Machimbo mazuri ya kupata bidhaa mbalimbali Kariakoo kwa bei nafuu
Natafuta chimbo la bidhaa za kutengeneza ICE CREAM kama vile radha, rangi, sukari, maziwa ya unga, CMC, cornflower..... Nk
 
Natafuta chimbo la kununua raba simple kwa bei ya jumla za kuchomeka tu vya kiume mjin daslam
 
Unatafuta bidhaa bei nafuu na jumla Kariakoo? Hapa nakupa machimbo bure ufanye biashara,

Save hiii post kwanza itakusaidia baadae.

Kwa nguo za ndani (chupi) ukimaliza kituo cha mwendokasi kinachoangaliana na msimbazi police, kwenye upande wa vitu vya make up kuna mtaa mmoja unaingia yapo maduka mengi dozen za cotton Ni Bei nafuu.

Make up _ kituo cha mwendokasi ukiachana na huu upande ilipo msimbazi polisi ule mwingine unaingia ndanindani.

Maduka ya jumla kwa vitambaa vya Masofa, yanapitakana mtaa wa kipata, anza na kipata na msimbazi mpaka kipata na swahili yapo ya kutosha.

Vifaa vya umeme nenda Mtaa wa Narung'ombe.

Spear za pikipiki Nenda mtaa wa swahili na k/koo hapo kuna maduka mengi.

Mtaa wa congo na narung'ombe underground ya Tanzanite kule chini kuna mtaa mzima unaingia unatembea chini kwa chini kuna t-shirts za bei nafuu.

Vifaa vya plastiki Nenda Duka la cello kariakoo .

Rasta bei ya jumla ziko upande wa pili wa kituo cha mwendokasi kinachoangaliana na msimbazi police, mtaa yanapopaki magari ya makumbusho gerezani yanayopitia Sinza.

vitambaa vya vijora ni Msimbazi Kwa nyuma.

Chimbo la dawa muhimu za binadamu kwa kariakooo linapatikana mtaa wa Kipata na nyamwezi street.

Bidhaa za simu, cover, charger, housing Kwa bei Chee ziko Upande wa kushoto ukiwa unashuka chini kuelelekea fire kabla hujafika kituo Cha Mwendokasi Cha Msimbazi B unazama Kwa ndani

Vifaa vya ujenzi ni Mtaa wa livingstone kuna Duka Linaitwa Bahdela bei poa vyote utapata.

Vifaa vya stationaries ni mtaa wa Kipata ( maduka ya wasomali ndo bei nzuri )

Shati ni mtaa wa Agrey/congo au mchikichi/Congo

Mashine mbalimbali kama za miwa, kusaga nk nenda Mtaa wa SIDO

Narudia Vitenge ni pale mnazi mmoja ile njia ya kuingia posta. Wale wahindi watakuuzia vitenge vizuri bei nafuu. (ukipata connection ya Uganda utatisha)

Maduka ya wachina wanaouza viatu vya kike ni mtaa wa congo.
Subwoofer na home theater pande zipi
 
Unatafuta bidhaa bei nafuu na jumla Kariakoo? Hapa nakupa machimbo bure ufanye biashara,

Save hiii post kwanza itakusaidia baadae.

Kwa nguo za ndani (chupi) ukimaliza kituo cha mwendokasi kinachoangaliana na msimbazi police, kwenye upande wa vitu vya make up kuna mtaa mmoja unaingia yapo maduka mengi dozen za cotton Ni Bei nafuu.

Make up _ kituo cha mwendokasi ukiachana na huu upande ilipo msimbazi polisi ule mwingine unaingia ndanindani.

Maduka ya jumla kwa vitambaa vya Masofa, yanapitakana mtaa wa kipata, anza na kipata na msimbazi mpaka kipata na swahili yapo ya kutosha.

Vifaa vya umeme nenda Mtaa wa Narung'ombe.

Spear za pikipiki Nenda mtaa wa swahili na k/koo hapo kuna maduka mengi.

