Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

nigga pleasee, Magufuli ampige mtu risasi live tena ikulu halafu ndio ije kujulikana leo? maadui wote hao wasiseme tu? come on man, you are better than that …
Mzee kwa akili yako pale Ikulu ni kama soko la Magomeni, kwamba wachuuzi wakipigana habari zinafika Manzese?
 
Tuhuma hizi alizopewa Magufuli ni kubwa sana hata kama hayupo duniani. Kutokana na nafasi aliyokuwa nayo marehemu kuwa kubwa ni vema Erik akatoe ushahidi mahakamani vinginevyo hizo ni porojo za kuuza kitabu chake. Hii ya kuvaa pajama na kutaka kubaka najua ni porojo mimi najua marehemu alikuwa anapenda vitu vizuri pamoja na yote huyo aliyetaka kubakwa ana mume
 
Sawa Erick Kabendera ameandika kwamba raisi Magufuli alimpiga risasi ya kichwa Ben Saanane pale Ikulu Dar es Salaam.

Sasa ukitaka kujua umbumbumbu wa watu, ni pale mtu anaibuka tu na kusema Kabendera mwongo! Watu hata hawataki kuhoji taarifa hii Kabendera kaitoa wapi - japo ametaja wazi kuwa source yake inatia watu walioko serikalini. Wengine hata wanadiriki kusema Kabendera akamatwe na kutiwa ndani kwa kuandika jambo hili!

Watu wote wanaopinga hii taarifa ya Kabendera wanapaswa kutambua yafuatayo;
  • ikiwa unashupalia Kabendera ni muongo, basi wewe unapaswa kujua ukweli juu ya kupotea kwa Ben Saanane au yuko wapi kama yupo hai, au unamjua aliemuua. Kama una akili sawasawa, huwezi kubisha alichosema Kabendera bila wewe kuwa na taarifa kamili tofauti na aliyosema Kabendera
  • kwamba Kabendera hawezi hata siku moja kufumuka tu na kuandika kitu kama hicho kwenye kitabu. Ni wazi ana uhakika na anachokisema, na kwamba ana ushahidi zaidi na serikali haitamchukulia hatua kwa sababu wakimpeleka mahakamani watakuwa wamempa ukumbi wa kumwaga ukweli wa jambo hili na serikali ya CCM haitaki kabisa hilo litokee (sawa na Marekani waliposema Makonda ni muuaji, ulisikia serikali ikipinga au kuishutumu Marekani? Unafikiri kwa nini serikali iliufyata?)
  • Magufuli kama raisi angeweza kumpiga mtu yeyote risasi na kumuua bila kushitakiwa au kufanywa lolote kwa sababu Katiba yetu inampa uhuru raisi kumuua mtu na raisi asifanywe lolote! Hata Raisi Samia leo akifanya hivyo hutamfanya chochote na ataendelea kuwa raisi
  • kwamba Magufuli alipompiga risasi Ben Saanane kuna watu walikuwapo na walishuhudia hilo na hawa ndio waliompa taarifa Kabendera, wao hawawezi kuzitoa hadharani, na huenda wengine walioliona hilo tukio "walishapotezewa"
  • kwamba Magufuli alikuwa anawachukia wapinzani kwa kiwango kisicho kawaida, chuki ya kiwango cha kuwa "kichaa", cha kufikia kuwaadhibu CCM waliowapa pole wapinzani wakiumwa, na hata kumwona Samia na wengine kuwa ni wasaliti walipomtembelea Lisu hospitali (the most intense level on the emotional scale of anger toward opposition parties' members, and this became animosity that was deeply entrenched towards specific individuals like Tundu Lissu, Ben Saanane etc, and he developed personal vendettas against them).
  • kwamba Magufuli alikuwa na tabia ya kutembea na bastora akiwa tayari kuua mtu, hata pale alipokuwa akikagua miradi yake alishikilia bastora mkononi. Kuua mtu kwa bastora ni rahisi mno, hasa kwa mtu mwenye chuki ya juu kwa wapinzani kama ya Magufuli. Hivyo kumuua Ben Saanane kuna-fit attitude profile ya Magufuli
  • kwamba kwa wanaomfahamu Magufuli watakuambia wazi alikuwa hayuko sawa kichwani na kuua mtu kwa risasi ingewezekana kabisa kwake. Huyu ni Magufuli ambae alimpiga sana mtoto wake karibu kumuua kwa kosa la kufeli mitihani tu; huyu ni Magufuli aliemkana binti yake na kusema sio binti yake tena kwa sababu aliokoka na kuolewa na mlokole; na huyu ni Magufuli aliekuwa akimpiga mkewe hadi hatua ya kukaribia kufa na kulazwa hospitali; sasa sembuse Ben Saanane ambae alikuwa sio ndugu yake na alikuwa na hasira nae ya kukosolewa? Magufuli hakuwa sawa kichwani, hilo ni wazi sana
  • kama Marekani walikuwa na ushahidi juu ya Makonda kuua watu waliopinga serikali, ni wazi alifanya hivyo kwa kibali cha Magufuli, na kama Magufuli alimruhusu Makonda kuua watu basi kwa nini yeye binafsi asindwe kumuua mmojawapo wa aiana ya watu aliomruhusu Makonda kuwaua?
  • kigugumizi cha polisi katika kupeleleza na kukamata watu waliopotea au kuuwawa, hasa wapinzani wa serikali, ni wazi kwamba vifo hivi ninahusisha watu wakubwa walioko serikalini, kutia ndani mtu kama Magufuli, au kwamba viliidhinishwa na Magufuli, pamoja na jaribio la kumuua Tundu Lisu
Conclusion: Kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi ya kichwa point-blank ina fit vizuri kabisa profile ya Magufuli. Alikuwa mtu wa namna hiyo, upende usipende, na huo ndio ukweli. Kichaa alipewa rungu.
Mambo ni mazito
 
