Kalaga Baho Nongwa
JF-Expert Member
- Sep 27, 2020
- 9,953
- 23,150
Nenda tandamti, Pemba kule shimoniJe maduka ya jumla ya vifungashio kwa kariakoo yapo sehemu gani
Msaada tafadhali[emoji120]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nenda tandamti, Pemba kule shimoniJe maduka ya jumla ya vifungashio kwa kariakoo yapo sehemu gani
Msaada tafadhali[emoji120]
Nitakutafuta ndugu yangu.Nione 0745645035
Subwoofer na home theater pande zipiUnatafuta bidhaa bei nafuu na jumla Kariakoo? Hapa nakupa machimbo bure ufanye biashara,
Save hiii post kwanza itakusaidia baadae.
Kwa nguo za ndani (chupi) ukimaliza kituo cha mwendokasi kinachoangaliana na msimbazi police, kwenye upande wa vitu vya make up kuna mtaa mmoja unaingia yapo maduka mengi dozen za cotton Ni Bei nafuu.
Make up _ kituo cha mwendokasi ukiachana na huu upande ilipo msimbazi polisi ule mwingine unaingia ndanindani.
Maduka ya jumla kwa vitambaa vya Masofa, yanapitakana mtaa wa kipata, anza na kipata na msimbazi mpaka kipata na swahili yapo ya kutosha.
Vifaa vya umeme nenda Mtaa wa Narung'ombe.
Spear za pikipiki Nenda mtaa wa swahili na k/koo hapo kuna maduka mengi.
Mtaa wa congo na narung'ombe underground ya Tanzanite kule chini kuna mtaa mzima unaingia unatembea chini kwa chini kuna t-shirts za bei nafuu.
Vifaa vya plastiki Nenda Duka la cello kariakoo .
Rasta bei ya jumla ziko upande wa pili wa kituo cha mwendokasi kinachoangaliana na msimbazi police, mtaa yanapopaki magari ya makumbusho gerezani yanayopitia Sinza.
vitambaa vya vijora ni Msimbazi Kwa nyuma.
Chimbo la dawa muhimu za binadamu kwa kariakooo linapatikana mtaa wa Kipata na nyamwezi street.
Bidhaa za simu, cover, charger, housing Kwa bei Chee ziko Upande wa kushoto ukiwa unashuka chini kuelelekea fire kabla hujafika kituo Cha Mwendokasi Cha Msimbazi B unazama Kwa ndani
Vifaa vya ujenzi ni Mtaa wa livingstone kuna Duka Linaitwa Bahdela bei poa vyote utapata.
Vifaa vya stationaries ni mtaa wa Kipata ( maduka ya wasomali ndo bei nzuri )
Shati ni mtaa wa Agrey/congo au mchikichi/Congo
Mashine mbalimbali kama za miwa, kusaga nk nenda Mtaa wa SIDO
Narudia Vitenge ni pale mnazi mmoja ile njia ya kuingia posta. Wale wahindi watakuuzia vitenge vizuri bei nafuu. (ukipata connection ya Uganda utatisha)
Maduka ya wachina wanaouza viatu vya kike ni mtaa wa congo.
Mkuu vipi kuhusu Hair Wigs na Hair Extensions?Unatafuta bidhaa bei nafuu na jumla Kariakoo? Hapa nakupa machimbo bure ufanye biashara,
Save hiii post kwanza itakusaidia baadae.
Kwa nguo za ndani (chupi) ukimaliza kituo cha mwendokasi kinachoangaliana na msimbazi police, kwenye upande wa vitu vya make up kuna mtaa mmoja unaingia yapo maduka mengi dozen za cotton Ni Bei nafuu.
Make up _ kituo cha mwendokasi ukiachana na huu upande ilipo msimbazi polisi ule mwingine unaingia ndanindani.
Maduka ya jumla kwa vitambaa vya Masofa, yanapitakana mtaa wa kipata, anza na kipata na msimbazi mpaka kipata na swahili yapo ya kutosha.
Vifaa vya umeme nenda Mtaa wa Narung'ombe.
