Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

BICHWA KOMWE - and DR Mambo Jambo mje mtoe muongozo kwenye hili.
Ukiniuliza mimi Ntakwambia kuna Shida nyingine tofauti na Language barrier..
Kwanini..
Kwanza Daktari ndo translator Mkubwa kwenye tasnia..

Kwa sababu anasikiliza Hostoria ya Mgonjwa kwa Kiswahili anaiandika maelezo kwa kingereza..
Halafu akishaiandika anaelezea kwa kiswahili kwa mgonjwa..

Pili sitaki kuamini kwamba Daktari akiwa Muhimbili anakuwa anaongea Kingereza vizuri ila akiwa Temeke,Mwananyamala na Ubongo kingereza kinamponyoka...

Maana yake ni kwamba Daktari akipata ajira mubimbili anaingiwa na pepo la kingereza anaongea.kingereza fresh kabisa....

Daktari huyo huyo akiajiriwa Temeke au Kigamboni pepo la kingereza linamtoka anakuwa hajui kingereza na anakuwa mkali..

Kuna kitu ambacho kinafichwa nyuma ya pazia..

Anywei..
Mafunzo ya Udaktari yote MD mpaka Zaidi ya hapo yanafundishwa kwa lugha ya kingereza hata Practical.zake zote hufundishwa kwa kingereza Presentation za wagonjwa Wodini plus mitihani ya Wagonjwa na clinical yote ni kwa lugha ya kingereza hata akiwa wodini ni hivyo hivyo...

Sasa ghafla mtu ambaye kasoma kingereza miaka 6 bila Chembe ya kiswahili ghalfa anasahau kingereza????
 
Serikali na taifa linatakiwa kuona kiswahili ni lugha kubwa kama ambavyo mataifa mengine yanavyokiona kiswahili,
Iwe lugha ya kufundishia kuanzia elimu ya chini mpaka juu,
Kila taifa lenye lugha kubwa linaitumia lugha yake kufundishia
Ie. France,England,China na nyinginezo
Tuache kuchukulia poa kiswahili
Usidanganye watu wewe,wewe kama una watoto unawasomesha kwenye hizo shule zinazofundisha Kiswahili tupu? Halafu katika hizo nchi ulizozitaja hapo kuna nchi ombaomba hapo! Ni nani anamuhitaji mwenzie zaidi kati yetu na wao.
Bado tuna uhitaji wa kujua lugha za kigeni hasa Kiingereza.
 
Kama kuna language barrier si wangejifunza kiswahili ?; Sasa wewe umekwenda China au Japan huko alafu unashangaa wewe na Kiswahili chako wachina English inawasumbua...

Anyway unaweza ukawa hata bubu; ukatumia lugha ya alama lakini bado ukatibu au kufanya surgery
Lugha bubu Tena, inabidi ufundishwe , AU wewe ile lugha unaichukulia poa
 
Viongozi wengi wanaosema kiswahili kitumike hadi chuo kikuu wana roho mbaya na wana nia ovu ya kuhakikisha vizazi vyao vinaendelea kufaidi keki ya taifa. Kiswahili hakina ubavu wowote kwenye ishu za kuleta hela. Wakongo na waburundi ukikutana nao wanakuambia kifaransa ni lugha ya kimaskini wako bize kujifunza kiingereza. Kama una mtoto mwepushe na hizo siasa za kuwa kiswahili ni lugha ya kufundishia hadi chuo kikuu
 
Mwisho wa mwaka 2023 Wanafunzi wa masoma ya udaktari kutoka Sudan, wanao fadhiliwa masomo Yao na serikali ya tz 🇹🇿, hapa Nchi

Walisambazwa kwenye hospital za hapa Dar es salaam, wakitokea muhimbili, Kwa ajili ya kufanya practical training . Ili kuwapa sehemu zingine Sio wote wakae Tu muhimbili.

Katika hospital walizopelekwa ni mwananyamala, Temeke, ubungo, kigamboni etc.

Waka kabidhiwa Kwa wakuu wa idara mbalimbali Katika hospital hizo.

