Mi naomba kujuzwa ni mtaa gani yanapatikana madukaya vifaavya salon za kiume (vikorombwezo vyote)
 
Naomba kuhulizia chimbo la kupata vitambaa vile vinavyokatwa na kutengeneza mapazia
 
Naombeni kuuliza ni wapi naweza pata chupa za kuanzia robo lita mpaka lita moja kwa ajili ya kuwekea asali au.mafuta ya kupikia?Na vipimo vya kupimia robo lita mpaka lita.Ahsanteni
Plastick au kioo???
 
My brother mi naomba Chimbo la mashine ya kufulia nguo zile manu sio automatically kuanzia kg 11;12na kuendelea:0765657074
 
Jamani Naombeni kuonyweshwa machimbo ya hizi Cheni na hereni kwa hapa dar kwa bei ya jumla jumla





 
Anauza vitu fake huyo David,, David sport wear Anapost viatu alivyo navyo dukani alipost sendo fulan kali za Adidas nikapiga sim niletewe ila kilicho letwa ni fake yaani ni tofauti na kwenye picha... kuanzia hapo nikajua tu huyu mswahili

Kabisa
 
Ilala boma mtaa wa Tabora na Pangani. Pia keko utapata au Kariakoo magodawn ya wahindi.

Sisi tuko Ilala boma bei zetu poa hata difichi angalia hapa chini. Nitext wasup uje uchukue balo grade A 0762815104
mimi nahitaji za kiume reja reja naweza pata?
 


Msaada wa kupata chimbo la hizi miwani za rayban kwa bei jumla
 
wazee wa chimbo wa hzi leather naomba kujua chimbo maana mitandaoni zinacheza 120000-130000

hopely chimboni itakuwa ni chini ya laki
 
πŸ™πŸ™πŸ‘ŠπŸ‘Š
 
Wapi nitapata chimbo la barber shop chir kwa bei ya mtanzania wa Hali ya chini? Msaada plz kwa anaejua
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…