Umeandika hisia zako halafu unataka tukuamini? Ukiona jambo linapingwa na wengi jaribu kufikiri kwa kina kabla hujachukua uamuzi wa kulitetea, msema pweke siku zote huwa ni mshindi, historia ya kabendera dhidi ya marehemu MAGUFULI inajulikana
 
Tuhuma hizi alizopewa Magufuli ni kubwa sana hata kama hayupo duniani. Kutokana na nafasi aliyokuwa nayo marehemu kuwa kubwa ni vema Erik akatoe ushahidi mahakamani vinginevyo hizo ni porojo za kuuza kitabu chake. Hii ya kuvaa pajama na kutaka kubaka najua ni porojo mimi najua marehemu alikuwa anapenda vitu vizuri pamoja na yote huyo aliyetaka kubakwa ana mume
Pamoja na hiyo ya kumuua Ben, eti pia alimbaka au alitaka kumbaka Samia, makamu wake.

Like, who believes this shit?

Kama alimbaka au alitaka kumbaka Samia, maana yake hiyo haikuwa mara yake ya kwanza.

Wengine aliowabaka ni akina nani?

Cap.
 
kwa hiyo unaamini kabisa raisi wa JMTZ ampige mtu risasi live ikulu halafu international community yote ikae kimya? kama tu maandamano balozi zote za kizungu huandika kwenye websites zao iwe kupigwa mtu risasi tena raisi wasiyempenda live ? nafikiri labda ni full moon leo, au haujakula vizuri na kushiba labda ? au thinking us hard for you?
Nyie wazee Ikulu mnaichukuliaje asee. Ikulu sio Kitambaa cheupe pale kwamba litokee jambo halafu ulikute kwenye kurasa za Millard Ayo.
 
Narudia tena, Magufuli hakuwa sawa kichwani, na kuua mtu kwa risasi pale Ikulu ni profile ambayo ina-fit kabisa utu wake. Hivi kwa nini watu hawataki kukubali alimpa Makonda license to kill? Mtu anaefanya hivyo atashindwa kumpiga mkosoaji wake mkubwa risasi ya kichwa? Tundu Lisu je? Mnafikiri nani aliamrisha auwawe? Magufuli alikuwa na chuki dhidi ya wapinzani inayokaribia ukichaa. Muulizeni Mwigulu Nchemba aliambiwa nini na Magufuli kabla hata taarifa ya Lisu kupigwa risasi haijavuma. Mwigulu anaambiwa itisha press conference utangaze serikali haihusiki na kupigwa risasi kwa Lisu - Mwigulu akagoma, akapoteza uwaziri!
Huu uzi una mambo mengi sana.
 
