Machozi yamenitoka kusikia Bandari ya Bagamoyo itajengwa, tena na Wachina

Machozi yamenitoka kusikia Bandari ya Bagamoyo itajengwa, tena na Wachina

Kama Usipowekwa wazi na Bandari ikajengwa utafanyaje?
Je ukiambiwa mbina mikataba mingine haikuwekwa wazi kwanini huu uwekwe wazi Utafanyaje?
Ukiambiwa Sheria za Kimataifa haziruhusu mikataba ya Kimataifa Kuwa wazi utafanyaje?
Ukiambiwa Waziri ambae ni mbunge ndio muwakilishi wako inatosha utafanyaje?
Na Ikijengwa bila Matakwa yako utazuia?

Usipowekwa wazi na bandari ikajengwa naweza kuangalia tu kama ninavyoweza kuangalia nzi anavyokula mavi kwenye documentary, inawezekana kula mavi kwangu ni uchafu lakini uchafu unamfaa nzi kwa njia yake anayoijua yeye mwenyewe ambayo mimi siijui. Siwezi kumkataza nzi kula mavi.

Ila mimi nilishajiondoa mazingira hayo siku nyingi, nasafisha choo vizuri, hapa nachangia hoja tu.

Ukisema mikataba mingine ilikuwa wazi, hiyo si justification.

Two wrongs do not make a right.

Wanyarwanda waliuana kwa genocide, hilo lina maana na sisi tuuane ni sawa tu?

Sisi tulitawaliwa na wageni, tutawaliwe na wageni tena kwa kuwa tulishatawaliwa?

"Sheria za kimataifa" maana yake ni nini? Sheria gani? Mkataba gani? Zimetiwa sahihi na Tanzania lini?

Be specific. Ukisema sheria za kimataifa sema za mkataba wa Geneva, au wa Vienna, uliotiwa saini na Tanzania mwaka huu. Halafu tujadili specifics. Na hata kwenye mikataba, mikataba inapitwa na wakati na inabadilishwa.

Nimeweka link ya open contract initiative ya World Bank hapo juu.

Umeisoma?

World Bank ni chombo cha kimataifa, ina endorse open contracts. Sasa unataka kusema World Bank inapingana na Sheria za Kimataifa?

Waziri na Mbunge anapewa ajenda na wananchi, Waziri na Mbunge hampangii ajenda mwananchi, na hivyo inabidi Waziri na Mbunge apewe input na mwananchi.

Unaelewa hayo?

Ikijengwa bila matakwa yangu naanzaje kuzuia nzi kula mavi kama kaamua mwenyewe?
 
ni vituko,yaani tujenge SGR kwa pesa zetu,tujenge bwawa la nyerere kwa pesa zetu,eti bandari ya bgamoyo ndo hatuwezi, hopeless kabisa.tuna bomu linalotupasua na kutumaliza ,sio kiongozi.hatuna mtu hapa tuna bomu.
 
Haa hayo ndo mnadanganywa eti meli za mita 400 nani amekuambia ndo tu zitakazokuja hapo
Mwendazake!!mzee wa propaganda za miaka ya 1780!!ndizo alikuwa anazitumia miaka hii!!lazima u fail tu!!baada ya ku wa washbrain watu wakamuamini sasa mnajiona wajinga!!eti kwenye mkataba wa bagamoyo kumiriki ardhi ni miaka 99?!!eti ni wizi sasa kwa sheria za umirikaji ardhi Tz, ni kitu kigeni hicho?!!!
 
Haa hayo ndo mnadanganywa eti meli za mita 400 nani amekuambia ndo tu zitakazokuja hapo
Mwendazake!!mzee wa propaganda za miaka ya 1780!!ndizo alikuwa anazitumia miaka hii!!lazima u fail tu!!baada ya ku wa washbrain watu wakamuamini sasa mnajiona wajinga!!eti kwenye mkataba wa bagamoyo kumiriki ardhi ni miaka 99?!!eti ni wizi sasa kwa sheria za umirikaji ardhi Tz, ni kitu kigeni hicho?!!!
 
Wazee tumekwisha rasmi. End of the game.

