Sisi alitwambia kilichokuwemo humo!Uyo mungu wenu magufuli ndio ilitakiwa aweke mkataba azalani tungejua Kama nikweli ulikuwa haufai,aliishia kupiga kelele tu!!
Vipi mkataba wa ujenzi wa uwanja wa ndege chato ulionyeshwa?!
Lowasa alisema mradi haufai.
Magufuli alisema ni mjinga pekee atakaye saini mkataba na akauvunja.
Kwanini rais Samia hauweki mkataba wazi tuusome wote.
Au Mungu katukataa Sisi watz hapa Duniani? Maana mbovu kila tumaini lililopo linayeyuka?
Kinachofanyika sasa ktk nchi yetu ni unafiki wa hali ya juu sana kukebehi kazi za mzee Magu kumuona kama alikuwa hana akili kuiuza nchi yetu kwa wachina watufilisi kabisa watu wachache wawe mabilionea miungu watu wale pesa ya nchi vizazi na vizazi Mungu tu atusaidieWazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Kwani magufuli si ndio alituaminisha wachina na ndg zetu?,acha waje wajengeWazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
ungekutumia nguvu hiyo kupigia kelele miradi yote na kuomba mikataba yote hadharani sio huo tu wa Bagamoyo basi ungekuwa smart citizen unayependa nchi yako...
Mimi ndio huwa nakuban?Wewe fala sana ukiitwa mpumbavu unakimbilia kuban hufai kabisa
Kimeimana chichiemu kwa chichiemuKinachofanyika sasa ktk nchi yetu ni unafiki wa hali ya juu sana kukebehi kazi za mzee Magu kumuona kama alikuwa hana akili kuiuza nchi yetu kwa wachina watufilisi kabisa watu wachache wawe mabilionea miungu watu wale pesa ya nchi vizazi na vizazi Mungu tu atusaidie
Magufuli aliuawa 100% ili
kupisha haya yanayoendelea kwa sasa nchini!
Hivi viongozi wengine si wajitokeze kukataa huu upunguani waone jinsi wananchi watakavyowaunga mkono?
Majaliwa, CDF, Kabudi, na wengine mnafanya nini???
Kataeni huu ukichaa
na hata mkitishwa ndani ya chama ama katika nafasi zenu!
uendeni hata chama kingine muone mtakavyopokelewa kama mashujaa wa nchi!
Rais ameamua kumfurahisha Kikwete ni sawa!
Shida ni kwamba wengi nao ni wachumia tumbo!
Kiukweli wanaoumia ni wengi kwa huu ujinga unaoendelea kwa sasa Tanzania!
ni swal la muda tu!
nitajie mkataba mmoja ambao mwendazake aliuweka wazi ukasomwa na watanzania wote?ππππLowasa alisema mradi haufai.
Magufuli alisema ni mjinga pekee atakaye saini mkataba na akauvunja.
Kwanini rais Samia hauweki mkataba wazi tuusome wote.
Msiwe washamba nyie,ulaya tu bandari zao wameingia ubiaKwa hili Mama Samia naomba tafakari upya, tena Mungu akuongoze sana
Ukweli serikali iwe makini sana na mradi wa Bagamoyo ndiyo maana wengine tunashauri nguvu kubwa itumike kwenye majadiliano mf wa suala la madini i.e Barick ambapo marehemu alifanikiwa sana na kuiacha nchi salama.Tutumie mbinu zile zile za akina Kabudi tutangulize maslahi ya nchi hatuna pa kwenda.Sikuwahi kudhani Tanzania tuna uhaba wa Port mpk tuwauzie wachina Bagamoyo tumekarabati Bandari ya Dsm na Bandari zingine kwa gharama kubwa kabisa lakini leo tunakwenda kuziua bandari zote
Namuona Yuda ila sijui alimsaliti mwenzie kwa vipande 30 vya fedha au kwa ahadi ya kupewa kitu!!
Alifanikiwa kidogo sio Sana bwana usitulishe matangoporiUk
Weli serikali iwe makini sana na mradi wa Bagamoyo ndiyo maana wemgine tunashauri nguvu kubwa itumike kwenye majadiliano mf wa suala la madini i.e Barick ambapo marehemu alifanikiwa sana na kuiacha nchi salama.tutumie mbinu zile zile za akina Kabudi tutangulize maslahi ya nchi hatuna pa kwenda.
Acha kudanganha watuWazee tumekwisha rasmi. End of the game.
Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.
China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.
Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.
Aongozwe na Mwenyezi Mungu au Msoga? J. Kikwete hatutamsahau na ni lazima Watanzania walifahamu hilo adui yao ni huyo.Kwa hili Mama Samia naomba tafakari upya, tena Mungu akuongoze sana