Cha kushanga wakuu wa idara wakashindwa kuwapa ushirikiano wa kutosha , wakawa Wana kula Kona, wengine wanakuwa wakali ili wasiulizwe maswali.

Shida kubwa ni Kwamba ma daktari walishindwa kuongea Nao English, kama taifa tumeingia matopeni Tena coz masoma wanayosoma ni Kwa lugha ya English.

Kwa hiyo hawa wanafunzi wakawa Wana lalamika kukosa ushirikiano report ikaja kuwa kuna language berrier. Na hawawezi Endelea Tena na practical training Yao, coz hakuna wanaoweza kufanya Nao communication.

So mwanzoni wa February 2024 ikabidi warudishwe muhimbili wakamalizie practical training Yao.

Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.

View attachment 2918900
Cha ajabu ni nini? Rais Magufuli na msafara wake Zimbabwe walishindwa kutema yai mpaka rais wa Zimbabwe aliyewhi kuishi hapa akawasaidia kutafsiri kwa kiingereza.
 
Sudani inaongea English gani mpaka madaktari wa Kitanzania wawakimbie hao WASudani?
Nilikuwa Sudan kabla ya kutengana kaskazini na kusini, nikiwa based pale JUBA. Ni wasudani wachache saaaana wanaongea kingeereza tena ni kama asilimia 5 hadi 10 ya wakazi wote. Asilimia kubwa wanaongea Kiarabu, Kitgrinya, Kinuer na lugha zingine. hii ilikuwa ni 2006-2008, Ndo nilitoka huko.
Baada ya Sudan kusini kujitangaza huru 2011 ndo wakaamua kutumia kiingereza kama lugha yao ya taifa. Kwa sidhan kama tayari wana Kiingereza cha kutisha. Japo kwa muonekano hawa wanatoka kazini ambako lugha kuu ni Kiarabu. Labda kama una hoja nyingine.
Mtu ambae hajawahi kuishi nje akisikia foreigner tu anahisi ni bingwa wa Kiingereza.
 
Ukiniuliza mimi Ntakwambia kuna Shida nyingine tofauti na Language barrier..
Kwanini..
Kwanza Daktari ndo translator Mkubwa kwenye tasnia..

Kwa sababu anasikiliza Hostoria ya Mgonjwa kwa Kiswahili anaiandika maelezo kwa kingereza..
Halafu akishaiandika anaelezea kwa kiswahili kwa mgonjwa..

Pili sitaki kuamini kwamba Daktari akiwa Muhimbili anakuwa anaongea Kingereza vizuri ila akiwa Temeke,Mwananyamala na Ubongo kingereza kinamponyoka...

Maana yake ni kwamba Daktari akipata ajira mubimbili anaingiwa na pepo la kingereza anaongea.kingereza fresh kabisa....

Daktari huyo huyo akiajiriwa Temeke au Kigamboni pepo la kingereza linamtoka anakuwa hajui kingereza na anakuwa mkali..

Kuna kitu ambacho kinafichwa nyuma ya pazia..

Anywei..
Mafunzo ya Udaktari yote MD mpaka Zaidi ya hapo yanafundishwa kwa lugha ya kingereza hata Practical.zake zote hufundishwa kwa kingereza Presentation za wagonjwa Wodini plus mitihani ya Wagonjwa na clinical yote ni kwa lugha ya kingereza hata akiwa wodini ni hivyo hivyo...

Sasa ghafla mtu ambaye kasoma kingereza miaka 6 bila Chembe ya kiswahili ghalfa anasahau kingereza????
Mkuu Hata Mimi nilikataa , mpaka pale nilipo jihakikishia mwenyewe yalio tokea, kuwa na language barrier, MD wetu English Yao ni ya kukariri kwa walivyo fundishwa Tu, nje ya hapo ni Chenga
 
Mwisho wa mwaka 2023 Wanafunzi wa masoma ya udaktari kutoka Sudan, wanao fadhiliwa masomo Yao na serikali ya tz 🇹🇿, hapa Nchi

Walisambazwa kwenye hospital za hapa Dar es salaam, wakitokea muhimbili, Kwa ajili ya kufanya practical training . Ili kuwapa sehemu zingine Sio wote wakae Tu muhimbili.

