Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Labda hao ni AMO mkuuMkuu Hata Mimi nilikataa , mpaka pale nilipo jihakikishia mwenyewe yalio tokea, kuwa na language barrier, MD wetu English Yao ni ya kukariri kwa walivyo fundishwa Tu, nje ya hapo ni Chenga
Itakuwa shida ilikuja kwenye Extraduty tu nahisi 😀😀Maokoto yapo au ndo kuwasumbua tu Madaktari wa watu na mwisho hawapewi chochote??!
Anhaa walikuwa English haipandi wakiwa wanasoma auHata hivyo walirudishwa mwaka wa 3 kutoka wa 5, baada ya kuonekana uwezo wao kuwa mdogo, lakini bado Sio kesi kushindwa kufanya mawasiliano
Hicho ndo ninachokijua Boss, make nimeishi nao kwa miaka kadhaa enzi tunatoka Arusha na mabasi ya Taqwa unapanda basi SAA kumi jioni, make basi lilikuwa linaanzia sAFARI DAR, then Namanga mpaka NRD, NRB Lodwar, Kakuma JUBA.Mkuu unakosea Sana kutoa maamuzi ya jumla,
Aise,kama ni kweli basi Hali mbayaMwisho wa mwaka 2023 Wanafunzi wa masoma ya udaktari kutoka Sudan, wanao fadhiliwa masomo Yao na serikali ya tz 🇹🇿, hapa Nchi
Walisambazwa kwenye hospital za hapa Dar es salaam, wakitokea muhimbili, Kwa ajili ya kufanya practical training . Ili kuwapa sehemu zingine Sio wote wakae Tu muhimbili.
Katika hospital walizopelekwa ni mwananyamala, Temeke, ubungo, kigamboni etc.
Waka kabidhiwa Kwa wakuu wa idara mbalimbali Katika hospital hizo.
Cha kushanga wakuu wa idara wakashindwa kuwapa ushirikiano wa kutosha , wakawa Wana kula Kona, wengine wanakuwa wakali ili wasiulizwe maswali.
Shida kubwa ni Kwamba ma daktari walishindwa kuongea Nao English, kama taifa tumeingia matopeni Tena coz masoma wanayosoma ni Kwa lugha ya English.
Kwa hiyo hawa wanafunzi wakawa Wana lalamika kukosa ushirikiano report ikaja kuwa kuna language berrier. Na hawawezi Endelea Tena na practical training Yao, coz hakuna wanaoweza kufanya Nao communication.
So mwanzoni wa February 2024 ikabidi warudishwe muhimbili wakamalizie practical training Yao.
Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.
View attachment 2918900
Ikiwa ndio wao tuwafanyeje sasa.Inaweza kuwa
Chadema walisema wapi? we mtumwa, lugha ya taifa utaifutaje mashuleni.Tuwape nchi CDM,Wao walisema watafuta Kiswahili mashuleni
Na wewe ni Daktari? Siyo "language berrier" ni "language barrier"Mwisho wa mwaka 2023 Wanafunzi wa masoma ya udaktari kutoka Sudan, wanao fadhiliwa masomo Yao na serikali ya tz [emoji1241], hapa Nchi
Walisambazwa kwenye hospital za hapa Dar es salaam, wakitokea muhimbili, Kwa ajili ya kufanya practical training . Ili kuwapa sehemu zingine Sio wote wakae Tu muhimbili.
Katika hospital walizopelekwa ni mwananyamala, Temeke, ubungo, kigamboni etc.
Waka kabidhiwa Kwa wakuu wa idara mbalimbali Katika hospital hizo.
Cha kushanga wakuu wa idara wakashindwa kuwapa ushirikiano wa kutosha , wakawa Wana kula Kona, wengine wanakuwa wakali ili wasiulizwe maswali.
Shida kubwa ni Kwamba ma daktari walishindwa kuongea Nao English, kama taifa tumeingia matopeni Tena coz masoma wanayosoma ni Kwa lugha ya English.
Kwa hiyo hawa wanafunzi wakawa Wana lalamika kukosa ushirikiano report ikaja kuwa kuna language berrier. Na hawawezi Endelea Tena na practical training Yao, coz hakuna wanaoweza kufanya Nao communication.
So mwanzoni wa February 2024 ikabidi warudishwe muhimbili wakamalizie practical training Yao.
Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.
View attachment 2918900
Hao lazma warudishwe nyuma kabisa tena wangewarudisha First year wapambane na Anatomy maana wanaonekana bado kabisaKuna vitu vingi walikuwa hawavijui ,ikabidi warudishwe nyuma