😀😀Hamna Leo ninawenge la UTI na I'm feel dizness nielekeze basi cocaKo hujui matumizi ya dosage? Na umeandikiwa kabisa hapo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kweli wee ni lofa, unajuaga kupinga ushoga tyuuh, akat hata dosage maelekezo ya matumizi hujui.
Aseeeeh noumaaah.
AiseeNimeandikiwa na daktari 2x1 kama mnavyoona kwenye pichaView attachment 2851405
Ok,nimekuelewa naomba Sasa uende kwenye swali kwenye headingAcheni kusingizia vyoo...UTI haitokani na vyoo. Maumbile ya mwanaume ni ngumu sana kupata UTI kwasababu ya vyoo. Wengi wenu hata hamchuchumai pindi mnapokojoa..hiyo UTI inakupataje.
Ukiona UTI imekupata ww mwanaume jua ni kutokana na Kufanya mapenzi na mwanamke mwenye UTI tu.
Kwahiyo hata tukikata gogo pia tunasimama au sioAcheni kusingizia vyoo...UTI haitokani na vyoo. Maumbile ya mwanaume ni ngumu sana kupata UTI kwasababu ya vyoo. Wengi wenu hata hamchuchumai pindi mnapokojoa..hiyo UTI inakupataje.
Ukiona UTI imekupata ww mwanaume jua ni kutokana na Kufanya mapenzi na mwanamke mwenye UTI tu.
Mkuu kwani umepima? Tianzie hapo kwanzaOk,nimekuelewa naomba Sasa uende kwenye swali kwenye heading
HahaaaaWabongo tuna matatizo Hadi jibu tu la dose usage mnanibania😀😀watu wengi nashangaa hamuendi kwenye jibu direct mnaleta hoja nyingine ,
Kamuone mfamasiaOk,nimekuelewa naomba Sasa uende kwenye swali kwenye heading
Mdomo mwingi wabongo ila maarifa sifuriTatizo wabongo wajuaji achana nao wanasahau kwenye kukata gogo wanaume uwa tunachuchumaa pia,labda wao uwa wanasimama
Sio rahisi kwa maji maji ya choo kukuingia kwenye uume (kupita kwenye mrija wa urethra)Kwahiyo hata tukikata gogo pia tunasimama au sio
Ni moja ya dawa Kali sana. Huyo kaenda tu kununua ndiomaana kaja huku kuuliza. Watu wanajitafutia kifo na usugu wa dawa usiokua na msingi. Mara ya mwisho nilishuhudia mtu hospital anaandikiwa madawa ya thaman ya shilingi 150,000 ambayo chanzo chake ni Gono sugu. Miaka yote jamaa alikua anameza dawa tofauti tofauti. Now yamemkuta na sidhani kama atapona.Halafu Azuma sio dawa ya uti
Watu sijui nani kawakaririsha hii kitu,mwisho wasiku wanashangaa hawaponi!
Sawa ,250 mg,2 Kwa mara 1 mkuu,Nimepimwa na dr.na kanipa iyo dose
Hapana lazima tuulize, antibiotics sio nzuri kutumia tuMdomo mwingi wabongo ila maarifa sifuri
UTI mwanaume hapati kutoka chooni wanawake tu, ila mwwnaume huambukizwa UTI na mwwnamkeSio Gono Mzee ni UTI maana nyumba nayokaa sio poa vyoo vyake