Katika hospital walizopelekwa ni mwananyamala, Temeke, ubungo, kigamboni etc.

Waka kabidhiwa Kwa wakuu wa idara mbalimbali Katika hospital hizo.

Cha kushanga wakuu wa idara wakashindwa kuwapa ushirikiano wa kutosha , wakawa Wana kula Kona, wengine wanakuwa wakali ili wasiulizwe maswali.

Shida kubwa ni Kwamba ma daktari walishindwa kuongea Nao English, kama taifa tumeingia matopeni Tena coz masoma wanayosoma ni Kwa lugha ya English.

Kwa hiyo hawa wanafunzi wakawa Wana lalamika kukosa ushirikiano report ikaja kuwa kuna language berrier. Na hawawezi Endelea Tena na practical training Yao, coz hakuna wanaoweza kufanya Nao communication.

So mwanzoni wa February 2024 ikabidi warudishwe muhimbili wakamalizie practical training Yao.

Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.

View attachment 2918900

huu ni uongo wa hali ya juu
Kwenye masomo ya saiyansi au kufanya kazi za kisaiyansi kinachotumika kule kwa asilimia 90 ni lugha ya kisaiyansi ambayo inatumia kingereza ila sio cha moja kwa moja kama kuelezea Fuvu la mtu wa kale AU kuelezea, Pan Africanism au pengine Slavery & feudalism. Saiyansi haiko hivyo na ndio sababu hufanya watu waliosoma masomo hayo wasiwe mahiri sana wa lugha ya kingereza
Kwenye saiyansi huwa ni fact tu, hakuna blaa blaa....Waliosoma masomo ya saiyansi watanielewa....
By the way, huko Sudan na Ethiopia, kingereza chao ni cha kuunga unga tu kama cha kwetu
 
Haha tatizo watu hamtaki kuambiwa ukweli
Nadhani wewe ndo unakubali kudanganywa. Sudan hakuna kiingereza cha kutisha na hakipo kabisa. huwezi kwenda dukani kununua kitu na kiingereza chako mtu akakuelewa, labda ukutane na wajasiriamali wa kutoka Uganda. Tusiwe wepesi wa kulishwa matango PORI, narudia tena Sudan hakuna kiingereza cha kutisha ni kile tu cha kujifunzia na tena huenda wao ndo hawajui kiingereza hivo kuwa shida kuwasiliana.
 
Mtu ambae hajawahi kuishi nje akisikia foreigner tu anahisi ni bingwa wa Kiingereza.
Labda angeniambia Kuhusu wasudani kujua kutumia silaha na kuthamini ngómbe kwa sababu kule ngómbe akizaa watapiga risasi usiku kucha. Naa kila mtu kutembea na AK 47 kama masai na sime.
 
huu ni uongo wa hali ya juu
Kwenye masomo ya saiyansi au kufanya kazi za kisaiyance kinachotumika kule kwa asilimia 90 ni lugha ya kisaiyance ambayo kwa kiasi kikubwa inatumia kingereza ila sio cha moja kwa moja kama kuelelezea Fuvu la mtu wa kale AU kuelezea Vasco Dagama alipita maeneo gani Africa?
Kwenye saiyansi huwa ni fact tu, hakuna blaa blaa....Waliosoma masomo ya saiyansi watanielewa....
Hata mimi nilibisha kama wewe , Lakin tulikuja kuupata ukweli English haipandi Kwa ma daktari wetu
 
Kama kuna language barrier si wangejifunza kiswahili ?; Sasa wewe umekwenda China au Japan huko alafu unashangaa wewe na Kiswahili chako wachina English inawasumbua...

