Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 63,730
- 111,542
Contradiction theory. Acha nikuelewe hivyo hivyo.Mkuu
DPW ni upande mmoja na hao wahuni ni kamilisho la upande huo.
Elewa concept
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Contradiction theory. Acha nikuelewe hivyo hivyo.Mkuu
DPW ni upande mmoja na hao wahuni ni kamilisho la upande huo.
Elewa concept
Nimekusoma nina siku tatu sijala wala kunywaJe tukisema tuendelee kumuomba Mungu itakuwa ni idea ya uhaini?
Mungu pekee ndo anaweza kutuvusha kwenye hili
CCM haitegemei kura kukaa madarakani, ni aidha tuingie kwenye machafuko, ama mapinduzi ya kijeshiTujikumbushe sababu na dhima ya kutoipa CCM kura hapo 2025
1) Kuhusu rushwa sina hakika na hilo. kwa sababu hakuna mahali unatakiwa kulipa kwa cash.Mafisadi in terms of rushwa maana unaelewa urasimu uliopo. Hata mizigo huwa inapotea sana mazingira ya kutatanisha.
Kingine ufanisi wao upo chini sana na serikali pia CAG amekiri wameshindwa kazi. Sasa solution ni kufanya outsourcing tu maana hata ukibadili wafanyakazi wanaokuja ni Wezi zaidi.
Cha ajabu watu wanakazania ooh bandari itauzwa wanasahau hata sahivi haijauzwa ila Kuna mafisadi machache yanakula hiko hiko kidogo kinachopatikana
Sasa kama bajeti inaandaliwa mapema, kwaninin serikali haitoi pesa kwa ajili ya kununa vifaa? ...Sio kweli hili, bajeti huandaliwa mapema kulingana na makadirio ya Mapato na huidhinishwa, Sasa kivipi pesa ikosekane? Huwa Wana miradi hewa kibao ndio inakula Hela Wala shida Yao sio vifaa ila wizi tu. Unakumbuka kesi ya flow meter kuzimwa? Au Makinikia kusafirishwa bila kukaguliwa kama kilichokua delcared kwenye karatasi ndio kipo ndani ya container?
TPA are bunch of embezzlers, hiyo bandari mara 10 wapewe hata JWTZ pengine tutaona Mapato yakipaa ila hao TPA Are shit.
Na hana uwezo wa kurejea huko kwa sababu hana uwezo wa kufanya maamuziJPM alifanya trip kadhaa pale bandarini mara baada tu ya kuingia madarakani. Haikuwa kazi rahisi kuikata ile mirija pale.
Huyu mama ameingia madarakani akaanza kuwachekea hao wezi akidhani JPM alikuwa kichaa kuwanyoosha.
Sasa anadhani DPW watafanya nini? Shida ni yeye, amekuta mifumo imara kaamua kuibomoa kwa ushauri mbovu aliopewa na hao wezi waliotega mirija yao hapo.
As long as anaongoza nchi kwa kulipa fadhila kwa maswahiba asahau kuhusu ufanisi. Kwanini alimwondoa Kakoko pale? Nani alimshauri? Arejee hatua zake nyuma atawajua wabaya wake.
Alituvusha kwa kutupatia Sa100!Wewe jukumu lako ni kumuunga mkono tu.Je tukisema tuendelee kumuomba Mungu itakuwa ni idea ya uhaini?
Mungu pekee ndo anaweza kutuvusha kwenye hili
Sio kwamba wewe ndo huelewi!Hoja yako nini mbona hueleweki?
Tusiruhusu akili zetu kuchoka namna hiyo.CCM haitegemei kura kukaa madarakani, ni aidha tuingie kwenye machafuko, ama mapinduzi ya kijeshi
Ni maoni yako ambayo yanapingana na msimamo wanguAlituvusha kwa kutupatia Sa100!Wewe jukumu lako ni kumuunga mkono tu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Na wakati huohuo hawana migogoro na Uingereza n.k.[emoji23][emoji23][emoji23]Kwa nn tusitafute kampuni ya kitaalamu kama deloitte ya management tuu na sio kuleta watu wenye migogoro na bandar djibout.sudan etc
Ninachokiona huku Kilombero kwenye bonde la mpunga,ni kuongezeka kwa viwanda vya kuchakata mpunga na ungezeko la maghala ya kuhifadhia mpunga kila kona.Shida kubwa kwa Tanzania ni kuwapata hao wa kwenda barabarani.
Isingekuwa hivyo, nami ningesema tuanze kesho.
Lakini kwa 2024/2025, nasema kama CCM itabaki kuendelea madarakani kwa njia yoyote ile, huo utakuwa ni muujiza wa kipekee sana.
Watu wanasema bandari imeuzwa kwasababu kwenye huo mkataba hakuna sehemu panapo onyesho ukomo wa mkataba pia kwenye sehemu ya sahihi hapaonyeshi jina la mtu au cheo chake kuna sahihi tu, sasa huyo mwenye hiyo sahihi ni nani? amabaye serikali yetu imeingia mkataba nae kwanini jina lake halipo kwanini ajifiche kama ni mwakilishi wa DPW ?Kwangu mimi nilivyosikiliza maelezo ya wataalamu nauona unafaa, lakini sina ufahamu sana wa Biashara ya Bandari wala ujuzi wa sheria za kimataifa, lakini vipo vitu watu naona wanapotosha makusudi kwa wwnaopinga, mfano mtu anasema bandari imeuzwa kivipi?
Haki za ardhi atapewa bure kivipi sababu hata raia wewe leo ukipewa hati ya eneo ni unakodi kwa miaka 99, inshort baada ya miaka hiyo serikali ina haki ya kuja kuwaeleza watoto wako au wajukuu zako hili eneo wanalihitaji sababu hukuuziwa ulikodishwa, lakini jambo jengine ninalofahamu mtu hawezi kutaka kuleta pesa zake na resources zake afu akupe masharti mepesi
Mfumo wa ccm tayari umekuwa kama ukoo wa mafisi, kambale au sangara!Naeleza kwa ufupi. Wenye kuelewa haraka hongereni.
Najua humu JF wapo wenye kuyaelewa haya mambo yanavyokwenda, je hizi taarifa zimekaaje?
- Bajeti ya Bandari inakata Sept 2023 ambapo kwa mujibu wake anasema kuanzia Oktoba TPA itakuwa ktk wakati mgumu kwenye kujiendesha
- DPW walipaswa kuanza shuguli bandarini mnamo Oktoba 2023. Lakini mpaka sasa seems deal halijafikia muafaka.
- Siyo kweli kwamba Watanzania hawana uwezo wa kuendesha bandari bali ufanisi hauonekani kwa sababu watawala wamekinga mirija yao bandarini.
- Endapo serikali ingeunda mamlaka inayojiendesha kibiashara kusimamia bandari na kuwepo nanusimamizi wa kizalendo, bandari zetu zingeweza kuleta tija mara kumi zaidi ya kinachotarajiwa kuletwa na DPW
Tulia mkuu 2025 hatufiki," Nikungojapo chini shetani kaburini naenda" litapigwa SongHAPANA, 2025 mbali ,watakuwa wameuza Kila ki2,
Tuungane na Nabii Mwabukusi kupeleka mashtaka mahakama ya umma iliyo juu ya zote, mabarabarani na Viwanjani Ili waovu watokomee!!
Ameen na ikawe kwa kumpendeza BwanaMungu atakujibu sawa sawa na kujinyenyekeza kwako kwake