Huyu Emmanuel soka na wenziye wako wapi mpaka sasa?? Mbona mda unazidi kwenda tuu?? Ina maana hadi leo bado wako hostage tuu??
Sawa Erick Kabendera ameandika kwamba raisi Magufuli alimpiga risasi ya kichwa Ben Saanane pale Ikulu Dar es Salaam.

Sasa ukitaka kujua umbumbumbu wa watu, ni pale mtu anaibuka tu na kusema Kabendera mwongo! Watu hata hawataki kuhoji taarifa hii Kabendera kaitoa wapi - japo ametaja wazi kuwa source yake inatia watu walioko serikalini. Wengine hata wanadiriki kusema Kabendera akamatwe na kutiwa ndani kwa kuandika jambo hili!

Watu wote wanaopinga hii taarifa ya Kabendera wanapaswa kutambua yafuatayo;
  • ikiwa unashupalia Kabendera ni muongo, basi wewe unapaswa kujua ukweli juu ya kupotea kwa Ben Saanane au yuko wapi kama yupo hai, au unamjua aliemuua. Kama una akili sawasawa, huwezi kubisha alichosema Kabendera bila wewe kuwa na taarifa kamili tofauti na aliyosema Kabendera
  • kwamba Kabendera hawezi hata siku moja kufumuka tu na kuandika kitu kama hicho kwenye kitabu. Ni wazi ana uhakika na anachokisema, na kwamba ana ushahidi zaidi na serikali haitamchukulia hatua kwa sababu wakimpeleka mahakamani watakuwa wamempa ukumbi wa kumwaga ukweli wa jambo hili na serikali ya CCM haitaki kabisa hilo litokee (sawa na Marekani waliposema Makonda ni muuaji, ulisikia serikali ikipinga au kuishutumu Marekani? Unafikiri kwa nini serikali iliufyata?)
  • Magufuli kama raisi angeweza kumpiga mtu yeyote risasi na kumuua bila kushitakiwa au kufanywa lolote kwa sababu Katiba yetu inampa uhuru raisi kumuua mtu na raisi asifanywe lolote! Hata Raisi Samia leo akifanya hivyo hutamfanya chochote na ataendelea kuwa raisi
  • kwamba Magufuli alipompiga risasi Ben Saanane kuna watu walikuwapo na walishuhudia hilo na hawa ndio waliompa taarifa Kabendera, wao hawawezi kuzitoa hadharani, na huenda wengine walioliona hilo tukio "walishapotezewa"
  • kwamba Magufuli alikuwa anawachukia wapinzani kwa kiwango kisicho kawaida, chuki ya kiwango cha kuwa "kichaa", cha kufikia kuwaadhibu CCM waliowapa pole wapinzani wakiumwa, na hata kumwona Samia na wengine kuwa ni wasaliti walipomtembelea Lisu hospitali (the most intense level on the emotional scale of anger toward opposition parties' members, and this became animosity that was deeply entrenched towards specific individuals like Tundu Lissu, Ben Saanane etc, and he developed personal vendettas against them).
  • kwamba Magufuli alikuwa na tabia ya kutembea na bastora akiwa tayari kuua mtu, hata pale alipokuwa akikagua miradi yake alishikilia bastora mkononi. Kuua mtu kwa bastora ni rahisi mno, hasa kwa mtu mwenye chuki ya juu kwa wapinzani kama ya Magufuli. Hivyo kumuua Ben Saanane kuna-fit attitude profile ya Magufuli
  • kwamba kwa wanaomfahamu Magufuli watakuambia wazi alikuwa hayuko sawa kichwani na kuua mtu kwa risasi ingewezekana kabisa kwake. Huyu ni Magufuli ambae alimpiga sana mtoto wake karibu kumuua kwa kosa la kufeli mitihani tu; huyu ni Magufuli aliemkana binti yake na kusema sio binti yake tena kwa sababu aliokoka na kuolewa na mlokole; na huyu ni Magufuli aliekuwa akimpiga mkewe hadi hatua ya kukaribia kufa na kulazwa hospitali; sasa sembuse Ben Saanane ambae alikuwa sio ndugu yake na alikuwa na hasira nae ya kukosolewa? Magufuli hakuwa sawa kichwani, hilo ni wazi sana
  • kama Marekani walikuwa na ushahidi juu ya Makonda kuua watu waliopinga serikali, ni wazi alifanya hivyo kwa kibali cha Magufuli, na kama Magufuli alimruhusu Makonda kuua watu basi kwa nini yeye binafsi asindwe kumuua mmojawapo wa aiana ya watu aliomruhusu Makonda kuwaua?
  • kigugumizi cha polisi katika kupeleleza na kukamata watu waliopotea au kuuwawa, hasa wapinzani wa serikali, ni wazi kwamba vifo hivi ninahusisha watu wakubwa walioko serikalini, kutia ndani mtu kama Magufuli, au kwamba viliidhinishwa na Magufuli, pamoja na jaribio la kumuua Tundu Lisu
Conclusion: Kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi ya kichwa point-blank ina fit vizuri kabisa profile ya Magufuli. Alikuwa mtu wa namna hiyo, upende usipende, na huo ndio ukweli. Kichaa alipewa rungu.
 
