Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

Madai kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi pale Ikulu isichukiliwe kihisia; hizi hapa ni sababu za msingi kuamini kwamba ni ukweli

Sawa Erick Kabendera ameandika kwamba raisi Magufuli alimpiga risasi ya kichwa Ben Saanane pale Ikulu Dar es Salaam.

Sasa ukitaka kujua umbumbumbu wa watu, ni pale mtu anaibuka tu na kusema Kabendera mwongo! Watu hata hawataki kuhoji taarifa hii Kabendera kaitoa wapi - japo ametaja wazi kuwa source yake inatia watu walioko serikalini. Wengine hata wanadiriki kusema Kabendera akamatwe na kutiwa ndani kwa kuandika jambo hili!

Watu wote wanaopinga hii taarifa ya Kabendera wanapaswa kutambua yafuatayo;
  • ikiwa unashupalia Kabendera ni muongo, basi wewe unapaswa kujua ukweli juu ya kupotea kwa Ben Saanane au yuko wapi kama yupo hai, au unamjua aliemuua. Kama una akili sawasawa, huwezi kubisha alichosema Kabendera bila wewe kuwa na taarifa kamili tofauti na aliyosema Kabendera
  • kwamba Kabendera hawezi hata siku moja kufumuka tu na kuandika kitu kama hicho kwenye kitabu. Ni wazi ana uhakika na anachokisema, na kwamba ana ushahidi zaidi na serikali haitamchukulia hatua kwa sababu wakimpeleka mahakamani watakuwa wamempa ukumbi wa kumwaga ukweli wa jambo hili na serikali ya CCM haitaki kabisa hilo litokee (sawa na Marekani waliposema Makonda ni muuaji, ulisikia serikali ikipinga au kuishutumu Marekani? Unafikiri kwa nini serikali iliufyata?)
  • Magufuli kama raisi angeweza kumpiga mtu yeyote risasi na kumuua bila kushitakiwa au kufanywa lolote kwa sababu Katiba yetu inampa uhuru raisi kumuua mtu na raisi asifanywe lolote! Hata Raisi Samia leo akifanya hivyo hutamfanya chochote na ataendelea kuwa raisi
  • kwamba Magufuli alipompiga risasi Ben Saanane kuna watu walikuwapo na walishuhudia hilo na hawa ndio waliompa taarifa Kabendera, wao hawawezi kuzitoa hadharani, na huenda wengine walioliona hilo tukio "walishapotezewa"
  • kwamba Magufuli alikuwa anawachukia wapinzani kwa kiwango kisicho kawaida, chuki ya kiwango cha kuwa "kichaa", cha kufikia kuwaadhibu CCM waliowapa pole wapinzani wakiumwa, na hata kumwona Samia na wengine kuwa ni wasaliti walipomtembelea Lisu hospitali (the most intense level on the emotional scale of anger toward opposition parties' members, and this became animosity that was deeply entrenched towards specific individuals like Tundu Lissu, Ben Saanane etc, and he developed personal vendettas against them).
  • kwamba Magufuli alikuwa na tabia ya kutembea na bastora akiwa tayari kuua mtu, hata pale alipokuwa akikagua miradi yake alishikilia bastora mkononi. Kuua mtu kwa bastora ni rahisi mno, hasa kwa mtu mwenye chuki ya juu kwa wapinzani kama ya Magufuli. Hivyo kumuua Ben Saanane kuna-fit attitude profile ya Magufuli
  • kwamba kwa wanaomfahamu Magufuli watakuambia wazi alikuwa hayuko sawa kichwani na kuua mtu kwa risasi ingewezekana kabisa kwake. Huyu ni Magufuli ambae alimpiga sana mtoto wake karibu kumuua kwa kosa la kufeli mitihani tu; huyu ni Magufuli aliemkana binti yake na kusema sio binti yake tena kwa sababu aliokoka na kuolewa na mlokole; na huyu ni Magufuli aliekuwa akimpiga mkewe hadi hatua ya kukaribia kufa na kulazwa hospitali; sasa sembuse Ben Saanane ambae alikuwa sio ndugu yake na alikuwa na hasira nae ya kukosolewa? Magufuli hakuwa sawa kichwani, hilo ni wazi sana
  • kama Marekani walikuwa na ushahidi juu ya Makonda kuua watu waliopinga serikali, ni wazi alifanya hivyo kwa kibali cha Magufuli, na kama Magufuli alimruhusu Makonda kuua watu basi kwa nini yeye binafsi asindwe kumuua mmojawapo wa aiana ya watu aliomruhusu Makonda kuwaua?
  • kigugumizi cha polisi katika kupeleleza na kukamata watu waliopotea au kuuwawa, hasa wapinzani wa serikali, ni wazi kwamba vifo hivi ninahusisha watu wakubwa walioko serikalini, kutia ndani mtu kama Magufuli, au kwamba viliidhinishwa na Magufuli, pamoja na jaribio la kumuua Tundu Lisu
Conclusion: Kwamba Magufuli alimpiga Ben Saanane risasi ya kichwa point-blank ina fit vizuri kabisa profile ya Magufuli. Alikuwa mtu wa namna hiyo, upende usipende, na huo ndio ukweli. Kichaa alipewa rungu.
Mimi ni babaako. Unabisha? Kama unabisha leta ushahidi!!
 