Anyway unaweza ukawa hata bubu; ukatumia lugha ya alama lakini bado ukatibu au kufanya surgery
Kujifunza kiswahili for that period of time ya practical ni uongo, is why english ipo, even madkatari wetu entire syllabus ni english, sasa kama wamefuzu na hawajui, i doupt kiwango cha elimu yetu
 
Labda angeniambia Kuhusu wasudani kujua kutumia silaha na kuthamini ngómbe kwa sababu kule ngómbe akizaa watapiga risasi usiku kucha. Naa kila mtu kutembea na AK 47 kama masai na sime.
Mkuu unakosea Sana kutoa maamuzi ya jumla,
 
Nadhani wewe ndo unakubali kudanganywa. Sudan hakuna kiingereza cha kutisha na hakipo kabisa. huwezi kwenda dukani kununua kitu na kiingereza chako mtu akakuelewa, labda ukutane na wajasiriamali wa kutoka Uganda. Tusiwe wepesi wa kulishwa matango PORI, narudia tena Sudan hakuna kiingereza cha kutisha ni kile tu cha kujifunzia na tena huenda wao ndo hawajui kiingereza hivo kuwa shida kuwasiliana.
Mkuu sijasema nawaoga wasudani,
 
Ukiniuliza mimi Ntakwambia kuna Shida nyingine tofauti na Language barrier..
Kwanini..
Kwanza Daktari ndo translator Mkubwa kwenye tasnia..

Kwa sababu anasikiliza Hostoria ya Mgonjwa kwa Kiswahili anaiandika maelezo kwa kingereza..
Halafu akishaiandika anaelezea kwa kiswahili kwa mgonjwa..

Pili sitaki kuamini kwamba Daktari akiwa Muhimbili anakuwa anaongea Kingereza vizuri ila akiwa Temeke,Mwananyamala na Ubongo kingereza kinamponyoka...

Maana yake ni kwamba Daktari akipata ajira mubimbili anaingiwa na pepo la kingereza anaongea.kingereza fresh kabisa....

Daktari huyo huyo akiajiriwa Temeke au Kigamboni pepo la kingereza linamtoka anakuwa hajui kingereza na anakuwa mkali..

Kuna kitu ambacho kinafichwa nyuma ya pazia..

Anywei..
Mafunzo ya Udaktari yote MD mpaka Zaidi ya hapo yanafundishwa kwa lugha ya kingereza hata Practical.zake zote hufundishwa kwa kingereza Presentation za wagonjwa Wodini plus mitihani ya Wagonjwa na clinical yote ni kwa lugha ya kingereza hata akiwa wodini ni hivyo hivyo...

Sasa ghafla mtu ambaye kasoma kingereza miaka 6 bila Chembe ya kiswahili ghalfa anasahau kingereza????
Maokoto yapo au ndo kuwasumbua tu Madaktari wa watu na mwisho hawapewi chochote??!
 
Ukiniuliza mimi Ntakwambia kuna Shida nyingine tofauti na Language barrier..
Kwanini..
Kwanza Daktari ndo translator Mkubwa kwenye tasnia..

Kwa sababu anasikiliza Hostoria ya Mgonjwa kwa Kiswahili anaiandika maelezo kwa kingereza..
Halafu akishaiandika anaelezea kwa kiswahili kwa mgonjwa..

Pili sitaki kuamini kwamba Daktari akiwa Muhimbili anakuwa anaongea Kingereza vizuri ila akiwa Temeke,Mwananyamala na Ubongo kingereza kinamponyoka...

Maana yake ni kwamba Daktari akipata ajira mubimbili anaingiwa na pepo la kingereza anaongea.kingereza fresh kabisa....

Daktari huyo huyo akiajiriwa Temeke au Kigamboni pepo la kingereza linamtoka anakuwa hajui kingereza na anakuwa mkali..

Kuna kitu ambacho kinafichwa nyuma ya pazia..

Anywei..
Mafunzo ya Udaktari yote MD mpaka Zaidi ya hapo yanafundishwa kwa lugha ya kingereza hata Practical.zake zote hufundishwa kwa kingereza Presentation za wagonjwa Wodini plus mitihani ya Wagonjwa na clinical yote ni kwa lugha ya kingereza hata akiwa wodini ni hivyo hivyo...

Sasa ghafla mtu ambaye kasoma kingereza miaka 6 bila Chembe ya kiswahili ghalfa anasahau kingereza????
Hata hivyo walirudishwa mwaka wa 3 kutoka wa 5, baada ya kuonekana uwezo wao kuwa mdogo, lakini bado Sio kesi kushindwa kufanya mawasiliano
 
Back
Top Bottom