Wewe ndiye umeijua leo,hizi habari zilijulikana tangu dhalim akiwa hai ila tu hazikuwekwa public kama alivyofanya Kabendera.
Hawa wajinga sijui walikuwa wapi!? Hii habari iko muda mrefu tu sema Kabendera ndiyo amekuwa shujaa kuiweka hadharani formally
 
Swali la kujiuliza ni moja Tu

Je Ben saa nane alikuwa na madhara makubwa Kwa serikali?

Je beni saa nane angeweza kupindua utawala wa magufuli?

Je Ben saa nane alikuwa na madhara yoyote Kwa Rais Personal?

If not then Magu hawez kumuua Kwa kumpiga risasi trust me

Kabendera ana history mbovu na magufuli so anaweza kusema anything

Ila nitakuwa wa mwisho kuamini magu alimshoot Ben saa nane
The fake PhD(ya maganda ya korosho) saga ilikuwa ni sababu tosha kabisa kwa mtu type ya Magu kumuua Ben.
Kwani shambulio la kutaka kumuua Lissu alikuwa na mpango wa kupindua serikali? Magu was lunatic.
 
Siku mkijua ukweli mta tahayari sana,

Magufuli alikuwa na hasira za karibu lakini alikuwa mwepesi kusamehe.

Magufuli huyuhuyu alikuwa ni mtu mwenye mental disorders yaani Mimi naweza kupiga mtu ila akajigamba yeye.

Tukio la kukoswa koswa Lissu lilifanywa na upinzani.

Hata Ben saanane waulizwe upinzani.

Alfonce Mawazo waulizwe upinzani

Ili kuing'oa CCM madarakani kunatakiwa matambiko na damu za watu zimwagike ili tu kutengeneza mtaji wa kisiasa.

Siyasemi ya Chacha Wangwe kwasababu haya wengi wanayajua.

Ili ukubalike na watu milioni kumi kwenye bongo na fikira zao siyo suala dogo eti kisa umesoma Political science jidanganye.

Natamani Lissu ashinde uenyekiti wa chama lakini hawezi kwasababu yeye ni mlaini kama tikiti.

Kisu kikitua kwenye tikiti,linaumia tikiti

Vilevile tikiti likijigamba eti liende Kwa force likatue kilipo kisu,litaumia tikiti tu.

Siasa ni mchezo mchafu sihitaji kizazi changu kijihusishe na huu uharamu
Kwa hiyo Wapinzani wanaweza kutoa order walinzi waondolewe kwenye makazi ya viongozi mbalimbali wa serikali ikiwemo mawaziri masaa kadhaa kabla Lissu kushambuliwa?

Wapinzani wanaweza kung'oa CCTV Cameras?

Wapinzani wanaweza wakazuia Uchunguzi huru wa tukio kufanyika?

Atayeniambia hapa ni kichwa ndio kimetumika kufikiri na sio yale matuta mawili ya kukalia tunagombana.
 