Mtaa wa congo na narung'ombe underground ya Tanzanite kule chini kuna mtaa mzima unaingia unatembea chini kwa chini kuna t-shirts za bei nafuu.

Vifaa vya plastiki Nenda Duka la cello kariakoo .

Rasta bei ya jumla ziko upande wa pili wa kituo cha mwendokasi kinachoangaliana na msimbazi police, mtaa yanapopaki magari ya makumbusho gerezani yanayopitia Sinza.

vitambaa vya vijora ni Msimbazi Kwa nyuma.

Chimbo la dawa muhimu za binadamu kwa kariakooo linapatikana mtaa wa Kipata na nyamwezi street.

Bidhaa za simu, cover, charger, housing Kwa bei Chee ziko Upande wa kushoto ukiwa unashuka chini kuelelekea fire kabla hujafika kituo Cha Mwendokasi Cha Msimbazi B unazama Kwa ndani

Vifaa vya ujenzi ni Mtaa wa livingstone kuna Duka Linaitwa Bahdela bei poa vyote utapata.

Vifaa vya stationaries ni mtaa wa Kipata ( maduka ya wasomali ndo bei nzuri )

Shati ni mtaa wa Agrey/congo au mchikichi/Congo

Mashine mbalimbali kama za miwa, kusaga nk nenda Mtaa wa SIDO

Narudia Vitenge ni pale mnazi mmoja ile njia ya kuingia posta. Wale wahindi watakuuzia vitenge vizuri bei nafuu. (ukipata connection ya Uganda utatisha)

Maduka ya wachina wanaouza viatu vya kike ni mtaa wa congo.
Mkuu vipi kuhusu Hair Wigs na Hair Extensions?
 
Habari ndugu wanaJf,

Mimi ni kijana wa kitanzania mchapakazi na mwaminifu sana niliejipatia uzoefu wa kununulia watu bidhaa, kuwafungia bidhaa na kuwasafirishia bidhaa kutoka dar es salaam hasa kariakoo kwenda mikoa mbali mbali.

Uzoefu huu niliupata wakati nasoma chuo x ndani ya jiji la dsm pale ndugu na marafiki waliponiomba kuwafanyia manunuzi ya bidhaa na kuwasafirishia hadi mkoani.

Baada ya kuhitimu chuo nimeendelea kuifanya kazi hii na sasa nilitamani kupata watu wapya nitakaojenga nao uaminifu ili na wao wapate huduma bora ya ununuzi wa bidhaa na kufikishiwa hadi mahali walipo.

Ipo hivi,kwa wakazi wa dar es salaam ninakununulia bidhaa yoyote ile ndani ya kariakoo na kukuletea mahali popote ndani ya dar es salaam kwa wakati. Kwa wakazi wa mikoani nitakununulia bidhaa,nitakufungia na kukusafirishia kwa njia uipendayo wewe (basi au lori). Nipo vizuri sana hapa kwasababu najua malori ya mikoa yote yanapatikana wapi na mabasi yenye huduma nzuri kwa usafirishaji mizigo.

Pia kwa wale watakaopenda niwaelekeze machimbo ya bidhaa mbalimbali ndani ya kariakoo usisite kuwasiliana nami na kama utapenda zaidi unaweza kuongozana na mimi nikakufikisha hadi chimbo husika.

Naombeni order hizo ndugu watanzania wenzangu ili wewe uokoe muda na nauli na mimi nipate rafiki/mteja na jamaà wa kudumu.

NAIPENDA SANA HII KAZI NA NAIFANYA KWA UAMINIFU MKUBWA SANA.

MAWASILIANO: 0745645035(call/sms/whatsap).

Karibuni sana uniagize Kariakooo.

Tuonane tufanye kazi maana nipo naandaa app ya group Buying kwa watu wa mikoani wanaonunua vitu kkoo. Ila bado natafuta vendors ambao nitafanya nao kazi. Nadhan tunaweza fanya ktu bro.
 
Unatafuta bidhaa bei nafuu na jumla Kariakoo? Hapa nakupa machimbo bure ufanye biashara,

Save hiii post kwanza itakusaidia baadae.