Bado ardhi tu, tubaki kuwa watumwa ndani ya nchi yetu wenyewe.

China inalalamikiwa kote Duniani Kwa kufanya miradi inayowaumiza wazawa, sasa zamu yetu imefika rasmi.

Walau kwa hili, Magufuli tutamkumbuka mno. Hii bandari ina maslahi makubwa sana kwa Wachina kuliko watz.

Hapa ni pdf guy akijaribu kutazama umuhimu wa Bahari kwa sisi watz. Nimemuelewa sana huyu jamaa.

Hapa pia kuna video ya Magufuli akijaribu kuweka dondoo ya nini kilichomo kwenye Mkataba wa Bandari ya Wachina (Bagamoyo).

Kuna uzi pia Lowassa akisema huu mkataba atauvunjilia mbali huko.

Huenda watanzania Mungu amewakataa hapa Duniani na hata Mbinguni. Endeleeni kumuuliza Mungu Kwa upole na unyenyekevu mkubwa sana.

Kwenye Madini tumepotezwa. Hayati JK Nyerere aliwahi kusema Madini tusichimbe hadi tuwe na uwezo wa kuhakikisha yanatunufaisha, hatukusikia na sasa kila mtu anajua kinachoendelea kwenye madini.

Gesi imepigiwa kelele nyingi haijawahi kutokea lakini kila mtu anajua kinachoendelea na gesi kwa wananchi wa kawaida. Ndio ardhi yetu inaondoka hivyo wazee.

Hizi ni nyakati za kujikabidhi mbele za Mungu kila mmoja kwa imani yake. Tumekwisha, muda si mrefu hili litabainika. Hakuna ajira, watu hawana hela, maisha magumu hakuna matumaini tena.

Mungu uturehemu.
Tulia we shwain! Bwagomoyo Port itajengwa taka usitake! Mbona ulifyata mkia wakati Chato Airport inajengwa?
 
Samia kasema anafufua mazungumzo, pengine kuna vipengele vitaondolewa na labda mkataba utapita bungeni n.k
 
Your the true definition of a foolish grown man. Your literally stupid.
Re-read your statement, you may now see the mistakes you have made in that twelve word sentence.

If you can make such horrific mistakes in such a short statement, how would it be like if you were to write a paragraph?
 
Wakishamaliza tu huo mradi na ukianza kuchapa kazi tutawanyang'anya mchana kweupe,kwa kutumia mikataba hiyo hiyo,itapinduliwa meza
 
Kimsingi Mama anaenda kufufua mazungumzo kuhusu ujenzi wa bandari ya Bagamoyo, hivyo kwenye mapungufu patajadiliwa na kukubaliana upya. Hii Bandari haiepukiki ina faida kubwa vizazi na vizazi. Na kuna mdau humu JF alishatupa hints nzito juu ya faida ya bandari hii na upotoshaji wa serikali ya awamu ya 5 kuhusu hii bandari.
Mama Samia yuko makini tumwamini.

Hakuna serikali ambayo imewahi kuipa miundombinu priority ya juu kuliko ilivyofanya serikali ya awamu ya 5. Kumbuka, miradi ilijengwa kwa udi na uvumba. Ukikuta serikali iliamua kuupiga pause utekelezaji wa mradi fulani, fikiria mara mbili mbili juu ya huo mradi!
 
1. Kwani nini hasa kinaifanya bandari ya dar ishindwe kupokea meli kubwa kubwa?

2.Nini hasa kitaifanya bandari ya bagamoyo iweze kupokea hizo meli kubwa tofauti na bandari ya dar?

3. Nini hasa kiliiua bandari ya tanga? Na kuifanya isahaulike kwa muda kidogo

4.Nani hasa anaeneza propaganda za kwamba bandari zingine haziwezi kupokea meli kubwa tofauti na ya bagamoyo? Je ni mwekezaji mwenyewe au serikali ya Tz

5.Bandari zingine zilizopo pamoja na upanuzi unaofanyika nikwamba zimeelemewa na mizigo kiasi cha kutaka nyongeza au nafasi ya kupanua zilizopo imeisha mpaka ihitajike kujengwa nyingine.

