Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

Madaktari wa Bongo washindwa kutema yai

mi nilikua na wa zoom tu badala kwenda kenya wanakuja taifa la kula tunda kimasihara
 
Kuna watu tena wengine ndiyo hao wanaojiita wasomi wanadai lugha ya kufundishia iwe Kiswahili kuanzia chekechea hadi chuo kikuu sasa ndiyo tujiulize hali ikiwa hivyo itakuwaje kama leo watu waliosoma English kidogo kwenye masomo yao mambo yapo hivyo! Eti English libaki kuwa somo tu! Lakini cha ajabu hao wanaoshauri hivyo watoto zao wanawapeleka ulaya na Marekani kuanzia chekechea ndiyo ujue viongozi wa nchi hii walivyo na roho mbaya wanatamani sisi na watoto wetu tuendelee kuwa wapiga kura wao tu na sio kushiriki katika uongozi.
Wanakifahamu, sema hawajakizoea.

Wewe unakionaje hiki Kizungu cha Profesa?
 

Attachments

  • WAZIRI_NDALICHAKO_AMWEKA_NDANI_MKANDARASI_WA_KICHINA(144p).mp4
    3.4 MB
Hawakijui vizuri lakini wanajitahidi kuongea sio kama Sisi

Kuna jamaa ni Msudani Kusini, Kuna kazi nilifanya naye Juzi Jumatatu, the guy is fluent in English

Kutokea hapo nikajilaumu kwanini nilisoma Shule za Kata 🙌
Yuko fluent kama Engineer wetu?
 

Attachments

  • KIINGEREZA_CHA_MBUNGE_MSUKUMA_CHAWAVUNJA_MBAVU_WABUNGE_BUNGENI(144p).mp4
    5.6 MB
Me nadhani kama Wazazi tujitahidi kupambana watoto wetu wasisome hizi Shule za Kidumu na fagio

Tuwapeleke Shule ambazo wanatumia Lugha za kimataifa za English, Chinese, Arabic language n.k

Tuendapo hali itakuwa mbaya zaidi Kwa Vijana wetu maana fursa zote zitashikwa na Wageni
✅✅✅
 
WWaa
Mwisho wa mwaka 2023 Wanafunzi wa masoma ya udaktari kutoka Sudan, wanao fadhiliwa masomo Yao na serikali ya tz 🇹🇿, hapa Nchi

Walisambazwa kwenye hospital za hapa Dar es salaam, wakitokea muhimbili, Kwa ajili ya kufanya practical training . Ili kuwapa sehemu zingine Sio wote wakae Tu muhimbili.

Katika hospital walizopelekwa ni mwananyamala, Temeke, ubungo, kigamboni etc.

Waka kabidhiwa Kwa wakuu wa idara mbalimbali Katika hospital hizo.

Cha kushanga wakuu wa idara wakashindwa kuwapa ushirikiano wa kutosha , wakawa Wana kula Kona, wengine wanakuwa wakali ili wasiulizwe maswali.

Shida kubwa ni Kwamba ma daktari walishindwa kuongea Nao English, kama taifa tumeingia matopeni Tena coz masoma wanayosoma ni Kwa lugha ya English.

Kwa hiyo hawa wanafunzi wakawa Wana lalamika kukosa ushirikiano report ikaja kuwa kuna language berrier. Na hawawezi Endelea Tena na practical training Yao, coz hakuna wanaoweza kufanya Nao communication.

So mwanzoni wa February 2024 ikabidi warudishwe muhimbili wakamalizie practical training Yao.

Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.
Waamuzi wetu wa mpira wa miguu hawapewi kuchezesha michezo ya kimataifa sababu kubwa ikiwa ni lugha na rushwa
 
Kwa hiyo mkuu, mkulima wa parachichi huko mbeya Kwa kina chichi , akiwa na anafanya mawasiliano na wateja wa nje kama South Africa, inabidi atumie translate app unafikiri ni rahisi hivyo, na ndio maana makulima wa Bongo kila mwaka ni vilio Tu 😂, wanapigwa na madalali
Unadhani mtu wa South Africa atanunua parachihi za Bongo sababu wanajua English nzuri au ubora wa hizo parachichi ?!!! Na mpaka huyu auze parachichi directly south ni Trader wala sio Mkulima Na kama Parachichi ni nzuri inajiuza hata kama huyu Mkulima ni Bubu.....

Hatuendelei na tumedorara sio sababu ya lugha (kwanza tunawazidi majirani zetu wote sababu tuna lugha inayotuunganisha watanzania) Nenda huko Cameroon Nusu wanaongea English Nusu wanaongea French yaani utata mtupu...; Thus kabla hatujalaumu communication tulaumu kutokuwa na viongozi bora; kabla hatujalaumu madaktari hawajui English tulaumu uhaba / ratio ya madaktari kwa wagonjwa ni ndogo....

Language ni skill kama skill nyingine na kwa daktari hii ni extra sio core...
 
Mwisho wa mwaka 2023 Wanafunzi wa masoma ya udaktari kutoka Sudan, wanao fadhiliwa masomo Yao na serikali ya tz 🇹🇿, hapa Nchi

Walisambazwa kwenye hospital za hapa Dar es salaam, wakitokea muhimbili, Kwa ajili ya kufanya practical training . Ili kuwapa sehemu zingine Sio wote wakae Tu muhimbili.

