Tetesi: Machache aliyonieleza mfanyakazi wa TPA yana ukweli?

Ni kweli wamekinga mirija pale watawala. Hata Mimi siamini kwamba sisi hatuna uwezo wa kuendesha bandari. Ni ujinga na uzandiki unaendelezwa wa kuaminisha na kujianika kwamba sisi ni vilaza. No we can yes we can tatizo kubwa hatuna Rais mwenye high IQ.
 
Vyovyote iwavyo lakini siyo kigezo cha kuwapa wajomba kuendesha Bandari
Hapo hujatumia akili kabisa.Yaani kuna kikundi kinavuruga uendeshaji wa bandari halafu kwa dhana mbaya tu unataka mtu mwengine asiingie kuja kurekebisha kasoro hizo.Afadhali huyo mjomba angekwishaingia akaharibu ndipo ukasema maneno hayo ya hasira.
 
Pumbas
 
Shida ya Watanzania wengi wanapenda ujanja ujanja, hiyo bandari watunge sheria mpya ya mwaka 2023 za dharura,

ofisi ya CAG iwe na kambi hapo Auditing iwe ni kila siku 😂

Wezi, wabadhilifu adhabu iwe ni kunyongwa, kama mna huruma sana tutaajiri vijana kutoka mashariki ya mbali huko wameshajizira watusaidie zoezi la unyongaji, lazima nidhamu itarudi.

Mambo ya kuoneana aibu na kubebana ndio yanatuleta hapa, wewe nyonga watu tu uone kama kuna mtu atathubutu kuchezea pesa ya serikali.
 
Nakubaliana kabisa, viongozi wengi wanamirija hapo, mim binafsi nakubaliana na Uwekezaji but not Mkataba wa DP kabisa. Maana kama mifumo haitatoa Uhuru kwa wazawa kujiendesha kibiashara bila kuwaingilia, wangeweza... Ila naamini vimemo haviezi Isha... Bora aje mwekezaji angalia sura ya Mtu yeye kazi na pesa
 
Kama njia ya kuingia barabarani imeshindikana kwanini isitafutwe njia nyengine yenye kuwezekana? Ina maana tutaendelea kukaa tu na kusema watanzania waoga hatuwezi kuingia barabarani?
Njia nyingine ndiyo hiyo mkuu 'Tz mbongo' niliyoielezea hapo kwa ufupi, yaani kupitia kwenye chaguzi hizi zinazokuja 2024 na 2025.
Inajulikana kwamba kuna waTanzania wasiopenda kuchezewa kura zao wakati wa uchaguzi, na ushahidi huo upo wakati ule CHADEMA walipopata wabunge wengi Bungeni nchi nzima. Watu walikataa kabisa hujuma walizojaribu kuzifanya CCM kuwazuia.

Kwa hili tunajua linawezekana; na CCM waking'ang'ania maana yake ni wao watakuwa wanaanzisha vurugu nchini, na siyo CHADEMA.
 

Narudia tena, kuendelea kusimama kwenye mstari wa kura eti unachagua kiongozi ni utani wa mchana kweupe. Ni aidha machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi ili kuondokana na hiki chama kilichoko madarakani kwa shuruti.
 
Je tukisema tuendelee kumuomba Mungu itakuwa ni idea ya uhaini?

Mungu pekee ndo anaweza kutuvusha kwenye hili
Huyo Mungu hayupo.

Matatizo yalitengenezwa na Binadamu mwenyewe, Yata tatuliwa na binadamu huyo huyo.

Haya mambo ndio yana kwamisha waafrika, matatizo mnatengeneza wenyewe, Halafu mnadhani kuna nguvu isiyo kuwepo itakuja kuwatatulia matatizo yenu.

Huko ni kujifariji Fictions.
 
Wewe ni mwongo.

Hujaeleza chochote kama hao watu wanaofanya hayo unayodai wanayafanya ni kwa sababu ya Samia.
Umewauliza wakakwambia hawataki wawe na bandari yao ya Dar es Salaam?

Kwa hiyo kwa akili zako finyu, kwa wao kutokuwa na habari juu ya DP World ni sawa na kukubaliana na upumbavu unaofanywa na Samia na genge lake?

Umewauliza wakakwambia wao hawaoni tatizo lolote juu ya mkataba huo?

Hopeless Kabisa!
 
Narudia tena, kuendelea kusimama kwenye mstari wa kura eti unachagua kiongozi ni utani wa mchana kweupe. Ni aidha machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi ili kuondokana na hiki chama kilichoko madarakani kwa shuruti.
Na huo ndio ukweli unfortunately
 
Nenda kasome private enterprise over public enterprises nadhani utaelewa mantiki yake!! Iko hivi ni nature kabisa ya public enterprises kuwa inefficient over private enterprise so hata aje malaika kuongoza hawezi kuondoa inefficient on public enterprises sababu ndo asili ya huo mfumo.
 
Sina muda wa kwenda kusoma nadharia huku uhalisia ukiwa wazi.
Na hata hizo nadharia mnazolazimisha hapa, ni kama hamuelewi kinachozungumziwa humo ndani, badala yake mnaleta kupindisha tu kila kitu.
Nipe mfano mmoja tu wa nchi iliyoendelea kwa kuwategemea tu 'private sector' bila ya uhusika wa 'public sector'.
 
Fear of unknown!
 
Hiyo point namba 3 ndio adui mkubwa wa taifa hili, haya yote yanayoendelea muda huu chanzo chake ni upigaji wa hapo TPA. Maaskofu wanatumika pengine bila hata ya kujua wanafanya nini maskini ya Mungu.

Na huyu ni mwekezaji mmoja tu kati ya watatu wanaotakiwa kuanza kazi muda wowote kuanzia sasa. Suala lote limeingiziwa siasa za kipuuzi sana lakini wapo wafaidikaji wachache wa haya mambo.
 
All developed countries zimefikia hapo Kwa kutoa kipaumbele Kwa private sector kuwa as the machinery for development, watanzania tunadharau theory ndomana tunafeli hata ktk shughuli binafsi za mtu mmoja mmoja, India pia wakati inaanza kubinafsisha mashirika yake ilipata upinzani mkali kutoka vyama siasa na wananchi wa kawaida wale waoga wa mabadiliko lkn mwisho wa siku walifanya na Leo hii wanainjoy maamuzi ya viongozi wao!!
 
Point namba nne imekaa kisiasa zaidi, inaepuka ukweli kwamba kwenye suala la teknolojia hatupo vizuri hata kidogo.

Kuongelea uzalendo kwenye masuala ya bandari ni kuweka siasa za muda tu, kuna suala la teknolojia kuwa pana na kumilikiwa na wachache duniani, sio masuala mepesi kama yanavyoongelewa na Father Kitima.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…