Porojo nyingi zilizojaa pumba bila ushahidi wowote wa maana. Leta huo ushahidi wa kabendera tuupime. Kumtetea kuwa anaujua ukweli bila wewe kuuweka hapa ni kutaka kutufanya kama sisi wote ni hamnazo kama wewe.
 
Katika harakati za kugombea ubunge, pia ana tuhuma za kumuwekea sumu mmoja ya wagombea ambaye alikuwa na cheo kikubwa pale ginnery ya chato, jamaa figo zikafeli.

Ikabidi jamaa akaanza process ya kutibiwa, akapata nafasi ya kwenda India. Ila kila muda wa safari ukifika, jalada la hospitali linapotea, wenzake wanaenda India. Suspect, JP ndiye alikuwa ana-influence ili jamaa afe, yeye abaki na ubunge

JK alipopata taarifa, akaingilia kati ndipo jamaa akaenda kutibiwa.

Kuwachapa viboko dada zake ilikuwa kawaida.

Kuna stori ya mdogo wake anaitwa Goro ambaye alitoa coaster ya hotel ili isaidie kusafirisha maiti pale pale Chato mjini. Wako njiani JP akapiga simu, anamwambia washushe hapohapo kwa kuwa ametoa gari bila ruhusa yake. Ikawa tafrani. Dogo akagoma kushusha maiti barabarani. Wakawa maadui wa kutupwa.
Yule alikuwa zaidi ya shetani
 
Anayeamini huo ujinga wa kabendera ni kichaa na anatakiwa kupelekwa hospitali ya vichaa milembe Dodoma.
Huna hoja zaidi ya kufanyakile kile unachoshauri wenzako wasifanye. Mwache Kabendera ajitetee mwenywe kw akuleta ushahidi. Vinginevyo unatupotezea muda au kutafuta kiki tu. kwa kuanzisha uzi huu
Nyie ndiyo vichaa msioweza kutumia vichwa na akili zenu kwa usahihi kuchakata kila taarifa inayokuja mbele yenu, badala yake kama mbwa waoga mnajiwahi na kuanzs kubweka hovyo kwa kujenga utetezi wa hoja zisizo na kichwa ili kulinda tabia za kikatili za viongozi wajinga na wapumbavu, wauaji kama alivyokuwa Mwendazake Magufuli...

Labda tusiwalaumu sana maana, possibly huo ndiyo mwisho wa mstari wa akili na tafakuri zenu zilipoishia..

Lakini fahamu kuwa, hiyo roho yake ya kutesa na kuua raia wake, kaiacha na kuwarithisha warithi wake kina Samia Suluhu Hassan na ndiyo inayosumbua sasa kwa mtindo uleule wa teka, tesa na ikilazimu ua...

Historia duniani kote ya viongozi (Marais au Wafalme wa nchi/mataifa) waliokuwa na chuki na wapinzani/wapingaji/wakosoaji wa tawala/serikali zao walizoziongoza kumbukumbu ya historia ya tawala zao/uongozi wao wa kikatili ukiambatana na mauaji ya kutisha, imerekodiwa vizuri sana...

Kwa kifupi sana mimi naweza kusema kuwa, wapo viongozi duniani kote walio na sura za kibinadamu lakini ndani ni shetani mwenyewe mnywa damu za watu...

Hawa walitumia aidha mikono yao binafsi kuua au walikuwa na vikosi binafsi vya utesaji na mauaji vya siri walivyoviunda nje ya utaratibu wa kikatiba na sheria. Na wakati mwingine njia zote mbili hizi zilitumika....

Mfano ni dikteta Iddi Amini Dada (aliyekuwa Rais Uganda miaka 1970s), Mobutu Seseseko Wazembanga (iliyokuwa Zaire sasa DR Congo), Adolf Hitler (West Germany), Benito Mussolini (Italy) na wengine wengi waliua wapinzani kwa mikono yao...

Mpaka hapo hivi unaonaje ajabu kama kuna watu wanaanza kushuhudia leo kuwa Hayati John P. Magufuli aliua wakosoaji wa utawala wake kwa mikono yake mwenyewe...?

All the way back, ni kuwa, ushahidi wa kimazingira unaoelekea kuthibitisha madai haya ya ndugu Kabendera Erick kwa zaidi ya 85% ni mkubwa mno....