Katika hospital walizopelekwa ni mwananyamala, Temeke, ubungo, kigamboni etc.

Waka kabidhiwa Kwa wakuu wa idara mbalimbali Katika hospital hizo.

Cha kushanga wakuu wa idara wakashindwa kuwapa ushirikiano wa kutosha , wakawa Wana kula Kona, wengine wanakuwa wakali ili wasiulizwe maswali.

Shida kubwa ni Kwamba ma daktari walishindwa kuongea Nao English, kama taifa tumeingia matopeni Tena coz masoma wanayosoma ni Kwa lugha ya English.

Kwa hiyo hawa wanafunzi wakawa Wana lalamika kukosa ushirikiano report ikaja kuwa kuna language berrier. Na hawawezi Endelea Tena na practical training Yao, coz hakuna wanaoweza kufanya Nao communication.

So mwanzoni wa February 2024 ikabidi warudishwe muhimbili wakamalizie practical training Yao.

Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa.

View attachment 2918900
"Ushauri: Kiswahili hakina tija Kwa taifa kifutwe mashuleni kabisa."

☝☝☝ nadhani njia nzuri ni kubadili namna wanavyofundisha somo la kiingereza mashuleni somo lisiwe kwa ajili ya kujibia mtihani bali liwe linafundishwa kama full course ya lugha ya kiingereza yaani wawe wanasoma theory, kisha kuwe na session za communications na hizi ziwe ndefu , wawe na midahalo , na ikiwezekama wawe pia na interschool english language competitions n.k

Hii itawasaidia wanafunzi kujifunza lugha hiyo mapeema ndani ya miaka minne anatoka anajua kuwasiliana ,kusoma na kuandika kiingereza fasaha.
 
Nadhani wewe ndo unakubali kudanganywa. Sudan hakuna kiingereza cha kutisha na hakipo kabisa. huwezi kwenda dukani kununua kitu na kiingereza chako mtu akakuelewa, labda ukutane na wajasiriamali wa kutoka Uganda. Tusiwe wepesi wa kulishwa matango PORI, narudia tena Sudan hakuna kiingereza cha kutisha ni kile tu cha kujifunzia na tena huenda wao ndo hawajui kiingereza hivo kuwa shida kuwasiliana.
Kama siyo lugha yao wana haki ya kutokukijua.

Lakini kwa Tanzania, nchi ambayo inafahamika kuwa lugha ya kufundishia kuanzia Sekondari hadi Chuo Kikuu ni Kizungu, ni aibu msomi kutokujua English fasaha. Lazima kuna kasoro mahali.
 
Unadhani mtu wa South Africa atanunua parachihi za Bongo sababu wanajua English nzuri au ubora wa hizo parachichi ?!!! Na mpaka huyu auze parachichi directly south ni Trader wala sio Mkulima Na kama Parachichi ni nzuri inajiuza hata kama huyu Mkulima ni Bubu.....

Hatuendelei na tumedorara sio sababu ya lugha (kwanza tunawazidi majirani zetu wote sababu tuna lugha inayotuunganisha watanzania) Nenda huko Cameroon Nusu wanaongea English Nusu wanaongea French yaani utata mtupu...; Thus kabla hatujalaumu communication tulaumu kutokuwa na viongozi bora; kabla hatujalaumu madaktari hawajui English tulaumu uhaba / ratio ya madaktari kwa wagonjwa ni ndogo....

Language ni skill kama skill nyingine na kwa daktari hii ni extra sio core...
Mkuu iyo contracts zitakuwa ni za Kiswahili AU English,na lizama bidhaa unayo iyuza iwe na maelezo ya kutosha , ili mnunuzi anunue
 
Umuhimu wa lugha ya Kiswahili Tanzania iko wapi ?
 
Dunia sasa hivi imebadilika ukitaka kuongea na wachina unachat nao wao wanaongea wanachojua wewe unaweza kuweka english yako ya kuunga unga lakini chat ina-translate mnaelewana

Kwanza nikwambia jambo moja Waingereza wamepitwa sana sasa hivi wao wanajiona lugha nyingine hazifai kila mtu atajifunza English wenzao France, Germany na hata wachina wanajifunza zote.... Lugha ni Skill kwahio wewe ukijua zaidi ni kwamba umeongeza ujuzi (ni jambo jema) lakini wewe kama ni mkulima utapimwa kwanza kwa ukulima wako (kujua kongea na kuuzia wateja hio ni ziada) core skill yako ni kulima.... Thus I had rather have competent Doctors who cant utter a word of English than otherwise...
Inategemea na tasnia for sure, kama ni mfanya biashara au mkulima for sure lugha haiplay major role.
 
Tena hili halihitaji fedha za kigeni, waalimu toka nchi jirani mahiri wa kingereza waliofanyiwa usaili interview na waTanzania wabobezi wa lugha ya kiingereza watakuja wengi kulipwa hela za madafu.
Ni swala zuri kabisa na linawezekana ila kiswahili kinapewa kipaumbele sana wapo watu wenye nyadhfa kbs wataligomea Hilo swala.
 
Back
Top Bottom