Madai ya Wanafunzi wa Rutabo kupewa chakula kidogo, Afisa Elimu asema 'tatizo ni siku ya Wali na Nyama'

Madai ya Wanafunzi wa Rutabo kupewa chakula kidogo, Afisa Elimu asema 'tatizo ni siku ya Wali na Nyama'

Siku ya wali na nyama Mheshimiwa Raisi Mama Samia amwagize RPC kagera apeleke defender za kutosha kusimamia watoto wa watani zangu wahaya wanaosoma Rutabo secondary wasije toana macho kugombea wali na Nyama
 
Baada ya member wa JamiiForums.com kuripoti kuwa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Rutabo hawapewi Chakula cha Kutosha kutokana na uhaba wa Chakula na kudai kuwa hatua hazichukuliwi, Serikali imechukua hatua.

Awali member alidai Shule hiyo inawapikia Wanafunzi Chakula kidogo hali inayowalazimu kugombania na kuomba hela nyumbani mara kwa mara kwa.

Andiko liko hapa - Wanafunzi wa Rutabo High School (Kagera) hawapewi chakula cha kutosha

Afisa Elimu Sekondari Kagera, Michael Lugola amesema alimuagiza Afisa Elimu Kata ambaye ameenda kwenye shule hiyo na kumpa ripoti hii:

Nimefika katika Shule ya Sekondari Rutabo, tumefanya kikao na Wanafunzi tukawapa nafasi ya kueleza changamoto zinazohusiana na chakula.

Walichokieleza kilikuwa cha kawaida, sio kikubwa kama kinavyoripotiwa kwenye Mtandao, tatizo kidogo lilielezwa siku za Wali na Nyama kuwa wakati mwingine hawashibi lakini walikiri kuwa ugali unatosha.

Tumeweka mkakati mpya ikiwa ni pamoja na usimamizi wa chakula kutoka kinapokuwa stoo mpaka jikoni.

Kuongeza Walimu wa kusimamia na kuonja ubora wa chakula, kuongea na Wapishi ili kuhakiki wanaandaa chakula kizuri na kuhakikisha hakuna hujuma ya chakula sehemu ya jiko.

Wanafunzi viongozi kutoa taarifa ya mapungufu ya chakula kwa Mwalimu au Mkuu wa Shule haraka sana yanapojitokeza ili yafanyiwe kazi.

Na Mimi nimeahidi kufika mara kwa mara shuleni saa za Wanafunzi kupata chakula ili kujionea hali halisi.
Wali nyama na Pepsi bariid
 
Mara zote Siku za Wali nyama shuleni, Chakula kilikuwa hakitoshi.

Hii inatokana na baadhi ya Wanafunzi Viongozi kubeba chakula cha kutosha ili wale na Jioni.

Wanafunzi ambao walikuwa hawatokei Siku ya Ugali maharage Kwa kwenda kula canteen za Shule nao kujumuika Siku ya wali Nyama.

Nakumbuka wakati niko Shule, Siku za Wali nyama ziliongezwa kutoka Siku 1 Kwa wiki hadi Siku 3 Kwa Wiki.

Hii ilifanya Wanafunzi tuongeze Utulivu na kufocus na Masomo zaidi [emoji28][emoji847]
Ufisadi wa viongozi huanzia mbali
 
Hapo wadhibiti wababe wasichukue wali kwenye ndoo na nyama. Usipokuwa na sahani kipimo kimoja kila mtu.
 
Hapo wadhibiti wababe wasichukue wali kwenye ndoo na nyama. Usipokuwa na sahani kipimo kimoja kila mtu.
 
Baada ya member wa JamiiForums.com kuripoti kuwa Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Rutabo hawapewi Chakula cha Kutosha kutokana na uhaba wa Chakula na kudai kuwa hatua hazichukuliwi, Serikali imechukua hatua.

Awali member alidai Shule hiyo inawapikia Wanafunzi Chakula kidogo hali inayowalazimu kugombania na kuomba hela nyumbani mara kwa mara kwa.

