luchelele mzunguko
JF-Expert Member
- Feb 12, 2021
- 1,206
- 1,641
Sawa mkuuHuyo hakupendi mkuu,Naona unamfagilia Sana utakuja kuniambia baadae mwanamke akiwa anakupenda anafananishwa na mbwa Kwa Chatu ,auanakua haujiwezi kwako wala hawezi kukuwekea mipaka wala amri,huo ndio ukweli ukiona manzi inakuwekea vikwazo kibao kama inavyowekewa urusi ujue ,huna chako naufanye intervention mapema kabla hujafa nadepression
hakuna anayemjua mtu wako kama unavyomuua wewe, mwengine anaweza kukushauri hakufai ila hajui mema yake, mwengine anaweza kushauri uvumilie kwasababu hajui ubaya wake. Mambo ya mahusiano ni kuwa makini sana. No one is perfect, Mungu anatakiwa kutangulizwa sana kwenye hili.Msipende kuomba ushauri sana hasa kwenye mambo yanayo husu ndoa
Yale yale.... Mwenzako anakuelekeza jambo wewe unaleta mawazo ya kizembe. So mfano mwanamke amekujibu kwa dharau kwa makusudi na unamjali vizuri tu au ameamua kutoka kimahusiano na mwanaume nje yako, unafanyaje?!Ushauri toka kwa mwanaume dhaifu, ushauri wako umelenga wanaume wakimbie matatizo na sio wayasolve sasa kila mtu angekua anakimbia matatizo hii dunia ingekalika?
Jiandae na maumivu plus kupigwa kitu kizito. Hiyo nakuguarantee.Ndio mkuu ujakosea ulosema ndio hali niliyonayo sasa
Yani nina mchumba yupo chuo ndio anamaliza mwezi huu tangu nianze nae mahusiano kila nikimuomba sex anadai amebanana mpaka amalize chuo na shida zake namsaidia tu
Na kila mara ananiambia niwe mvumilivu eti akimaliza chuo nitafutahi Dah[emoji3064] japo nampenda naishia kupewa denda tu, naona kama atanizingua hila nimepanga akizingua atakutana na matokeo ya kibabe[emoji123] awezi sahau maishani mwake maana hela niliyo tumia kumgalamia ni ndefu sana.
Umesoma ukamuelewa mleta mada au umejibu bila kuelewa logic yake....?!Akili za kitoto.....mwanaume hakimbii matatizo,mwanamke ni kiumbe dhaifu lazima uweze kumcontrol.
Hao wakubwa hushauri ili kujenga ndoa na sio vinginevyo,wanayaona matatizo na kutoa ushauri wa busara wenye faida kwako wewe kukulindia heshma uendelee kuishi na mkeo na familia kwa ujumla,ukiwa unaacha wanawake mara tu wanapokukwaza utabaki peke yako.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] kabisaWewe kuna Mwamba ameshakwambia unasolve vipi tatizo ambalo halipo? Tatizo la kutengenezwa Kwa makusudi?
Wewe endelea kusolve hayo matatizo mkuu labda ipo siku utavumbua kitu.
Mimi hoja yangu ni mwanaume hupaswi kuvumilia mambo ya hovyo hovyo unayo fanyiwa na mwanamke.
Mwanamke akikuzingua achana nae chukua mwanamke mwingine.
Matatizo tunayo solve ni kama vile anaumwa, anauguliwa, amepata msiba etc etc
Mwanamke kukufyonza mbele ZA watu hilo sio tatizo lako Na Wala halipaswi kuwa tatizo kwako, hiyo ni ground/ Sababu ya wewe kuachana nae na kuchukua mwanamke mwingine
Women always come to us with an expiry date.
Akishaanza kutokukuonyesha heshima Na utii tafsiri yake Ni kwamba hiyo Ni ishara kwamba ame expiry kuwa Na wewe so she has to be replaced with an immediate effect
Women hate this knowledge kwasababu wanajua inawaexpose for how complicated they are sometimes.Wewe kuna Mwamba ameshakwambia unasolve vipi tatizo ambalo halipo? Tatizo la kutengenezwa Kwa makusudi?
Wewe endelea kusolve hayo matatizo mkuu labda ipo siku utavumbua kitu.
Mimi hoja yangu ni mwanaume hupaswi kuvumilia mambo ya hovyo hovyo unayo fanyiwa na mwanamke.
Mwanamke akikuzingua achana nae chukua mwanamke mwingine.
Matatizo tunayo solve ni kama vile anaumwa, anauguliwa, amepata msiba etc etc
Mwanamke kukufyonza mbele ZA watu hilo sio tatizo lako Na Wala halipaswi kuwa tatizo kwako, hiyo ni ground/ Sababu ya wewe kuachana nae na kuchukua mwanamke mwingine
Women always come to us with an expiry date.