Spear za pikipiki Nenda mtaa wa swahili na k/koo hapo kuna maduka mengi.
Mtaa wa congo na narung'ombe underground ya Tanzanite kule chini kuna mtaa mzima unaingia unatembea chini kwa chini kuna t-shirts za bei nafuu.
Vifaa vya plastiki Nenda Duka la cello kariakoo .
Rasta bei ya jumla ziko upande wa pili wa kituo cha mwendokasi kinachoangaliana na msimbazi police, mtaa yanapopaki magari ya makumbusho gerezani yanayopitia Sinza.
vitambaa vya vijora ni Msimbazi Kwa nyuma.
Chimbo la dawa muhimu za binadamu kwa kariakooo linapatikana mtaa wa Kipata na nyamwezi street.
Bidhaa za simu, cover, charger, housing Kwa bei Chee ziko Upande wa kushoto ukiwa unashuka chini kuelelekea fire kabla hujafika kituo Cha Mwendokasi Cha Msimbazi B unazama Kwa ndani
Vifaa vya ujenzi ni Mtaa wa livingstone kuna Duka Linaitwa Bahdela bei poa vyote utapata.
Vifaa vya stationaries ni mtaa wa Kipata ( maduka ya wasomali ndo bei nzuri )
Shati ni mtaa wa Agrey/congo au mchikichi/Congo
Mashine mbalimbali kama za miwa, kusaga nk nenda Mtaa wa SIDO
Narudia Vitenge ni pale mnazi mmoja ile njia ya kuingia posta. Wale wahindi watakuuzia vitenge vizuri bei nafuu. (ukipata connection ya Uganda utatisha)
Maduka ya wachina wanaouza viatu vya kike ni mtaa wa congo.
Habari ndugu wanaJf,
Mimi ni kijana wa kitanzania mchapakazi na mwaminifu sana niliejipatia uzoefu wa kununulia watu bidhaa, kuwafungia bidhaa na kuwasafirishia bidhaa kutoka dar es salaam hasa kariakoo kwenda mikoa mbali mbali.
Uzoefu huu niliupata wakati nasoma chuo x ndani ya jiji la dsm pale ndugu na marafiki waliponiomba kuwafanyia manunuzi ya bidhaa na kuwasafirishia hadi mkoani.
Baada ya kuhitimu chuo nimeendelea kuifanya kazi hii na sasa nilitamani kupata watu wapya nitakaojenga nao uaminifu ili na wao wapate huduma bora ya ununuzi wa bidhaa na kufikishiwa hadi mahali walipo.
Ipo hivi,kwa wakazi wa dar es salaam ninakununulia bidhaa yoyote ile ndani ya kariakoo na kukuletea mahali popote ndani ya dar es salaam kwa wakati. Kwa wakazi wa mikoani nitakununulia bidhaa,nitakufungia na kukusafirishia kwa njia uipendayo wewe (basi au lori). Nipo vizuri sana hapa kwasababu najua malori ya mikoa yote yanapatikana wapi na mabasi yenye huduma nzuri kwa usafirishaji mizigo.
Pia kwa wale watakaopenda niwaelekeze machimbo ya bidhaa mbalimbali ndani ya kariakoo usisite kuwasiliana nami na kama utapenda zaidi unaweza kuongozana na mimi nikakufikisha hadi chimbo husika.
Naombeni order hizo ndugu watanzania wenzangu ili wewe uokoe muda na nauli na mimi nipate rafiki/mteja na jamaà wa kudumu.
NAIPENDA SANA HII KAZI NA NAIFANYA KWA UAMINIFU MKUBWA SANA.
MAWASILIANO: 0745645035(call/sms/whatsap).
Karibuni sana uniagize Kariakooo.
Natafuta chimbo la jumla la nguo za watoto "Baby Light". Naomba muongozo ahsanteni sana.
Duka la kipara k/koo liko tandamtiNatafuta chimbo la bidhaa za kutengeneza ICE CREAM kama vile radha, rangi, sukari, maziwa ya unga, CMC, cornflower..... Nk
Mkuu vipi kuhusu Hair Wigs na Hair Extensions?