Katika harakati za kugombea ubunge, pia ana tuhuma za kumuwekea sumu mmoja ya wagombea ambaye alikuwa na cheo kikubwa pale ginnery ya chato, jamaa figo zikafeli.

Ikabidi jamaa akaanza process ya kutibiwa, akapata nafasi ya kwenda India. Ila kila muda wa safari ukifika, jalada la hospitali linapotea, wenzake wanaenda India. Suspect, JP ndiye alikuwa ana-influence ili jamaa afe, yeye abaki na ubunge

JK alipopata taarifa, akaingilia kati ndipo jamaa akaenda kutibiwa.

Kuwachapa viboko dada zake ilikuwa kawaida.

Kuna stori ya mdogo wake anaitwa Goro ambaye alitoa coaster ya hotel ili isaidie kusafirisha maiti pale pale Chato mjini. Wako njiani JP akapiga simu, anamwambia washushe hapohapo kwa kuwa ametoa gari bila ruhusa yake. Ikawa tafrani. Dogo akagoma kushusha maiti barabarani. Wakawa maadui wa kutupwa.
Yule kiumbe hakuwa na roho ya kawaida. Yaani kusoma hamjui hata picha hamuoni??
 
Unapotoa tuhuma nzito kama hizi unalazimika kuweka credible evidence. Sasa ushahidi wa Kabendera ni maneno ya kuambiwa na "maofisa wa serikali na watu kutoka vyama vya upinzani" Sasa tujiulize, ni mtu gani wa upinzani angeweza kuwepo wakati wa tukio hapo Ikulu?
Mshitakini mahakamani atoe ushahidi chini ya kiapo tujue ukweli ni upi na uongo ni upi.

Samia aitwe aulizwe kama kweli Magufuli alitaka kumbaka au ni uzushi tu.
 
Swali la kujiuliza ni moja Tu

Je Ben saa nane alikuwa na madhara makubwa Kwa serikali?

Je beni saa nane angeweza kupindua utawala wa magufuli?

Je Ben saa nane alikuwa na madhara yoyote Kwa Rais Personal?

If not then Magu hawez kumuua Kwa kumpiga risasi trust me

Kabendera ana history mbovu na magufuli so anaweza kusema anything

Ila nitakuwa wa mwisho kuamini magu alimshoot Ben saa nane
Wewe una Amini bany saanane yupo wapi?
 
Mimi ni babaako. Unabisha? Kama unabisha leta ushahidi!!
Hujanilea! Baba sio lazima awe biological parent. Hivyo baba yangu ni yule alinilea na nikachukua jina lake, mume wa mama yangu.

Na kwa upande wa pili, lazima utakuwa na sababu za msingi za kusema wewe ni baba yangu, na kama nikijua wewe sio mwenda wazimu, sintakupinga immediately kwa kusema wewe mwongo!

Hakuna mwanamke anaesema mimba nimepewa na mwanaume fulani, ambae hakutembea na mwanaume huyo, hata kama alipolala nae mimba haikuingia, labda kama huyo mwanamke ni mwenda wazimu!

