Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

nigga pleasee, Magufuli ampige mtu risasi live tena ikulu halafu ndio ije kujulikana leo? maadui wote hao wasiseme tu? come on man, you are better than that …
Mzee kwa akili yako pale Ikulu ni kama soko la Magomeni, kwamba wachuuzi wakipigana habari zinafika Manzese?
 
Tuhuma hizi alizopewa Magufuli ni kubwa sana hata kama hayupo duniani. Kutokana na nafasi aliyokuwa nayo marehemu kuwa kubwa ni vema Erik akatoe ushahidi mahakamani vinginevyo hizo ni porojo za kuuza kitabu chake. Hii ya kuvaa pajama na kutaka kubaka najua ni porojo mimi najua marehemu alikuwa anapenda vitu vizuri pamoja na yote huyo aliyetaka kubakwa ana mume
 
Mambo ni mazito
 
Umeandika hisia zako halafu unataka tukuamini? Ukiona jambo linapingwa na wengi jaribu kufikiri kwa kina kabla hujachukua uamuzi wa kulitetea, msema pweke siku zote huwa ni mshindi, historia ya kabendera dhidi ya marehemu MAGUFULI inajulikana
 
Pamoja na hiyo ya kumuua Ben, eti pia alimbaka au alitaka kumbaka Samia, makamu wake.

Like, who believes this shit?

Kama alimbaka au alitaka kumbaka Samia, maana yake hiyo haikuwa mara yake ya kwanza.

Wengine aliowabaka ni akina nani?

Cap.
 
Nyie wazee Ikulu mnaichukuliaje asee. Ikulu sio Kitambaa cheupe pale kwamba litokee jambo halafu ulikute kwenye kurasa za Millard Ayo.
 
Huu uzi una mambo mengi sana.
 
Huyu Emmanuel soka na wenziye wako wapi mpaka sasa?? Mbona mda unazidi kwenda tuu?? Ina maana hadi leo bado wako hostage tuu??
 
Wewe ndiye umeijua leo,hizi habari zilijulikana tangu dhalim akiwa hai ila tu hazikuwekwa public kama alivyofanya Kabendera.
Hawa wajinga sijui walikuwa wapi!? Hii habari iko muda mrefu tu sema Kabendera ndiyo amekuwa shujaa kuiweka hadharani formally
 
The fake PhD(ya maganda ya korosho) saga ilikuwa ni sababu tosha kabisa kwa mtu type ya Magu kumuua Ben.
Kwani shambulio la kutaka kumuua Lissu alikuwa na mpango wa kupindua serikali? Magu was lunatic.
 
Kwa hiyo Wapinzani wanaweza kutoa order walinzi waondolewe kwenye makazi ya viongozi mbalimbali wa serikali ikiwemo mawaziri masaa kadhaa kabla Lissu kushambuliwa?

Wapinzani wanaweza kung'oa CCTV Cameras?

Wapinzani wanaweza wakazuia Uchunguzi huru wa tukio kufanyika?

Atayeniambia hapa ni kichwa ndio kimetumika kufikiri na sio yale matuta mawili ya kukalia tunagombana.
 
Porojo nyingi zilizojaa pumba bila ushahidi wowote wa maana. Leta huo ushahidi wa kabendera tuupime. Kumtetea kuwa anaujua ukweli bila wewe kuuweka hapa ni kutaka kutufanya kama sisi wote ni hamnazo kama wewe.
 
Yule alikuwa zaidi ya shetani
 
Anayeamini huo ujinga wa kabendera ni kichaa na anatakiwa kupelekwa hospitali ya vichaa milembe Dodoma.
Huna hoja zaidi ya kufanyakile kile unachoshauri wenzako wasifanye. Mwache Kabendera ajitetee mwenywe kw akuleta ushahidi. Vinginevyo unatupotezea muda au kutafuta kiki tu. kwa kuanzisha uzi huu
Nyie ndiyo vichaa msioweza kutumia vichwa na akili zenu kwa usahihi kuchakata kila taarifa inayokuja mbele yenu, badala yake kama mbwa waoga mnajiwahi na kuanzs kubweka hovyo kwa kujenga utetezi wa hoja zisizo na kichwa ili kulinda tabia za kikatili za viongozi wajinga na wapumbavu, wauaji kama alivyokuwa Mwendazake Magufuli...

Labda tusiwalaumu sana maana, possibly huo ndiyo mwisho wa mstari wa akili na tafakuri zenu zilipoishia..

Lakini fahamu kuwa, hiyo roho yake ya kutesa na kuua raia wake, kaiacha na kuwarithisha warithi wake kina Samia Suluhu Hassan na ndiyo inayosumbua sasa kwa mtindo uleule wa teka, tesa na ikilazimu ua...

