Oy viatu vya kinamama bei chee hasa kuuza vijijini chimbo lipo wapi?mfano wa kiatu
 
Nitakutafuta kaka tufanye kitu
 
Reactions: Xlz
Anauza vitu fake huyo David,, David sport wear Anapost viatu alivyo navyo dukani alipost sendo fulan kali za Adidas nikapiga sim niletewe ila kilicho letwa ni fake yaani ni tofauti na kwenye picha... kuanzia hapo nikajua tu huyu mswahili
Basi ni mswahili.
 
Nenda maduka ya wasomali

pale uhuru road zinapopak bajaj za fery koote yale maduka ya pc na laptop accessories bei simpo
Kuna duka lingine lipo kituo cha mabasi ya sinza pale limeangaliana na msimbazi polisi la pc wasomali wanauza pei nzuri sn
 
Mwamba anaujua mji sio ww unaruti moja tu kazini home mwamba anatisha sn
 
Hapo kwa Kitenge kuna jamaa anaitwa Kanu, aisee wale jamaa wapo serious na biashara mno,
M/Mungu aendelee kuwabariki
Hivii Mfano Watu Wa Mikoan wakihitaj mawasiloano ya hao watu wanaweza pata?
 
Naomba kwa mwenye kufahamu, anielekeze chimbo la vitu vya kuchezea watoto kwa bei nafuu, Baiskeli, Toys n.k
 
Vipi kuhusu Hair Wigs, Extensions, Hair Pieces & All about hair
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…