Kwa hiyo ukisikia msichana anadai nimepewa mimba na fulani, at minimum, huyo kijana alilala nae, at maximum, mimba ni yake!

Hivyo bwana, at minimum, Magufuli alimwamuru mtu ampige Ben Saanane risasi ya kichwa pale Ikulu, at maximum, Magufuli mwenye alimpiga risasi!
 
Sijasoma mada ila nimesikitika sana hasa hapo uliposema ulibakwa
 
Je Kuna Uwezekano Mkubwa kuwa Rais wetu mpendwa Magufuli aliuliwa?

Watu wengi wamesema na wengine kuandika kuwa huenda Rais Aliuliwa ikasingiziwa Corona.

Je tuwaamini bila ushahidi wa namna alivyouliwa?
No, this is just another conspiracy theory!
 
Hujanilea! Baba sio lazima awe biological parent. Hivyo baba yangu ni yule alinilea na nikachukua jina lake, mume wa mama yangu.

Na kwa upande wa pili, lazima utakuwa na sababu za msingi za kusema wewe ni baba yangu, na kama nikijua wewe sio mwenda wazimu, sintakupinga immediately kwa kusema wewe mwongo!

Hakuna mwanamke anaesema mimba nimepewa na mwanaume fulani, ambae hakutembea na mwanaume huyo, hata kama alipolala nae mimba haikuingia, labda kama huyo mwanamke ni mwenda wazimu!
Ahahahahaha! Umetoa povu kibao kuthibitisha mimi sio babaako, lakini kwa Kabendera unataka watu waamini tu kwasababu kaandika. PUMBAVU SANA WEWE!!!
 
Katika harakati za kugombea ubunge, pia ana tuhuma za kumuwekea sumu mmoja ya wagombea ambaye alikuwa na cheo kikubwa pale ginnery ya chato, jamaa figo zikafeli.

Ikabidi jamaa akaanza process ya kutibiwa, akapata nafasi ya kwenda India. Ila kila muda wa safari ukifika, jalada la hospitali linapotea, wenzake wanaenda India. Suspect, JP ndiye alikuwa ana-influence ili jamaa afe, yeye abaki na ubunge

JK alipopata taarifa, akaingilia kati ndipo jamaa akaenda kutibiwa.

Kuwachapa viboko dada zake ilikuwa kawaida.

Kuna stori ya mdogo wake anaitwa Goro ambaye alitoa coaster ya hotel ili isaidie kusafirisha maiti pale pale Chato mjini. Wako njiani JP akapiga simu, anamwambia washushe hapohapo kwa kuwa ametoa gari bila ruhusa yake. Ikawa tafrani. Dogo akagoma kushusha maiti barabarani. Wakawa maadui wa kutupwa.
Duh jamaa alikuwa na roho ya aina yake aisee
 
Naskia ht hawa wa sasa wanaouliwa na kutekwa ni JPM ndiye anayefanya hayo
Ndio muasisi wa huo uovu Nyerere atakumbukwa kwa kuasisi taifa changa la Tanzania. Kila mtu atakumbukwa kwa alichokiasisi.
 
Ahahahahaha! Umetoa povu kibao kuthibitisha mimi sio babaako, lakini kwa Kabendera unataka watu waamini tu kwasababu kaandika. PUMBAVU SANA WEWE!!!
Nimekuonyesha jinsi logic inavyoweza kujenga assertion, basi!
 
Swali la kujiuliza ni moja Tu

Je Ben saa nane alikuwa na madhara makubwa Kwa serikali?

Je beni saa nane angeweza kupindua utawala wa magufuli?

Je Ben saa nane alikuwa na madhara yoyote Kwa Rais Personal?

If not then Magu hawez kumuua Kwa kumpiga risasi trust me

Kabendera ana history mbovu na magufuli so anaweza kusema anything

Ila nitakuwa wa mwisho kuamini magu alimshoot Ben saa nane
Mkuu kama nakumbuka sasa sawa, ben alimshambulia magu yeye binafsi kwmba ana p.h.d. feki! (Alitafiti maganda ya koroso)!
 
Back
Top Bottom