Historia duniani kote ya viongozi (Marais au Wafalme wa nchi/mataifa) waliokuwa na chuki na wapinzani/wapingaji/wakosoaji wa tawala/serikali zao walizoziongoza kumbukumbu ya historia ya tawala zao/uongozi wao wa kikatili ukiambatana na mauaji ya kutisha, imerekodiwa vizuri sana...

Kwa kifupi sana mimi naweza kusema kuwa, wapo viongozi duniani kote walio na sura za kibinadamu lakini ndani ni shetani mwenyewe mnywa damu za watu...

Hawa walitumia aidha mikono yao binafsi kuua au walikuwa na vikosi binafsi vya utesaji na mauaji vya siri walivyoviunda nje ya utaratibu wa kikatiba na sheria. Na wakati mwingine njia zote mbili hizi zilitumika....

Mfano ni dikteta Iddi Amini Dada (aliyekuwa Rais Uganda miaka 1970s), Mobutu Seseseko Wazembanga (iliyokuwa Zaire sasa DR Congo), Adolf Hitler (West Germany), Benito Mussolini (Italy) na wengine wengi waliua wapinzani kwa mikono yao...

Mpaka hapo hivi unaonaje ajabu kama kuna watu wanaanza kushuhudia leo kuwa Hayati John P. Magufuli aliua wakosoaji wa utawala wake kwa mikono yake mwenyewe...?

All the way back, ni kuwa, ushahidi wa kimazingira unaoelekea kuthibitisha madai haya ya ndugu Kabendera Erick kwa zaidi ya 85% ni mkubwa mno....

Kuna ndugu humu anaitwa Synthesizer ameeleza na kufafanua vizuri mno. Kama hizi hoja haziwatafakirishi nyie wawili na baadhi ya wenzenu wengi humu, basi, haina shaka yoyote kuwa nyie wawili na wenzenu wengi humu mlikuwa washiriki wa unyama na mauaji haya au la basi hamuwezi kutumia akili zenu vyema kuchakata na kuhoji kila ishu inayowazunguka katika maisha ya intelligence yenu...

Mfano rahisi tu unaoweza kumfanya mtu asifikirie hata mara mbili kuyatilia maanani madai haya ya Erick Kabendera ni tabia ya Rais Magufuli iliyokuwa inajidhihirishwa na kauli na matendo yake wakati wa utawala wake....

Ni Rais aliyekuwa hajali taratibu, sheria, kanuni na katiba ya nchi. Ni Rais aliyekuwa ana - abuse (kutumia vibaya) madaraka na mamlaka yake ya u - Rais kiasi cha kuwa dikteta aliyejificha kanisani kwa kuvaa ngozi ya kondoo...

Ujasiri wake huu wa kuvunja katiba na kutoheshimu utu wa watu wengine ni tabia za kiongozi katili na muuaji siku zote...

Ndiyo maana wenzake serikalini waliamua kumuua kabla hajawaua wao🤔🤔🤔.. NDIYO....!! Unashangaa nini sasa..???

Na ndiyo maana mimi siku zote nimekuwa nasema hivi👇🏻👇🏻

Huyu jamaa (mwendazake Magufuli, Rais wa nchi mwenye resources zote za kupata matibabu popote duniani kwa daktari bingwa wa ugonjwa wake) alikufaga kifo cha kijinga , kipumbavu na kizembe sana kwa sababu alikuwa anachukiwa na watu ambao obvious alikuwa anawahesabia siku zao naye awapige risasi kama alivyoua wengine...!!

Ilikuwa ngumu mno kwa watu wenye akili na ufahamu uliokamilika kuelewa na kuamini kuwa Rais wa nchi angeweza kufia kwenye Zahanati (kituo cha afya) cha Mzena pale mitaa ya Mikocheni?Upanga - DSM...!!!

Tumie vyema akili zenu kufikiri, acheni kufyatuka hovyo mbele ya umma wa watu wenye akili kuwazidi. Mtaaibika bure...!
 
Yaani unajenga picha magufuli kampiga risasi Saanane mbele ya kamera au sio!? Mbona unakuwa mjinga kiasi hicho!? Tatizo ni umri au shule!? Yaani hata critical thinking huna!? Hufai hata kuwemo humu JF! Wewe unafahamu mangapi yanatokea ndani ya Ikulu!? Unategemea kila kinachofanyika wewe utaambiwa au kitaanikwa hadharani!? Ficha upumbavu wako.
 
Nakazia
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…