Akishaanza kutokukuonyesha heshima Na utii tafsiri yake Ni kwamba hiyo Ni ishara kwamba ame expiry kuwa Na wewe so she has to be replaced with an immediate effect
Usinilazimishe kuelewa,nimeelewa ndio maana nikaandika hayo majibu.Umesoma ukamuelewa mleta mada au umejibu bila kuelewa logic yake....?!
Hebu kaza akili yako kisha msome tena halafu tumia akili ya kiume kusoma logic yake.
Wapi nimesema ni lazima uelewe?! Unahisi usipoelewa mimi kuna kitu napungua au kuna pesa nitatozwa somewhere. Learn to appreciate positive contribution sio kila kitu unachukulia kama unashambuliwa.Usinilazimishe kuelewa,nimeelewa ndio maana nikaandika hayo majibu.
Kwa hiyo unataka maoni yangu yafanane na yako,haiwezekani siwezi kukubali kitu ambacho sioni manufaa yake kwangu.Wapi nimesema ni lazima uelewe?! Unahisi usipoelewa mimi kuna kitu napungua au kuna pesa nitatozwa somewhere. Learn to appreciate positive contribution sio kila kitu unachukulia kama unashambuliwa.
Kwasababu upo kwenye upande wa kuharibu. Sasa sisi kama wanajamii hatuwezi kukuacha ubakie ulivyo ebo.... Hebu soma tena hapo juu utoe hoja na mchango mzuri..... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kwa hiyo unataka maoni yangu yafanane na yako,haiwezekani siwezi kukubali kitu ambacho sioni manufaa yake kwangu.
Nimemaliza kusoma sisomi tena mkuu,huyo unayemuunga mkono anataka kuharibu jamii kwa kuacha wanawake kila siku sababu tu ya madhaifu yao ambayo yanarekebishika,wazazi wetu wangekuwa na tabia za hivi tusingezaliwa au wasingezeeshana katika ndoa zao.Mimi nasimamia swala la ndoa sitaki kuhusika na mahusiano yaliyo nje ya ndoa,mwanamke ni dhaifu lazima kama mwanaume uweze kumcontrol afuate yale uliyomuamrisha na si kumuaacha/kuwaacha na kuchukua wengine kama ndio adhabu kwao,hata sisi wanaume tunawakosea sana wanawake makosa makubwa lakini wanavumilia...ushauri wa mabro una maana kubwa sana ya kuijenga ndoa iweze kudumu,kama hawa mabro wangekuwa na ushauri kama wa huyu mwamba basi ukubwa wao ungekuwa ni wa hovyo kabisa...miaka 40 lazima uwe na maamuzi,ushauri wa busara wenye kujenga.Kwasababu upo kwenye upande wa kuharibu. Sasa sisi kama wanajamii hatuwezi kukuacha ubakie ulivyo ebo.... Hebu soma tena hapo juu utoe hoja na mchango mzuri..... [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Acha kashifa kama mwanaume anakosea na mwanamke nae anakosea,unafikiri ukimwacha wewe utabaki salama?labda kama hukumpendaYale yale.... Mwenzako anakuelekeza jambo wewe unaleta mawazo ya kizembe. So mfano mwanamke amekujibu kwa dharau kwa makusudi na unamjali vizuri tu au ameamua kutoka kimahusiano na mwanaume nje yako, unafanyaje?!
Unamuangalia tu au?!
Unasolve vipi hilo tatizo. Ifike wakati sasa watoto wa kiume muanze kukaza mapumbu yenu na kujitambua. Wanawake wanaanza kuwapanda vichwani sababu ya ujinga wenu.
Hata mke wa ndoa mkuu ingawa Kwa mke wa ndoa unapaswa kuwa lenient kidogo...Naona anayezungumziwa hapa ni mpenzi na si mke wa ndoa. Kama ni mke wa ndoa,utaachana nao wangapi?.
Nakaziaaa!Hata mke wa ndoa mkuu ingawa Kwa mke wa ndoa unapaswa kuwa lenient kidogo...
Umerudi nyumbani umetoka kazini umekuta mke wako yupo anapiga story na mashoga zake na amekuona kabisa umeingia. Hajaja kukupokea yupo anapiga umbea na shoga zako.
Umekaa ndani lisaa limoja kimya, masaa mawili kimya, uzalendo unakushinda unatuma watoto wakamuite anatuma ujumbe anakuja .. anakuja dk. 40 baadae..
Unasubiri nani Akwambie kwamba unatakiwa kumuacha mwanamke huyo siku hiyo hiyo?
piga chini fasta Kisha mreplace na mwanamke mwingine