Karibu, unataka boots za aina gani na quantity gani?Msaada chimbo au viwanda ambavyo naweza kupata mabooti ya shambani kwa bei ya jumla
AsanteUnatafuta bidhaa bei nafuu na jumla Kariakoo? Hapa nakupa machimbo bure ufanye biashara,
Save hiii post kwanza itakusaidia baadae.
Kwa nguo za ndani (chupi) ukimaliza kituo cha mwendokasi kinachoangaliana na msimbazi police, kwenye upande wa vitu vya make up kuna mtaa mmoja unaingia yapo maduka mengi dozen za cotton Ni Bei nafuu.
Make up _ kituo cha mwendokasi ukiachana na huu upande ilipo msimbazi polisi ule mwingine unaingia ndanindani.
Maduka ya jumla kwa vitambaa vya Masofa, yanapitakana mtaa wa kipata, anza na kipata na msimbazi mpaka kipata na swahili yapo ya kutosha.
Vifaa vya umeme nenda Mtaa wa Narung'ombe.
Spear za pikipiki Nenda mtaa wa swahili na k/koo hapo kuna maduka mengi.
Mtaa wa congo na narung'ombe underground ya Tanzanite kule chini kuna mtaa mzima unaingia unatembea chini kwa chini kuna t-shirts za bei nafuu.
Vifaa vya plastiki Nenda Duka la cello kariakoo .
Rasta bei ya jumla ziko upande wa pili wa kituo cha mwendokasi kinachoangaliana na msimbazi police, mtaa yanapopaki magari ya makumbusho gerezani yanayopitia Sinza.
vitambaa vya vijora ni Msimbazi Kwa nyuma.
Chimbo la dawa muhimu za binadamu kwa kariakooo linapatikana mtaa wa Kipata na nyamwezi street.
Bidhaa za simu, cover, charger, housing Kwa bei Chee ziko Upande wa kushoto ukiwa unashuka chini kuelelekea fire kabla hujafika kituo Cha Mwendokasi Cha Msimbazi B unazama Kwa ndani
Vifaa vya ujenzi ni Mtaa wa livingstone kuna Duka Linaitwa Bahdela bei poa vyote utapata.
Vifaa vya stationaries ni mtaa wa Kipata ( maduka ya wasomali ndo bei nzuri )
Shati ni mtaa wa Agrey/congo au mchikichi/Congo
Mashine mbalimbali kama za miwa, kusaga nk nenda Mtaa wa SIDO
Narudia Vitenge ni pale mnazi mmoja ile njia ya kuingia posta. Wale wahindi watakuuzia vitenge vizuri bei nafuu. (ukipata connection ya Uganda utatisha)
Maduka ya wachina wanaouza viatu vya kike ni mtaa wa congo.
Nenda Yale maduka ya vifaa vya umeme pale near narungombe uliza duka la kitenge hapo utapata products za tronics Bei nafuu kabisa za jumla..Natafuta connection ya vifaa vya kampuni ya tronics kwa bei ya jumla kabisa.
Ntaomba mhusika awe n page Instagram au Facebook.
0788340483
Hapo kwa Kitenge kuna jamaa anaitwa Kanu, aisee wale jamaa wapo serious na biashara mno,Nenda Yale maduka ya vifaa vya umeme pale near narungombe uliza duka la kitenge hapo utapata products za tronics Bei nafuu kabisa za jumla..
Achana na mambo ya Facebook na Instagram Kwa mizigo ya jumla... seriously seller hawanaga mpango wa kuwa huko...
Weka namba hapaHizi kuna wanaigeria wanashusha
Nichek inbox nikupe namba
Anauza vitu fake huyo David,, David sport wear Anapost viatu alivyo navyo dukani alipost sendo fulan kali za Adidas nikapiga sim niletewe ila kilicho letwa ni fake yaani ni tofauti na kwenye picha... kuanzia hapo nikajua tu huyu mswahiliDavidsport wear mkali wao.......