Kuna ndugu humu anaitwa Synthesizer ameeleza na kufafanua vizuri mno. Kama hizi hoja haziwatafakirishi nyie wawili na baadhi ya wenzenu wengi humu, basi, haina shaka yoyote kuwa nyie wawili na wenzenu wengi humu mlikuwa washiriki wa unyama na mauaji haya au la basi hamuwezi kutumia akili zenu vyema kuchakata na kuhoji kila ishu inayowazunguka katika maisha ya intelligence yenu...

Mfano rahisi tu unaoweza kumfanya mtu asifikirie hata mara mbili kuyatilia maanani madai haya ya Erick Kabendera ni tabia ya Rais Magufuli iliyokuwa inajidhihirishwa na kauli na matendo yake wakati wa utawala wake....

Ni Rais aliyekuwa hajali taratibu, sheria, kanuni na katiba ya nchi. Ni Rais aliyekuwa ana - abuse (kutumia vibaya) madaraka na mamlaka yake ya u - Rais kiasi cha kuwa dikteta aliyejificha kanisani kwa kuvaa ngozi ya kondoo...

Ujasiri wake huu wa kuvunja katiba na kutoheshimu utu wa watu wengine ni tabia za kiongozi katili na muuaji siku zote...

Ndiyo maana wenzake serikalini waliamua kumuua kabla hajawaua wao🤔🤔🤔.. NDIYO....!! Unashangaa nini sasa..???

Na ndiyo maana mimi siku zote nimekuwa nasema hivi👇🏻👇🏻

Huyu jamaa (mwendazake Magufuli, Rais wa nchi mwenye resources zote za kupata matibabu popote duniani kwa daktari bingwa wa ugonjwa wake) alikufaga kifo cha kijinga , kipumbavu na kizembe sana kwa sababu alikuwa anachukiwa na watu ambao obvious alikuwa anawahesabia siku zao naye awapige risasi kama alivyoua wengine...!!

Ilikuwa ngumu mno kwa watu wenye akili na ufahamu uliokamilika kuelewa na kuamini kuwa Rais wa nchi angeweza kufia kwenye Zahanati (kituo cha afya) cha Mzena pale mitaa ya Mikocheni?Upanga - DSM...!!!

Tumie vyema akili zenu kufikiri, acheni kufyatuka hovyo mbele ya umma wa watu wenye akili kuwazidi. Mtaaibika bure...!
 
kwa hiyo unaamini kabisa raisi wa JMTZ ampige mtu risasi live ikulu halafu international community yote ikae kimya? kama tu maandamano balozi zote za kizungu huandika kwenye websites zao iwe kupigwa mtu risasi tena raisi wasiyempenda live ? nafikiri labda ni full moon leo, au haujakula vizuri na kushiba labda ? au thinking us hard for you?
Yaani unajenga picha magufuli kampiga risasi Saanane mbele ya kamera au sio!? Mbona unakuwa mjinga kiasi hicho!? Tatizo ni umri au shule!? Yaani hata critical thinking huna!? Hufai hata kuwemo humu JF! Wewe unafahamu mangapi yanatokea ndani ya Ikulu!? Unategemea kila kinachofanyika wewe utaambiwa au kitaanikwa hadharani!? Ficha upumbavu wako.
 
Sawa Erick Kabendera ameandika kwamba raisi Magufuli alimpiga risasi ya kichwa Ben Saanane pale Ikulu Dar es Salaam.

Sasa ukitaka kujua umbumbumbu wa watu, ni pale mtu anaibuka tu na kusema Kabendera mwongo! Watu hata hawataki kuhoji taarifa hii Kabendera kaitoa wapi - japo ametaja wazi kuwa source yake inatia watu walioko serikalini. Wengine hata wanadiriki kusema Kabendera akamatwe na kutiwa ndani kwa kuandika jambo hili!

