Machimbo mazuri ya kupata bidhaa mbalimbali Kariakoo kwa bei nafuu
Mimi ni kijana mtafutaji na hizi namna hatuna kazi za ofisini basi kariakoo imekua ndio hemeo la wengi.
Sasa nimewaza mwaka mpya huu kuna vijana kama mimi tumejichanga au tunataka kuwa middlemen katika upatikanaupatikanaji wa bidhaa mbalimbali.
Nina mpango wa kuaanda thread au ebook yenye kuonyesha machimbo ya bidhaa bei zake na expected bei ya kuuzia ili kupata faida.
Mko tayari nishushe uzi?
Kuna mmoja anauza kitabu chenye machimbo ya hizo bidhaa huko kariakoo kwa elfu 20.Hizo ebook na thread zako itakuwa bei gani?
 
Habari wakuu,

Mwenye anajua chimbo linalouza nguo za kike ikiwa magauni tofauti tofauti kwa jumla na viatu vyakiume hata kama kuna group link naomba anijoin
0629747495- chameey
 
Msaada chimbo au viwanda ambavyo naweza kupata mabooti ya shambani kwa bei ya jumla
 
Mwenye kujua chimbo la burner za mitungi midogo ya gas msaada tafadhali.
 
Post yako instagram imeandikwa 2days ago

Hii post nayo 11/11


Hapo nani kamwibia mwenzake? Au mnashare mawazo? Au ni ID Mbili mtu mmoja!?
Huyo mwizi wa Kariakoo anataka followers; mleta mada angetutajia pia wezi maarufu Kariakoo
 
Natafuta connection ya vifaa vya kampuni ya tronics kwa bei ya jumla kabisa.

Ntaomba mhusika awe n page Instagram au Facebook.

0788340483
 
Natafuta connection ya vifaa vya kampuni ya tronics kwa bei ya jumla kabisa.
Ntaomba mhusika awe n page Instagram au Facebook.
0788340483

Dealers hawahangaiki na instagram wala Facebook
Main office ni Posta
 
Asante kwa kuiba post yangu instagram account yenye jina la @kelvinkibenje hata hivyo si mbaya kwani lengo ni kusaidiana. Aya wanaotaka machimbo zaidi na elimu ya biashara mnaweza kwenda instagram kuna post nyingi mtapata kitu. Serch @kelvinkibenje

Braza salama?

Nina Depo la vinywaji nahitaji kuongeza bidhaa, DISPOSABLE GLASSES vile vya njano au vyekundu.

Chimbo k.koo nalipata wapi?
Chimbo la jumla kwa bei rahisi.

Nipo mkoani.

#YNWA
 
Back
Top Bottom