Kwa nguo za ndani (chupi) ukimaliza kituo cha mwendokasi kinachoangaliana na msimbazi police, kwenye upande wa vitu vya make up kuna mtaa mmoja unaingia yapo maduka mengi dozen za cotton Ni Bei nafuu.

Make up _ kituo cha mwendokasi ukiachana na huu upande ilipo msimbazi polisi ule mwingine unaingia ndanindani.

Maduka ya jumla kwa vitambaa vya Masofa, yanapitakana mtaa wa kipata, anza na kipata na msimbazi mpaka kipata na swahili yapo ya kutosha.

Vifaa vya umeme nenda Mtaa wa Narung'ombe.

Spear za pikipiki Nenda mtaa wa swahili na k/koo hapo kuna maduka mengi.

Mtaa wa congo na narung'ombe underground ya Tanzanite kule chini kuna mtaa mzima unaingia unatembea chini kwa chini kuna t-shirts za bei nafuu.

Vifaa vya plastiki Nenda Duka la cello kariakoo .

Rasta bei ya jumla ziko upande wa pili wa kituo cha mwendokasi kinachoangaliana na msimbazi police, mtaa yanapopaki magari ya makumbusho gerezani yanayopitia Sinza.

vitambaa vya vijora ni Msimbazi Kwa nyuma.

Chimbo la dawa muhimu za binadamu kwa kariakooo linapatikana mtaa wa Kipata na nyamwezi street.

Bidhaa za simu, cover, charger, housing Kwa bei Chee ziko Upande wa kushoto ukiwa unashuka chini kuelelekea fire kabla hujafika kituo Cha Mwendokasi Cha Msimbazi B unazama Kwa ndani

Vifaa vya ujenzi ni Mtaa wa livingstone kuna Duka Linaitwa Bahdela bei poa vyote utapata.

Vifaa vya stationaries ni mtaa wa Kipata ( maduka ya wasomali ndo bei nzuri )

Shati ni mtaa wa Agrey/congo au mchikichi/Congo

Mashine mbalimbali kama za miwa, kusaga nk nenda Mtaa wa SIDO

Narudia Vitenge ni pale mnazi mmoja ile njia ya kuingia posta. Wale wahindi watakuuzia vitenge vizuri bei nafuu. (ukipata connection ya Uganda utatisha)

Maduka ya wachina wanaouza viatu vya kike ni mtaa wa congo.
Asante
 
Sasaa Masta Siku Utishe Na Ma Phone Number Ya Zile Sehemu Official Haswaa Kama Hao Wa Vitenge Na Vyombo Vya Plastic.

Unaweka ma Contacts yao Wateja wa Mikoan wapate Kuagiza Kama Wanafanya Delivery [emoji1478][emoji1488]

Btw uzi safi sana huu.
 
Naombeni kuuliza ni wapi naweza pata chupa za kuanzia robo lita mpaka lita moja kwa ajili ya kuwekea asali au.mafuta ya kupikia?Na vipimo vya kupimia robo lita mpaka lita.Ahsanteni
 
Natafuta connection ya vifaa vya kampuni ya tronics kwa bei ya jumla kabisa.

Ntaomba mhusika awe n page Instagram au Facebook.

0788340483
Nenda Yale maduka ya vifaa vya umeme pale near narungombe uliza duka la kitenge hapo utapata products za tronics Bei nafuu kabisa za jumla..
Achana na mambo ya Facebook na Instagram Kwa mizigo ya jumla... seriously seller hawanaga mpango wa kuwa huko...
 
Nenda Yale maduka ya vifaa vya umeme pale near narungombe uliza duka la kitenge hapo utapata products za tronics Bei nafuu kabisa za jumla..
Achana na mambo ya Facebook na Instagram Kwa mizigo ya jumla... seriously seller hawanaga mpango wa kuwa huko...
Hapo kwa Kitenge kuna jamaa anaitwa Kanu, aisee wale jamaa wapo serious na biashara mno,
M/Mungu aendelee kuwabariki
 
Back
Top Bottom