Watu wote wanaopinga hii taarifa ya Kabendera wanapaswa kutambua yafuatayo;
  • ikiwa unashupalia Kabendera ni muongo, basi wewe unapaswa kujua ukweli juu ya kupotea kwa Ben Saanane au yuko wapi kama yupo hai, au unamjua aliemuua. Kama una akili sawasawa, huwezi kubisha alichosema Kabendera bila wewe kuwa na taarifa kamili tofauti na aliyosema Kabendera
  • kwamba Kabendera hawezi hata siku moja kufumuka tu na kuandika kitu kama hicho kwenye kitabu. Ni wazi ana uhakika na anachokisema, na kwamba ana ushahidi zaidi na serikali haitamchukulia hatua kwa sababu wakimpeleka mahakamani watakuwa wamempa ukumbi wa kumwaga ukweli wa jambo hili na serikali ya CCM haitaki kabisa hilo litokee (sawa na Marekani waliposema Makonda ni muuaji, ulisikia serikali ikipinga au kuishutumu Marekani? Unafikiri kwa nini serikali iliufyata?)
  • Magufuli kama raisi angeweza kumpiga mtu yeyote risasi na kumuua bila kushitakiwa au kufanywa lolote kwa sababu Katiba yetu inampa uhuru raisi kumuua mtu na raisi asifanywe lolote! Hata Raisi Samia leo akifanya hivyo hutamfanya chochote na ataendelea kuwa raisi
  • kwamba Magufuli alipompiga risasi Ben Saanane kuna watu walikuwapo na walishuhudia hilo na hawa ndio waliompa taarifa Kabendera, wao hawawezi kuzitoa hadharani, na huenda wengine walioliona hilo tukio "walishapotezewa"
  • kwamba Magufuli alikuwa anawachukia wapinzani kwa kiwango kisicho kawaida, chuki ya kiwango cha kuwa "kichaa", cha kufikia kuwaadhibu CCM waliowapa pole wapinzani wakiumwa, na hata kumwona Samia na wengine kuwa ni wasaliti walipomtembelea Lisu hospitali (the most intense level on the emotional scale of anger toward opposition parties' members, and this became animosity that was deeply entrenched towards specific individuals like Tundu Lissu, Ben Saanane etc, and he developed personal vendettas against them).
  • kwamba Magufuli alikuwa na tabia ya kutembea na bastora akiwa tayari kuua mtu, hata pale alipokuwa akikagua miradi yake alishikilia bastora mkononi. Kuua mtu kwa bastora ni rahisi mno, hasa kwa mtu mwenye chuki ya juu kwa wapinzani kama ya Magufuli. Hivyo kumuua Ben Saanane kuna-fit attitude profile ya Magufuli
  • kwamba kwa wanaomfahamu Magufuli watakuambia wazi alikuwa hayuko sawa kichwani na kuua mtu kwa risasi ingewezekana kabisa kwake. Huyu ni Magufuli ambae alimpiga sana mtoto wake karibu kumuua kwa kosa la kufeli mitihani tu; huyu ni Magufuli aliemkana binti yake na kusema sio binti yake tena kwa sababu aliokoka na kuolewa na mlokole; na huyu ni Magufuli aliekuwa akimpiga mkewe hadi hatua ya kukaribia kufa na kulazwa hospitali; sasa sembuse Ben Saanane ambae alikuwa sio ndugu yake na alikuwa na hasira nae ya kukosolewa? Magufuli hakuwa sawa kichwani, hilo ni wazi sana
  • kama Marekani walikuwa na ushahidi juu ya Makonda kuua watu waliopinga serikali, ni wazi alifanya hivyo kwa kibali cha Magufuli, na kama Magufuli alimruhusu Makonda kuua watu basi kwa nini yeye binafsi asindwe kumuua mmojawapo wa aiana ya watu aliomruhusu Makonda kuwaua?
  • kigugumizi cha polisi katika kupeleleza na kukamata watu waliopotea au kuuwawa, hasa wapinzani wa serikali, ni wazi kwamba vifo hivi ninahusisha watu wakubwa walioko serikalini, kutia ndani mtu kama Magufuli, au kwamba viliidhinishwa na Magufuli, pamoja na jaribio la kumuua Tundu Lisu
Conclusion: Kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi ya kichwa point-blank ina fit vizuri kabisa profile ya Magufuli. Alikuwa mtu wa namna hiyo, upende usipende, na huo ndio ukweli. Kichaa alipewa rungu.
Nakazia
 
Back
Top Bottom