Andiko liko hapa - Wanafunzi wa Rutabo High School (Kagera) hawapewi chakula cha kutosha

Afisa Elimu Sekondari Kagera, Michael Lugola amesema alimuagiza Afisa Elimu Kata ambaye ameenda kwenye shule hiyo na kumpa ripoti hii:

Nimefika katika Shule ya Sekondari Rutabo, tumefanya kikao na Wanafunzi tukawapa nafasi ya kueleza changamoto zinazohusiana na chakula.

Walichokieleza kilikuwa cha kawaida, sio kikubwa kama kinavyoripotiwa kwenye Mtandao, tatizo kidogo lilielezwa siku za Wali na Nyama kuwa wakati mwingine hawashibi lakini walikiri kuwa ugali unatosha.

Tumeweka mkakati mpya ikiwa ni pamoja na usimamizi wa chakula kutoka kinapokuwa stoo mpaka jikoni.

Kuongeza Walimu wa kusimamia na kuonja ubora wa chakula, kuongea na Wapishi ili kuhakiki wanaandaa chakula kizuri na kuhakikisha hakuna hujuma ya chakula sehemu ya jiko.

Wanafunzi viongozi kutoa taarifa ya mapungufu ya chakula kwa Mwalimu au Mkuu wa Shule haraka sana yanapojitokeza ili yafanyiwe kazi.

Na Mimi nimeahidi kufika mara kwa mara shuleni saa za Wanafunzi kupata chakula ili kujionea hali halisi.
Sijawahi kuona serikali ikikubali kuteleza
 
Nakumbuka Iyunga techn mbeya siku ya wali au nyama ambayo ilikuwa alhamis na ijumaa respectively Waalimu wa shule nzima walikuwa wanaweka doria,na chombo kilicholia nyama hakioshi Ili kesho uipate Ile harufu ya nyama.Dah kmmk nimetoka mbali.
 
Walichokieleza kilikuwa cha kawaida, sio kikubwa kama kinavyoripotiwa kwenye Mtandao, tatizo kidogo lilielezwa siku za Wali na Nyama kuwa wakati mwingine hawashibi lakini walikiri kuwa ugali unatosha.
Wawe wanapika Ubwabwa mwingi sasa, waache Ubahili
 
Au mwlm pengo kawa headmaster nini kipindi tunasoma miaka hio tulikua chakula kinabaki wali mtu unakula adi.unasema hapa ni nyumbn au ..... Wale wa miaka ya 2015 mtaniambie haya nayosema
 
Kwani wali na Nyama sio Chakula ?

Hivyo ni kweli kuna tatizo za watu kutokushiba siku za wali na nyama..., ni kama kungekuwa na tatizo la wanafunzi kutokula kabisa akasema hapana siku za keki asubuhi ndio huwa hazipo hence watu hawali......
Kwa tuliosoma shule za serikali bweni,hii ni kawaida kwa siku za wali nyama. Watoto hupenda wapate zaidi ili wahifadhi kwa ajili ya jioni
 
Sisi tuliosoma Njombe Secondary (Njoss) miaka Fulani iliyopita wali mara nne Kwa week na matunda juu, wee chakula kilikuwa tele uongo hapana.

Kumbe Kuna sehemu huwa hakitoshi duh!
 
Wasukuma na wanyaturu walikuwaga wamejazana jikoni haaahaa ili washibe sana wapi nkuba mdimila wapi temanywa haaaahaaa.
Huyu mshikaji wa kuitwa ntemanywa tulimkuta bafuni anapiga punyeto yani mwamba ile anautupa hadi mweleka haaahaaa halafu alikuwa na mguu mmoja mbovu
 
Kwa tuliosoma shule za serikali bweni,hii ni kawaida kwa siku za wali nyama. Watoto hupenda wapate zaidi ili wahifadhi kwa ajili ya jioni
Kwahio hawakosi bali wanapata / wanataka wapate zaidi au wengine wanaiba ili wengine wasipate...
 
Back
Top Bottom