha mapishi
 
Nimekuelewa man, ndio hivo tunaeleweshana lakini yeye kaniambia anasoma diploma ya utendaji maendeleo vijijini tafadhari mkuu ebu nifafanulie wanasomaga miaka mingapi na kumaliza mwezi wa ngapi[emoji120]
 
Nimekuelewa man, ndio hivo tunaeleweshana lakini yeye kaniambia anasoma diploma ya utendaji maendeleo vijijini tafadhari mkuu ebu nifafanulie wanasomaga miaka mingapi na kumaliza mwezi wa ngapi[emoji120]
Me nadhani ishi maisha yako wala usimfuatilie kujua anamaliza lini umle.

Hizo pesa madafu ulizompa mpaka sasa hesabu sawa na sadaka ulitoa.

Usitarajie lolote kwake,mpotezee akimaliza hiyo shule yake atakutafuta kama anakupenda.

Vinginevo utazidi kutoa tu vipesa vyako kwenye amna.
 
Lakini mkuu mimi siwezagi kumpotezea demu nilie kwisha mgharamia na sijamla ata mara moja nipo tayar nimle kwa namna yoyote
 
Masilahi mapana yafamilia,Akili yakiutu uzima nakiume kabisa mkuu!!!!,huwezi ukawa unasuluhuhisha kila tatizo Kwa kumuacha mwanamke eti kisa kakukosea heshima mbele zawatu,hutakua unajenga Bali unabomoa...sio kila Chuma nimsumari ugonge eti kisa ww ninyundo!mambo mengine unayasuluhisha Kwa kumtortuture Tu kisaikolojia,akizidisha naww unazidisha pressure ,kama vile vikwazo vyakiuchumi Tu wanavyotuwekea mabeberu mkuu,mtulie vikwazo,akizidisha kiburi,mrudishe hata kwao,naongeza vikwazo vyakiuchumi dhidi yake!
 
Huyo hakupendi mkuu,Naona unamfagilia Sana utakuja kuniambia baadae mwanamke akiwa anakupenda anafananishwa na mbwa Kwa Chatu ,auanakua haujiwezi kwako wala hawezi kukuwekea mipaka wala amri,huo ndio ukweli ukiona manzi inakuwekea vikwazo kibao kama inavyowekewa urusi ujue ,huna chako naufanye intervention mapema kabla hujafa nadepression
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…