Macho yangu yananidanganya?

Watu hua wanaenda misibani na hurusini haijalishi wanawapenda wahusika wengine ni mtoko tu
 
Sababu ni kilinganishi tu, sababu inaweza kuwa ya msingi au la! Halisia au ushabiki mandazi tu. Kwenye misiba watu huenda na nia nyingi, wengine ni sababu za uhakiki tu.
Kama watu wasingejitokeza kwa wingi hivi mngefurahia sana.

Mngesema ‘si unaona...jamaa lilikuwa halipendwi. Hakuna hata mtu aliyesikitika’.

Binadamu hakosi la kusema.
 

100%

Magufuli alikuwa anaongea lugha tunayoielewa sisi maskini lakini haileweki kwa watu wanaopenda facts and figures.

Sisi hatujali sijui masuala ya kodi maana hayatuhusu. tuna kitambulisho cha 20k kwa mwaka, mengine mtajua wenyewe😊😊

sisi tunatandaza biashara zetu popote hadi kwenye kingo za barabara na hakuna wa kutugusa. mtajua wenyewe mnaolalamika na magari yenu mara sijui tunawachafulia au kuingilia taratibu za mji, hayatuhusu 😊😊

sisi tujichoshe kusoma ripoti sijui za world bank, IFM au wengine kutafuta nini. sisi tukishaambiwa tunafanya miradi yetu kwa pesa za ndani na hatuwategemei mabeberu. imeisha hiyo, kazi kwenu mnaopoteza muda kusoma mavitu yasiyowaingizia pesa

Sisi mambo ya kufukuzwa kazi, kudhalilishwa na boss, kuwekwa ndani kisa umeropoka mbona kwetu fureshii. kila siku wana wanaingia jela af hatujali wala nini
 
Umati usikusumbue, bali ni umati wa watu gani. Hoja ya vyama vingi umati ulikataa kwa 80%, lakini 20% wakashinda. Kwa watu wa akili za kawaida na za chini wana upeo mdogo ktk kufikiri na kuamua. Na usishangae pamoja na tahadhali ya ugonjwa wa mfumo wa kupumua, wanajazana, kurundikana na kukanyagana. Wengi Wana enda na watoto, mpaka wa migongoni.
 
Nyani Ngabu Magufuli ni Sankara Mpya wa Afrika.

Akina fatuma, maria sarungi, lissu watakufa watu watalinganisha heshima watakayopewa kwenye jamii na ya Hayati Magufuli.

Endapo lissu, fatuma au maria watafia au kuzikwa Tanzania maiti zao zitachezewa na kudharauriwa milele.
 
Ww dish lako limeyumba sana I see!
Hajawahi tokea rais aliyependwa kama Magu Tz isipokuwa JK Nyerere!
 
Jamaa alikuwa anapendwa tuwe wakweli Tu kama watu wanapita mpka kwenye njia zisizo halali pale taifa ili kumuaga Tu Mheshimiwa basi wanaosema alikuwa anachukiwa Wana lao Jambo japo ninkweli huwezi pendwa na kila mtu
Inatofuati gani na nyomi ya CCM kwenye kampeni? Haya mambo huwa yanaratibiwa.
 
Mtu akifa amekufa hata akitupwa barabarani zingine ni mbwembwe tu
 
Nadhani ulikuwa umelenga kumtukana Lissu zaidi ya kuzungumzia mema ya Magufuli.Sidhani kama kuna uwiano sawa uliotakiwa kuonyeshwa kwa kila mtu kwa namna gani anavyomchukulia Magufuli.Hili halikuwa shindano bali ni msiba.Hukumuona Mnyika kwenye mazishi?Kaenda kufanya nini pale?Mbona Tundu Lissu kaongea machache sana baada ya kifo cha Raisi.Unajua kwa nini?
 
Ni kweli, tuchukulie tu kuwa anapendwa sana, binafsi sio sababu ya hii mivutano.
 
Hao ndio wapiga kura halisi

Kelele za mitandaoni ni nyingi na mtu mmoja yupo huru kufyatua Id kumi kumi kupaza sauti.
Nakuonaga mwehu kumbe una akili hivi!!!??

Samahani
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…