6. Wazo la kujenga bandari ya bagamoyo lilianzia wapi? Kwa serikali ya Tz au kwa muwekezaj?na kama ni mwekezaji aliona nini mpaka anaipigia chapuo ijengwe

Mwisho.
Kama sababu zilizopelekea bandari ya tanga kufa kulitokana na kuendelezwa bandari ya dar hatimae kukua kwa jiji LA kibiashara la dar basi hata bandari zilizopo zitakufa kifo hicho hicho baada ya kujengwa ya bagamoyo kwanza ukizingatia yenyewe itakua full mordenized.Pia serikali zingine duniani zinazojali watu wake na zilizoendelea zinajaribu kila njia kuwatafutia ajira watu wake na makampuni na kuongeza kiwango cha mapato yake aidha kupitia any exploitation kwa nchi Changa na hii hufanyika kwa umakini mkubwa sana na usiri mkubwa huku mkiaminishwa kujengewa miradi mikubwa yenye Tija na inayogharimu pesa nyingi kwenu kumbe ni white elephant ambapo mnufaika mkubwa ni yeye.Apo mpaka akija kumaliza mkataba tayari mitambo ishachoka na ufanisi ushapungua kwa asilimia 70% kinachobaki ni reparing ambapo bado utamuhitaji yeye.
 
Re-read your statement, you may now see the mistakes you have made in that twelve word sentence.

If you can make such horrific mistakes in such a short statement, how would it be like if you were to write a paragraph?
You are still justifying your stupidity and foolishness.
 
1. Kwani nini hasa kinaifanya bandari ya dar ishindwe kupokea meli kubwa kubwa?

2.Nini hasa kitaifanya bandari ya bagamoyo iweze kupokea hizo meli kubwa tofauti na bandari ya dar?

3. Nini hasa kiliiua bandari ya tanga? Na kuifanya isahaulike kwa muda kidogo

4.Nani hasa anaeneza propaganda za kwamba bandari zingine haziwezi kupokea meli kubwa tofauti na ya bagamoyo? Je ni mwekezaji mwenyewe au serikali ya Tz

5.Bandari zingine zilizopo pamoja na upanuzi unaofanyika nikwamba zimeelemewa na mizigo kiasi cha kutaka nyongeza au nafasi ya kupanua zilizopo imeisha mpaka ihitajike kujengwa nyingine.

6. Wazo la kujenga bandari ya bagamoyo lilianzia wapi? Kwa serikali ya Tz au kwa muwekezaj?na kama ni mwekezaji aliona nini mpaka anaipigia chapuo ijengwe

Mwisho.
Kama sababu zilizopelekea bandari ya tanga kufa kulitokana na kuendelezwa bandari ya dar hatimae kukua kwa jiji LA kibiashara la dar basi hata bandari zilizopo zitakufa kifo hicho hicho baada ya kujengwa ya bagamoyo kwanza ukizingatia yenyewe itakua full mordenized.Pia serikali zingine duniani zinazojali watu wake na zilizoendelea zinajaribu kila njia kuwatafutia ajira watu wake na makampuni na kuongeza kiwango cha mapato yake aidha kupitia any exploitation kwa nchi Changa na hii hufanyika kwa umakini mkubwa sana na usiri mkubwa huku mkiaminishwa kujengewa miradi mikubwa yenye Tija na inayogharimu pesa nyingi kwenu kumbe ni white elephant ambapo mnufaika mkubwa ni yeye.Apo mpaka akija kumaliza mkataba tayari mitambo ishachoka na ufanisi ushapungua kwa asilimia 70% kinachobaki ni reparing ambapo bado utamuhitaji yeye.
Duuuu bonge la analysis
 
Wewe ulikuwa segerea nn wkt wanasema vifungu vilivyomo kwenye mkataba? Kama huyo mama yenu ni mkweli na mwenye kutaka mema kwa watu wake apeleke Bungeni huo Mkataba ukachambuliwe
Weka hapa hivyo vifungu vilivyomo kwenye mkataba. Mnajazwa mauongo nanyi mnajazika tuu!! Mna tofauti gani na misukule!!??
 
Back
Top Bottom